Posts

Showing posts from April, 2018

FAHAMU MAMBO HAYA 20 KUHUSU TANZANIA

Image
Leo nakufahamisha baadhi ya mambo ambayo huenda hukuyafahamu ama ulichukulia kawaida tu. Mambo hayo ni hapahapa Tanzania.  Tanzania ina eneo la kilomita za mraba 945,087. Ina jumla mikoa 31 kote bara na visiwani. Mpaka kufikia mwaka 2017 idadi ya watu nchini ilikadiriwa kuwa milioni 52.554 kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya takwimu. Twende sasa tuanze kuhesabu moja baada ya jingine #1 . Wimbo wa taifa "Mungu Ibariki Tanzania"  ni wimbo unaofanana na nyimbo za mataifa ya Afrika Kusini na Zambia. Wimbo huu ulitungwa na Enock Sontonga kwa lugha ya Xhosa "Nkosi Sikelel iAfrika" . Wimbo huu pia uliwahi kutumiwa na nchi za Zimbabwe na Namibia. Enock Sontonga mtunzi wa wimbo Mungu Ibariki Afrika #2. Ni Tanzania pakee ambako kunapatikana Simba wenye uwezo wa kupanda juu ya miti. Simba hawa wanapatikana katika hifadhi ya taifa ya Ziwa Manyara. Simba wenye uwezo wa kupanda miti hifadhi ya Ziwa Manyara. #3. Tanzania ni nchi ambako fuvu la mtu wa kale z

JUAN MATA ATIMIZA MIAKA 30 HII NI HISTORIA YAKE KWA UFUPI

Image
Mata 2017/2018 JUAN MATA Mata alizaliwa April 28, 1988 huko Burgos, Hispania. Leo anatimiza miaka 30. Ana urefu wa cm 70 na uzito wa kg 63. Amewahi kucheza michezo 82 akiwa na timu ya Chelsea 2011 hadi 2014 akiifungia klabu hiyo jumla ya magoli 18 katika misimu yote mitatu katika klabu hiyo kabla ya kujiunga na timu ya Manchester United Januari 24, 2014 kwa usajili wa Euro 37.1 milioni. Mpaka sasa Mata ameifungia klabu ya Man U jumla ya magoli 30. Alisaini mkataba ya kuichezea Manchester United Januari 24, 2014 na mkataba wake wa sasa utamalizika June 30, 2019. Kabla ya Umaarufu Mata alianza kujihusisha na soka katika klabu ya Real Madrid kuanzia mwaka 2006-2007 na baadaye alijiunga na klabu ya Valencia 2007-2011. Mwaka 2011 alijiunga na klabu ya Chelsea na mwaka 2014 alijiunga na klabu ya Manchester United. Mata alipokua Chelsea. Nyongeza Amewahi kuwepo katik kikosi cha timu ya taifa ya Hispania ambacho kilichukua kombe la dunia mwaka 2010. Rekodi zake katika

MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY SCHOLARSHIPS TENABLE IN EGYPT FOR THE ACADEMIC YEAR 2018/2019

Image
1. Call for Application Applications are invited from qualified Tanzanians for 7 scholarships (5 for Undergraduate, 1 for Masters and 1 Doctorate Degrees ) tenable in Egypt at University of HELWAN for the academic year 2018/2019.   2. QUALIFICATIONS FOR UNDERGRADUATES Applicants must: • have completed and passed Advanced Certificate of Secondary Education and have obtained an average grade of ‘C’ in the relevant subjects;  • not be admitted in Higher Learning Institutions;  • not be older than 25 years of age by September 2018;  • note that studies will be in English or Arabic depending on the academic studies in the relevant faculty  • apply to the following field: Tourism & Hoteling, Commerce, Engineering and Computer and Technology   • Have good health.  3. QUALIFICATIONS FOR POST UNDERGRADUATE   • Applicant for Maters Degrees must accomplish his/her bachelor's degree with GPA at least 3.2 • Applicant for Doctorate he/she must finish the Msc D

AN ALIEN AT HOME: A POEM BY VENANCE GILBERT

Image
Venance Gilbert in 2017 My poems speaks about crosscutting issues to the Tanzania society at large. I write on political issues, social dynamism, economic issues, cultural aspects and related aspects. There are several issues happening in the Tanzania society at the moment, and today I invite you to recite the poem,  "An Alien at Home" . It speaks of the contemporary issues in the Tanzanian trending issues, after reading it you might have your comments, please write to me through the contacts after the poem. An image taken from LasVegasWeekly.com AN ALIEN AT HOME It was once before a free boundaries One could have a word on anything done erroneous Handcuff men could seize no one And the leader would come to act in response But have the courage now to enunciate touching them You be subjected to the undetectable like that rap man Or be handcuffed to dark Followed by late delivering to law paraphrase Once delivered, the commandment paraphrase will