POLISI WAKAMATA BASTOLA NYUMBA YA KULALA WAGENI

JESHI la Polisi wilayani Igunga mkoani Tabora limefanikiwa kukamata bastola katika nyumba ya kulala wageni ambayo inadhaniwa imesahaulika na majambazi.Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kamanda wa polisi mkoani Tabora, Peter Ouma alisema silaha hiyo imekamatwa juzi katika nyumba ya kulala wageni ijulikanayo kwa jina la Sophia Lodge iliyopo mtaa wa Bank, Igunga mjini.Alisema kuwa bastola hiyo yenye namba za usajili 224335 aina ya Browing Court ilidakwa na risasi 38 pamoja na magazini 4.

Comments

Popular Posts

ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA

MKUTAO WA G7 KUANGAZIA USALAMA NA MAZINGIRA

HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI

FAHAMU MAMBO HAYA 20 KUHUSU TANZANIA

CHEKI PICHA HIZI ALIZOWEKA NICKI MINAJ INSTAGRAM

WAFAHAMU WAIGIZAJI 10 WA KIKE WA KOREA AMBAO NI WAREMBO KWA MWAKA 2017

MFAHAMU KARL MARX KWA UFUPI: DUNIA INAMKUMBUKA LEO

ORODHA YA MAJINA WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI (AWAMU YA PILI)

ZIFAHAMU GAUNI BORA 20 ZA MWAKA 2017