Showing posts with label Video. Show all posts
Showing posts with label Video. Show all posts

ALI KIBA - MVUMO WA RADI WATCH VIDEO & DOWNLOAD MP3


Ali Kiba ameachia audio na video ya Wimbo wake mpya Unaoitwa Mvumo wa Radi.

Kudownload audio    BOFYA HAPA

Kudownload video    BOFYA HAPA


Kutazama video hii hapa chini



VIDEO: FID Q FT DIAMOND PLATNUMZ & RAYVANNY - FRESH REMIX | WATCH & DOWNLOAD

VIDEO | TAZAMA ROMA-ZIMBABWE WIMBO MPYA

Huu ni wimbo mpya wa Roma Mkatoliki. VENANCE BLOG inakupa nafasi ya kuutazama hapa chini:




VIDEO: JAY 2 THE HUSTLER X CAST BEEZY - TIME IS NOW (OFFICIAL VIDEO)

 

VIDEO: TRUMP AKATAA KUJIBU SWALI KUHUSU KUKUBALI MATOKEO KAMA ATASHINDA KWENYE UCHAGUZI

Ni katika Mdahalo wa tatu na wa mwisho ukiofanyika Nevada, Las Vegas.

Swali liliulizwa kwa Bwana Trump "utakubali matokeo ya Urais baada ya kushindwa na mpinzania wako Hillary Clinton?"

Trump hakujibu moja kwa moja, alisema "nitaliangalia hilo kwa wakati huo".

Awali ya hapo Rais Obama alishangazwa na kutokujiamini kwa Trump kuhusu kuwa na mashaka na Uchaguzi hata kabla ya Uchaguzi wenyewe kufanyika.

Nitakuandalia makala kamili kutoka kwenye Mdahalo huo.

Hii hapa video ikimuonesha Trump alivyokataa kujibu swali aliloulizwa:

Video kwa hisani ya France24.

VIDEO: HII NDIYO MAANA HALISI YA SEPTEMBA 11 HUKO MAREKANI

Mnamo mwaka 2001 ndege mbili za abiria za chini Marekani zilitekwa angani na magaidi wanaodhaniwa kuwa ni Al-Qaeda. Ndege hizo mbili aina ya Boeing 767 ziligonga katika majengo pacha ya Kituo cha Biashara Duniani (WTC) lililoko katika jiji la New York nchini Marekani. Hili lilikuwa ni shambulio kubwa zaidi kuwahi kutekelezwa na magaidi wa Al-Qaeda ambao kwa kipindi hicho kundi hilo lilikuwa likiongozwa na Osama bin Laden ambaye aliuawa miaka ya hivi karibuni na wanajeshi wa jeshi la Marekani (wanavyodai wao Marekani). 

Pia kundi la Al Qaeda lilikuwa limelenga kuteketeza jengo la Idara ya Ulinzi ya Marekani, The Pentagon ambako ndiyo makao makuu ya Idara ya Ulinzi ya nci ya Marekani. Lakini pia ililengwa Ikulu ya Marekani 'The White House'.

Watu wapatao 2,996 pamoja na watekelezaji wa tukio hilo wakiwa 19 waliuawa. Watu zaidi ya 6,000 walijeruhiwa katika tukio hilo.

Pia tukio hilo lilisababisha uharibifu wa mali hasa majengo na miundo mbinu uliofikia dola bilioni 10. Jumla kuu ya uharibifu ilikadiriwa kuwa dola za kimarekani trilioni 3. 

Katika kutekeleza tukio hilo la ugaidi magaidi 19 walihusika ambapo 15 walikuwa ni raia wa Saudi Arabia, 2 kutoka Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE), 1 kutoka Misri na 1 kutoka Lebanon.

Historia ya Al Qaeda inarudi nyuma katika mwaka 1979 ambapo Muungano wa Kisoviet uliivamia Afghanistan. Osama alisafiri hadi Afghanistan na kuunda kikundi cha kiarabu cha wajahideen kupingana na Wasoviet. Osama aliendelea kuwa kinyume na Wamarekani na mwaka 1996 alitoa tamko lililotaka majeshi ya Marekani kuondoka Saudia Arabia

Shambulio hili lilkuwa kama ifuatavyo:
  • Ndege ya Shirika la Marekani (American Airlines Flight 11) aina ya Boeing 767 iliondoka Logan airpot ikiwa na crew ya watu 11 pamoja na abiria 76 (watekaji 5 hawakuhesabiwa) ndege hiyo iligeuzwa ruti ikiwa angani na kugonga katika kituo cha biashara Duniani saa 8:46 am saa za Marekani.
  • Ndege ya pili ya Marekani (American Airlines Flight 77) Boeing 757 iliondoka Washington Dulles Airport kuelekea Los Angels, California ikiwa na crew ya watu 6 na abiria 53 (watekaji wameondolewa katika hesabu hiyo). Watekaji walifanikiwa kuiteka na kugonga jengo la ulinzi la Marekani The Pentagon saa 9:37 am saa za Marekani.
  • Ndege ya tatu (United Airlines Flight 93) Boing 757 iliondoka  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa New York ikielekea San Fransisco kabla ya kutekwa angani na kugonga Stonycreek Township  karibu na Shanksville, Pennsylvania saa 10:03 am saa za Marekani. Abiria walikuwa 33 na crew ya watu 7 huku watekaji wakiwa 4.
  • Ndege nyingine American Airline Flight 11 Boeing 767 ilikuwa na abiria 51 crew ya watu 9 na watekaji 5 iliondoka Los Angels na kutekwa angani hadi WTC saa 9:03 am dakika chache mara baada ya Shambulio la awali.



Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo



WTC kabla ya shambulio


WTC kabla ya shambulio



WTC kabla ya shambulio



Nimekuwekea video pia ambapo unaweza kutazama tukio hilo





Makala hii imeandaliwa kwa Msaada wa Mtandao (Wikipedia, Britannica na YouTube)

NEW VIDEO: ANGALIA VIDEO YA RAYMOND-NATAFUTA KIKI HAPA





Hatimaye Raymond a.k.a. RayVanny wa WCB Wasafi Classic ameachia video ya wimbo wake Natafuta kiki. Production ya video imefanyika Kwetu studios ya hapa hapa Tz. Pata nafasi ya kuangalia video hiyo hapa. 

 


ANGALIA VIDEO YA JENNIFER LOPEZ-AIN'T YOUR MAMA HAPA



Jennifer Lopez ameachia video ya wimbo wake Ain't your Mama May 6 ambapo mpaka sasa wimbo huo umetazawa na watazamaji zaidi ya milioni na laki saba. Kama bado hujapata nafasi ya kuangalia video hiyo tazama hapa kwa hisani ya VENANCE BLOG kisha toa maoni yako kuhusu video hiyo.

VIDEO MPYA: BRACKETS-ALIVE FT DIAMOND & TIWA ICHEKI HAPA NA KUDOWNLOAD


Alive -“Hii ni hadithi ya kweli ya Vast Bracket, safari yake hadi alivyopona kansa mwaka 2013. Huu ni wimbo wa shukrani kwa kumfanya mshindi aliyeishinda kansa.”



Hayo ni maneno yanayoonekana mwanzoni mwa video ya wimbo mpya ya kundi la Bracket kutoka Nigeria iliyotoka wiki hii, ambao wamemshirikisha Diamond Platnumz na Tiwa Savage.


Kipindi Vast anaumwa kansa

Memba wa kundi hilo aitwaye Vast, mwaka 2013 alikuwa akipigania uhai wake baada ya kuugua kansa ya damu ambayo baadae alifanikiwa kupona, ndio sababu ya kundi hilo kuamua kurekodi wimbo huu ‘Alive’ kwaajili ya kumshukuru Mungu kutokana na kumuwezesha msanii huyo kupona.


Vast ni yule ambaye anaimba vesre ya kwanza na kwenye video anaonekana yupo hospitali.


Video hii hapa


Vast aliwahi kuelezea jinsi alivyougua hadi kupona katika mahojiano mbalimbali aliyofanyiwa 2013:

“It all started when we went on an American tour and I started feeling feverish. I found myself taking my bath with hot water even on a very hot day. That was when I started noticing something was wrong. I noticed that whenever I drank alcohol, the fever would come in an aggressive way. I eventually went to a hospital in London. The doctor told me not to worry that everything would be fine. He said to start the treatment, they would have to do something that would allow them take something from my spine. It was a very painful procedure.”

“There was a time that I felt I would die. My only fear was that I was not close to God. I was afraid that if I died, I would not make it to heaven. We musicians have a particular lifestyle. You may plan to be upright, but when you go into entertainment business, it would change you. I was regretting that I was not close to God. I did not want to go to hell. I felt so happy that I survived,”.

“After the treatment, I did two other tests and the doctors confirmed that I was okay. After three months, I am meant to go for a PET scan. I could remember that before the treatment, we had a meeting and agreed that we had to bring £50,000. After the seventh chemotherapy session, the whole money finished. They had to send more £8,000 into the account I was using. The last time I went to withdraw money, what was left there was £120. So I used about £58,000,”

What kind of cancer did you have?

“I had Lymphoma. It is a blood cancer. When I asked the doctor what could the cancer of the blood, he said, nobody knows the cause for now. According to him, it’s like a situation where a dark complexion couple making a baby and the baby turns out to be an albino and if you are asked to explain why, you cannot tell.

I must say that when I was hospitalised, my partner was doing a good job. He would call the producer and they would make a beat and send it to me. He even made the chorus. I picked one of the songs when I came back and hit the studio. We did one of the tracks, it was fantastic. We did another song and it was good as well, all within two days.”

What have you learnt from your experience?

“I learnt that life is very precious. No matter what you do and wherever you are, don’t look down on anybody because you don’t know who will help you tomorrow. Another thing is that you don’t have to be scared of death. You have to face the challenge. Live a normal life. If you are scared of death, you will die. At a point, when I got very scared, the sickness came in full force, but when I started picking courage, it subsided and I recovered.”


ICHEKI KWA MARA YA KWANZA VIDEO YA ALI KIBA - "MWANA"


Alikiba - Mwana (Official Music Video)
Video iliyosubiriwa kwa muda mrefu na mashabiki wa Ali Kiba ‘Mwana’ imeachiwa leo hii Ijumaa ya 19 Decemba 2014. 
Ali Kiba Alithibitisha kuwa video imekamilika na kusema Video imetayarishwa na muongozaji kutoka Afrika Kusini na imefanyika maeneo ya mjii wa Cape Town.

Vituo vitakavyo rusha hii video 
Cameroon, Ethiopia, Angola, U.S. & U.K. itachezwa kwenye vituo vya 1Musicnetworks.

Nigeria na Ghana itachezwa kwenye kituo cha SOUNDCITYtv.

Uganda itachezwa kwenye kituo cha NTVUganda.

Kenya itachezwa kwenye kituo cha Citizen Tv kwenye kipindi cha Mseto.

Tanzania itachezwa kwenye kituo cha CloudsTV.

Hii ndio Video Halisi ya Mwana itazame.

VIDEO MPYA: NIKKI II FT BEN POL-SITAKI KAZI ITAZAME HAPA

Nikki wa pili ameachia video ya wimbo wake Sitaki kazi alomshirikisha Ben Pol. Kitu kimoja Nikki alitakiwa afanye kuchoma vyeti kama alivyoimba hata asingechoma vyeti halisi ilitakiwa afanye hivyo. Video hii hapa chini:




LIKE PAGE YANGU YA FACEBOOK

NIFUATE TWITTER

NIFUATE INSTAGRAM



Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014

VIDEO MPYA: AY FT MS TRINITY & LA'MYIA ICHEKI HAPA

Mwanamuziki Ambwene Yesaya a.k.a. A.Y. kutoka hapa hapa Bongo land Tz ameachia video ya wimbo wake uitwao Touch me alowashirikisha Sean Kingston na Ms Trinity. Pata nafasi ya kuangalia video hiyo hapa chini ama fuatisha KIUNGO HIKI kuingalia katika akaunti yake ya Youtube. Video hii hapa chini;





EXCLUSIVE: DAVIDO ATOA VIDEO YA WIMBO WAKE 'OWO NI KOKO' ITAZAME HAPA

 
Mwanamuziki kutoka Nigeria, Davido ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao Owo ni Koko. 





WASILIANA NAMI KWA:
Facebook: VENANCE BLOG 
Twitter: @Venancetz 
Instagram: venancegilbert










KWA HISANNI YA DJ CHOKA MUSIC

KAMA BADO HUJAIONA VIDEO YA PROFESA J-KIPI SIJASIKIA, ICHEKI HAPA

Imetengenezaewa na Adam Juma Next Level, kuna wasanii kibao humo ndani wa filam pamoja na bongo fleva kama vile Dude, P Funk Majani na wengineo huku Platnumz akifanya vizuri zaidi. Video hii hapa:


(NEW VIDEO) SHILOLE - NAKOMAA NA JIJI