Showing posts with label Elimu. Show all posts
Showing posts with label Elimu. Show all posts

DIRISHA LA UFADHILI WA MASOMO "SAMIA SCHOLARSHIP" 2023/2014 LIMEFUNGULIWA

TANGAZO LA SAMIA SCHOLARSHIP MWAKA 2023/2024

UFADHILI KUPITIA SAMIA SCHOLARSHIP KWA WAHITIMU WENYE UFAULU WA JUU KATIKA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2023 KATIKA TAHASUSI ZA SAYANSI


1.0 UTANGULIZI

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatangaza programu ya Ufadhili iitwayo SAMIA SCHOLARSHIP kwa masomo ya shahada ya kwanza kwa wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika mitihani ya Kidato cha Sita mwaka 2023 iliyoendeshwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) katika Tahasusi za Sayansi (PCB, PCM, PGM, CBG, CBA, PMC na CBN). 

SAMIA SCHOLARSHIP itagharamia kwa asilimia mia moja (100%) masomo ya Elimu ya Juu kwa wanafunzi hao ambao wamepata udahili katika fani za Teknolojia, Uhandisi, Hisabati na Tiba.

2.0 SIFA ZA KUPATA UFADHILI

Ufadhili huu utatolewa kwa wahitimu wa kidato cha sita wenye sifa zifuatazo:
1. Awe Mtanzania;

2. Awe na ufaulu wa juu kwenye mitihani ya taifa ya kidato cha sita mwaka 2023 iliyoendeshwa na NECTA katika tahasusi za sayansi;

3. Awe amepata udahili katika Chuo cha Elimu ya Juu hapa nchini kinachotambuliwa na Serikali katika programu za Sayansi, Teknolojia, Uhandisi, Hisabati au Tiba ambazo zimetajwa katika kundi la kwanza (Cluster 1) katika Mwongozo wa utoaji mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu kwa mwaka 2023/2024 unaopatikana kupitia www.heslb.go.tz

4. Awe ameomba ufadhili kwa usahihi kwa njia iliyoelekezwa.

3.0 MAENEO YA UFADHILI

Ufadhili utazingatia viwango na miongozo ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ya kugharamia maeneo yafuatayo:
a. Ada ya Mafunzo
b. Posho ya chakula na malazi
c. Posho ya Vitabu na Viandikwa
d. Mahitaji Maalum ya Vitivo
e. Mafunzo kwa Vitendo    
f. Utafiti
g. Vifaa saidizi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu
h. Bima ya Afya

4.0 MUDA WA UFADHILI

Wanafunzi watakaofadhiliwa, watagharimiwa kati ya miaka mitatu (03) hadi mitano (05) kulingana na programu husika walizodahiliwa.

5.0 UTARATIBU WA KUOMBA UFADHILI

Maombi ya Samia Scholarship yatawasilishwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu kwa njia ya mtandao https://olas.heslb.go.tz kwa siku 14 kuanzia Septemba 25, 2023

6.0 WAJIBU/MASHARTI YA UFADHILI

Mwanafunzi atakayepata ufadhili wa SAMIA SCHOLARSHIP atawajibika kuzingatia masharti yafuatayo:

a. Anapaswa kusoma, kuelewa na kusaini Mkataba wa Makubaliano ya Ufadhili wa Masomo kati yake na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia;

b. Anapaswa kuwa na akaunti ya Benki kwa ajili ya fedha atakazolipwa moja kwa moja.

c. Mnufaika hataruhusiwa kubadilisha programu ya masomo aliyopatia ufadhili bila barua ya idhini ya maandishi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia;

d. Mnufaika hataruhusiwa kuahirisha masomo, isipokuwa kwa sababu za kiafya, na kuthibitishwa na chuo husika;

e. Ikiwa mnufaika ataghairi fursa ya ufadhili kabla ya kuanza masomo, atapaswa kuwasilisha taarifa ya maandishi kwenda kwa:

Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
Mji wa Serikali Eneo la Mtumba Mtaa wa Afya,
S.L.P 10,
40479 DODOMA, TANZANIA.
Barua pepe: ps@moe.go.tz

f. Iwapo kiwango cha ufaulu wa mnufaika kitashuka chini ya GPA 3.8 katika mwaka wa masomo, ufadhili utasitishwa;

g. Mnufaika anapaswa kujisajili katika Mfumo wa Usimamizi wa Wanafunzi (Students Management System) unaopatikana kupitia https://scholarships.moe.go.tz/

MUHIMU KUZINGATIA

a. Ufadhili huu ni wa asilimia mia moja ambao kikomo chake kitazingatia miongozo ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu.

b. Orodha ya majina ya wanafunzi husika inapatikana kupitia www.moe.go.tz na www.heslb.go.tz

Imetolewa na:

Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
Septemba 25, 2023
DODOMA

ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2023

Wizara ya Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetangaza orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na masomo kwa kidato cha tano katika michepuo/tahasusi mbalimbali kwa awamu ya pili. Majina hayo yanapatikana kwa kubofya 👉🏿 HAPA

UDAHILI WA ASTASHAHADA NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2022/2023 UMEFUNGULIWA


BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI (NACTVET)
limefungungua rasmi dirisha la uombaji wa nafasi za masomo kwa mwaka 2022/2023 ngazi ya Astashahada (Certificate) na Stashahada (Diploma), katika ujumbe huo tangazo linasomeka kama ifuatavyo:


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU WAOMBAJI WA UDAHILI WA ASTASHAHADA NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2022/2023

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi linapenda kuufahamisha umma kuwa Udahili wa wanafunzi kwa Ngazi ya Astashahada na Stashahada kwa kozi/programu zote zinazotolewa na Vyuo mbalimbali umefunguliwa rasmi kuanzia tarehe 24 Mei, 2022 hadi tarehe 30 Julai, 2022 katika awamu ya kwanza.


Wahitimu wote wa Elimu ya Sekondari na Vyuo wenye sifa za kujiunga na kozi za Astashahada na Stashahada, wanashauriwa kufanya maombi yao kwa umakini ili kupata nafasi ya kujiunga kozi/programu wanazozipenda na ambazo wanatimiza vigezo/sifa za kujiunga nazo kwa mwaka wa masomo 2022/2023. Maombi ya kujiunga na kozi/programu mbalimbali yatumwe moja kwa moja kwenye vyuo husika.
 

Aidha, waombaji wa programu za Afya na Sayansi Shirikishi kwa Vyuo vyaSerikali na Visivyo vya Serikali - Tanzania Bara, wanapaswa kuwasilisha maombi yao kupitia Udahili wa Pamoja (Central Admission System - CAS) katika tovuti ya NACTVET (www.nacte.go.tz).
 

Wanafunzi waliopangiwa nafasi za masomo katika vyuo mbalimbali vya elimu na mafunzo ya ufundi na Ofisi ya Rais-TAMISEMI wanajulishwa kuwasiliana na wakuu wa vyuo ili kuthibitisha au kupata maelezo ya namna ya kujiunga na vyuo husika. Wanafunzi ambao hawajaridhika na machaguo yao wanashauriwa kuomba moja kwa moja programu/kozi au vyuo wanavyopenda kuanzia tarehe 24 Mei, 2022.

Baraza linasisitiza kuwa wanafunzi waliopangiwa nafasi za masomo na Ofisi ya Rais-TAMISEMI wafanye mawasiliano moja kwa moja vyuoni au OR-TAMISEMI kwa maelezo zaidi. Masomo yataanza tarehe 18 Oktoba, 2022.

Baraza pia, linawashauri waombaji, wazazi na walezi kuhakikisha kuwa wanaomba kwenye Vyuo ambavyo vimeorodheshwa kwenye Kitabu cha mwongozo wa Udahili kwa Mwaka wa Masomo 2022/2023 (Admission Guidebook for 2022/2023 Academic Year). Mwongozo wa Udahili unapatikana katika tovuti ya Baraza (www.nacte.go.tz).


IMETOLEWA NA:
OFISI YA KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI
(NACTVET) 

TAREHE: 24/05/2022

LIST OF APPLICANTS SELECTED TO JOIN THE NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT (NIT) 2018/2019 ROUNDS 1 & 2

To access the names of selected undergraduates click HERE

SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE (SUA) SELECTIONS SECOND ROUND 2018/2019

The following applicants have been selected to join various degree programmes for 2018/2019 academic year which commences on the 29th October, 2018.

Prospective Students are advised to observe the following:
  1. All candidates selected to join BSc. Environmental Science and Management, Bachelor of Tourism Management, Bachelor of Rural Development, BSc. Agricultural Economics and Agribusiness, BSc. Applied Agricultural Extension, BSc. Range Management BSc. Informatics and all BSc. Education programs are supposed to report to Solomon Mahlangu Campus (SMC) – Mazimbu, whereas, students for other programs will report to the Main Campus (MC).
  2. All students are required to participate in a mandatory orientation programme planned to starts on 29th October, 2018
  3. Admitted students should download admission letters and invoice at www.suasis.sua.ac.tz  through their SUASIS (SUA Student Information System) account. SUASIS can be accessed using the username and password provided to you during application.
  4. Each student Must upload a recent and high quality passport size photo on their web page before arrival for official use. This must be of the same quality as those used for passports or Identity cards.

To access the names of selected undergraduates click HERE

MZUMBE UNIVERSITY SELECTIONS SECOND ROUND 2018/2019

This is to inform you that, we have received feedback from TCU following your applications in the second round window. Please visit our admission page at http://admission.mzumbe.ac.tz/and https://site.mzumbe.ac.tz/ to view the list of selected candidates. Please check the last column in the list in order to determine the status whether you have “Multiple selections” or you have just been selected by Mzumbe University only.

If you have multiple selections, please wait for confirmation code from TCU and log in into your admission account and enter the “confirmation code” correctly to confirm to Mzumbe University. In case your name is not in the list of the second round application and was not in the first round too, log into your admission account through the login link and check the reasons why you have not been selected.

We will run again submission for third round application after receiving feedback on some of the applicants who were found to “lack minimum requirements or missing relevant diplomas”. We will establish the remaining slots for each programme and submit third round selection to TCU. As we receive response from TCU we will keep updating your status in the admissions account. Please do not forget your usernames and passwords.
Please stay in touch and visit our Mzumbe University website at https://site.mzumbe.ac.tz/and the admission page athttp://admission.mzumbe.ac.tz/ for any update. In case you have forgotten your username and password, just call the numbers found on the admission page and you will be assisted.

Mr. Martin Patrice Massawe                                                                        
Ag. Director of Undergraduate Studies

To access the names of selected undergraduates click HERE

PDF FILE: UDOM SELECTIONS (WITHOUT AND WITH MULTIPLE ADMISSIONS) SECOND ROUND 2018/2019

The University of Dodoma (UDOM) wishes to inform the general public that the processes involved in the admission of applicants into different study programmes offered by the University for the 2018/2019 Academic year in the second round have been completed. A list of successful applicants is attached (List A). The successful applicants are informed that the joining instructions can be accessed and downloaded from their application accounts accessible through http://application.udom.ac.tz. A list of applicants with multiple admissions is also attached (List B).

To Access the names of selected undergraduates and those with multiple admissions (pdf file) click HERE

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM) SELECTIONS 2018/2019 SECOND ROUND

To check the List Of selected applicants to join the University at Dar es Salaam – UDSM  into various degree programmes for the 2018/2019 academic year, use your username and password to log in to your account by clicking HERE

THE UNIVERSITY OF DODOMA SECOND ROUND SELECTIONS 2018/2019

The University of Dodoma-UDOM has realised the Second round selections for the applicants  selected into various degree programmes for 2018/19 academic year.
To check whether you are selected to join UDOM Log in to your application profile to view your second round selection status by clicking HERE

SELECTED APPLICANTS TO JOIN THE DIT 2018/2019 ROUNDS 1& 2

The Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) is located in the Dar es Salaam city centre, at the junction of Morogoro Road and Bibi Titi Mohamed Street. Historically, DIT was established in 1997 by the Act of Parliament, “the DIT Act No.6 of 1997” to replace the Dar es Salaam Technical College, which had a long history of technical training in Tanzania. This history dates back to 1957 when its predecessor; the Dar es Salaam Technical Institute was established with the main task of providing vocational training in the country. The Institute later expanded its scope to offer technical secondary school courses and training for Technical Assistants before it was upgraded in 1962 to become the Dar es Salaam Technical College (DTC); the first formal technical training institution in the country.

Selected Applicants in the 1st&2nd round but Not Approved by TCU Due to Multiple Admissions These students are required to login into their accounts in the system and confirm to DIT by using aConfirmation Code which will be sent from TCU and once you confirm to DIT that means TCU willapprove your name to DIT only.

APPLICANTS SELECTED IN THE FIRST AND SECOND ROUNDS BUT THEY ARE NOT APPROVED BY TCU (MULTIPLE ADMISSIONS) CAN ACCESS THE NAMES BY clicking HERE


APPLICANTS SELECTED DIRECTLY IN BOTH ROUNDS 1 & 2 CAN ACCESS THE NAMES BY clicking HERE

SELECTED APPLICANTS TO JOIN TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE (TPSC) 2018/2019 SECOND ROUND

The Tanzania Public Service College (TPSC) was established in year 2000 under the ambit of the Executive Agencies Act (Act No 30 of 1997)

The aim of its establishment was to fill an extant void in terms of a comprehensive training facility for Public Service, the changing needs of Public Services resulting from instituted reforms, and the need for an autonomous financially sustainable public service College.
TO ACCESS THE NAMES click HERE

SELECTED APPLICANTS TO JOIN MWENGE CATHOLIC UNIVERSITY (MWECAU) 2018/2019 ROUNDS 1 & 2

Mwenge Catholic University (MWECAU) was established in 2005.  The University was formally known as Mwenge University College of Education (MWUCE). Historically the University was started as a teacher Training college in 2001 known as St. Joseph’s Teachers Training College. The University is owned by Tanzania Episcope Conference (TEC) with an open access and equal opportunity to Students and staff of different faiths and backgrounds. Since its establishment as a teacher training college, the University has been involved in active academic, research and community engagement efforts to fulfill its mandate as a distinguished academic institution as well responding to the government policy of expanding education facilities and training to private sector in Tanzania. Indeed, the University was opened in response to government requests for the quantity and quality expansion of secondary and higher education in the country. When St. Joseph’s Teacher Training College was opened its focus was on training secondary school science teachers on the diploma level.

UPDATED LIST OF SELECTED APPLICANTS CAN BE ACCESSED BY clicking HERE

LIST OF UNDERGRADUATES SELECTED TO JOIN ST. JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA (SJUIT) 2018/2019 SECOND ROUND

St. Joseph University In Tanzania (SJUIT) is a renowned University in Tanzania currently with three active colleges, two at its Mbezi-Luguluni Campus and one at its Boko campus.

The colleges at the Mbezi-Luguluni campus offer degree and Ordinary Diploma programmes in various fields of Engineering and Sciences and Mathematics Education. The college at the Boko campus offers MD (Doctor of Medicine), Pharmaceutical Sciences and Nursing programmes. SJUIT has secured the position as the “UNIVERSITY OF CHOICE”, when it comes to engineering, ICT, science education, medical and paramedical related studies in Tanzania. SJUIT is a university of choice not just for students alone but also for parents alike, as well as the labour market.

FOR    SECOND ROUND MULTIPLE ADMISSION LIST OF ST. JOSEPH COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY click HERE

FOR SECOND ROUND APPROVED LIST OF ST. JOSEPH COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY click HERE

FOR APPROVED STUDENTS LIST FOR ST. JOSEPH COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES click HERE

JOINING INSTRUCTION FOR SAINT AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA (SAUT) 2018/2019 ACADEMIC YEAR

Saint Augustine University of Tanzania has published their joining instructions for the 2018/2019 academic year. You can access it by clicking HERE

LIST OF UNDERGRADUATES SELECTED TO JOIN SAINT AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA (SAUT) SECOND ROUND 2018/2019

To access the names of selected undergraduates click HERE

LIST OF APPLICANTS SELECTED TO JOIN THE COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION (CBE) 2018/2019 ROUNDS 1 & 2

In the first admission round in various Bachelor Degree Programmes in the Academic Year 2018/2019. Students are supposed to report at the College on 29th October 2018. For those who have not collected joining Instructions forms, you can download it from our website (www.cbe.ac.tz) or collect them directly from the College Admission Office.

1. FOR BACHELOR DEGREE STUDENTS SELECTED IN THE SECOND ROUND click HERE

2. THOSE SELECTED FROM MULTIPLE ADMISSIONS DURING FIRST ROUND click HERE

3. APPLICANTS SELECTED FOR BACHELOR DEGREE PROGRAMMES AT MWANZA CAMPUS click HERE

LIST OF APPLICANTS SELECTED TO JOIN BACHELOR DEGREE PROGRAMMES AT ARDHI UNIVERSITY 2018/2019 (ROUND 1 & 2)


The following have been selected to pursue various undergraduate degree programmes  at Ardhi University. The list contain those directly selected during rounds one and two as well as those who were selected under multiple admissions during round one and confirmed to join Ardhi University. Lists from subsequent rounds will also be published when they are due. The management wishes to congratulate all those successfully selected (directly) or confirmed to join this University. You are rest assured that Ardhi University is your place to be; a place where your academic dreams will be nurtured to reality. Orientation week will commence on 29th October 2018 and will last up to 2nd November  2018. Teaching session will begin on 05th November 2018.



During orientation week, students will be guided to register for their studies as well as being introduced to various offices and places at the University. They will also be briefed on all matters relating to academic life at the University. Important documents for the registration process can be downloaded from the University’s website. These include Admission letters; joining instruction; Form C (Medical Examination); and Registration Forms.

ONLY THOSE SELECTED UNDERGRADUATES AND THEIR NAMES PUBLISHED ON THE UNIVERSITY’S WEBSITE ARE ENCOURAGED TO DOWNLOAD AND FILL THE FORMS. Dully filled forms will be returned to the University during the orientation week.

LIST OF STUDENTS SELECTED IN ROUNDS 1 & 2 CAN BE ACCESSED BY clicking HERE

LIST OF APPLICANTS SELECTED FROM MULTIPLE ADMISSIONS CAN BE ACCESSED BY clicking HERE

APPLICANTS CONFIRMED TO JOIN SAUT FROM MULTIPLE ADMISSION LIST 2018/2019

To access the names of selected undergraduates click HERE (make sure your device can access .xlsx format)

LIST OF UNDERGRADUATES SELECTED TO JOIN TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA 2018/2019 (SECOND ROUND)

List of names can be accessed by clicking HERE

LIST OF UNDERGRADUATE APPLICANTS WITH MULTIPLE ADMISSIONS EXPECTING TO JOIN TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA 2018/2019 (SECOND ROUND)


Names can be accessed by clicking HERE