Mwanasayansi David Goodall, 104, aliyesafiri kutoka Australia hadi Uswisi ili kujitoa uhai amefariki katika kliniki moja nchini Uswis...
Home » Posts filed under Kimataifa
Showing posts with label Kimataifa. Show all posts
Showing posts with label Kimataifa. Show all posts
IRAN IMEFANYA JARIBIO LA KOMBORA LA NYUKLIA
Iran inasema kuwa imefanyia majaribio kombora la Khorram-shahr. Kombora hilo lilionyeshwa hadharani katika maonyesha ya kijeshi jana Iju...
RAIS PUTIN AMEAGIZA WANADIPLOMASIA 755 WA MAREKANI KUONDOKA URUSI
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameagiza wafanyakazi 755 wa ubalozi wa Marekani nchini Urusi kusitisha shughuli zao kufikia Septemba mosi mwa...
TRUMP AWASILI SAUDI ARABIA
Rais Donald Trump akikaribishwa kwa bashasha kubwa na ukoo wa kifalme wa Saudi Arabia jana , wakati akiweka kando, japokuwa kw...

KOREA KASKAZINI IMEFANYA JARIBIO LINGINE LA KOMBORA
Jeshi la Korea Kusini linasema kuwa Korea Kaskazini imefanyia majaribio kombora lingine. Ofisi ya kijeshi nchini Korea Kusini inasema kuwa ...

MGAHAWA WAKUMBWA NA KASHFA YA KUUZA NYAMA YA BINADAMU
Mgahawa mmoja mjini London umekumbwa na habari bandia za kuuza nyama ya mtu. Wafanyikazi katika mkahawa wa Karri Twist katika eneo la ...

NDEGE YA MAREKANI YAZUILIWA NA NDEGE ZA CHINA
Ndege mbili za kijeshi za China zimeizuia 'vibaya' ndege ya Marekani kulingana na jeshi la Marekani. Ndege hiyo inayohusika na...

MABOMU YASABABISHA WATU ZAIDI YA ELFU 50 KUHAMA UJERUMANI
Operesheni kubwa ya kuwaondoa wakaazi wengi wa mji wa Hanover ulioko kaskazini mwa Ujerumani, inaendelea, ya kuwahamisha zaidi ya watu ...

WAPIGANAJI WA HAMAS WAPATA KIONGOZI MPYA
Ismael Haniyeh ndio kiongozi mpya wa kundi la Hamas Wapiganaji wa Palestina Hamas wamepata kiongozi mpya. Kiongozi huyo ni Ismail Han...
WAHAMIAJI 239 WAHOFIWA KUZAMA KATIKA AJALI YA MELI WAKITOKEA LIBYA
Wahamiaji 239 wamehofiwa kuzama katika ajali ya meli wakitokea nchini Libya. Hii ni kwa mujibu wa habari kutoka shirika la Wakimbizi UNHCR...
OBAMA AWATAHADHARISHA WAPIGA KURA KUHUSU TRUMP
Rais Barrack Obama amewahimiza wafuasi wa chama cha Democratic kumpigia kura Hillary Clinton na kuonya kwamba Donald Trump ni tishio kwa hak...
VIDEO: TRUMP AKATAA KUJIBU SWALI KUHUSU KUKUBALI MATOKEO KAMA ATASHINDA KWENYE UCHAGUZI
Ni katika Mdahalo wa tatu na wa mwisho ukiofanyika Nevada, Las Vegas. Swali liliulizwa kwa Bwana Trump "utakubali matokeo ya Urai...
HILLARY CLINTON AMEREJEA KATIKA KAMPENI NA KUMSHAMBULIA TRUMP
Mgombea wa chama cha Democratic katika kinyan'ganyiro cha urais nchini Marekani Hillary Clinton amerejea tena katika kampeni na kutoa k...
MTU MMOJA AMEJITOA MUHANGA NA KUUA WATU 16 KATIKA MSIKITI WA MOHMAND PAKISTAN
Takribani watu 16 wameuawa na wengine 35 kujeruhiwa katika swala ya Ijumaa kwenye Msikiti wa Mohmand huko Pakistan. Duru za habari zinas...
MAPIGANO YAPAMBA MOTO SYRIA KUELEKEA SULUHU YA MGOGORO
Saa chache baada ya Marekani na Urusi kutangaza makubaliano ya kumaliza mgogoro wa kivita uliyodumu kwa miaka mitano nchini Syria, mapigano ...
MAREKANI NA URUSI ZAKUBALIANA KUSITISHA MAPIGANO SYRIA
Marekani na Urusi zimefikia makubalinao kuhusu mchakato wa kupatikana amani nchini Syria ikiwemo kusitishwa kwa mapigano kote nchini Syri...
WATU 10 WAMEKUFA KATIKA AJALI YA MOTO KIWANDANI HUKO BANGLADESH
Takribani watu 10 wamekufa katika mlipuko mkubwa wa moto huko Bangladesh kufuatia kulipuka kwa kontena la kuchemshia maji ya moto. Poli...
KANSELA ANGELA MERKEL ASEMA UJERUMANI YA SASA NI BORA ZAIDI
Kansela Angela Merkel akihutubia bungeni siku ya Jumatano (7 Septemba 2016). Licha ya chama cha CDU kuangushwa vibaya kwenye uchaguzi la...
RAIS WA UZBEKISTAN AZIKWA KWA HESHIMA YA DINI YA KIISLAMU
Rais wa Uzbekistan, Islam Karimov amezikwa leo kwenye mji wa nyumbani kwake wa Samarkand, ulioko katikati ya nchi hiyo, wakati ambapo t...
WAZIRI MKUU WA NEPAL KHADGA PRASAD OLI AMEJIUZURU
Waziri Mkuu wa Nepal Khadga Prasad Oli amejiuziru wadhifa wake ikiwa ni muda mchache kabla ya kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye kat...
Subscribe to:
Comments (Atom)
