Posts

Showing posts with the label Music

ALI KIBA - MVUMO WA RADI WATCH VIDEO & DOWNLOAD MP3

Image
Ali Kiba ameachia audio na video ya Wimbo wake mpya Unaoitwa Mvumo wa Radi. Kudownload audio     BOFYA HAPA Kudownload video     BOFYA HAPA Kutazama video hii hapa chini

AUDIO | HUNTER & D FLEVA FEAT BARNABA-FURSA | DOWNLOAD

Image
Ngoma mpya kutoka kwa Hunter & D Fleva wakimpa shavu Baarnaba Boy Classic. Ngoma imefanyika Combination sound ukiwa ni mono wa fundi Man Water. VENANCE BLOG inakupa nafasi ya kudownload na kusikiliza. DOWNLOAD

AUDIO | DARASSA-HASARA ROHO | DOWNLOAD

Image
DOWNLOAD

DOWNLOAD JAY2 THE HUSTLER X CAST BEEZY-TIME IS NOW

Image
Hii ni mpya kutoka kwa Jay 2 th e  hustler & Cast beezy -Time is Now. DOWNLOAD  

DOWNLOAD HARMONIZE & RICH MAVOKO-SHOW ME NEW SONG

Image
  Brand new track kutoka WCB. Harmonize & Rich Mavoko wametuletea hii, Show Me DOWNLOAD

NEW AUDIO: DOWNLOAD BARAKA DA PRINCE FT ALI KIBA-NISAMEHE MP3

Image
Baraka Da Prince akishirikiana na Ali Kiba wanakusikilizisha kitu hiki hapa kipya, wimbo unaitwa Nisamehe umefanyikwa kwa Imma the Boy. DOWNLOAD HAPA

IGGY AZALEA ASISITIZA YEYE NA FRENCH MONTANA NI MARAFIKI TU

Image
Iggy Azalea amekataa kuwa na uhusiano na French Montana japo wameonekana mara kadhaa wakiwa sehemu za starehe pamoja. Rapper huyo wa kike ameuambia mtandao wa TMZ kuwa hana mpenzi kwa sasa hivyo yeye na French Montana ni marafiki tu. “We are Single, I’m single,” amesema Iggy. “just friends.” Wiki kadhaa zilizopita Iggy alidai kuwa yeye na French Montana kuna wimbo wamefanya ila hawana mahusiano yoyote lakini baada ya wiki moja wawili hao walionekana wakiwa wanakula bata pamoja huko Cabo San Lucas, Mexico. Walionekana pia wakibusiana.

ALI KIBA KUTUMBUIZA TUZO ZA MTV MAMA OKTOBA 22

Image
Mwanamzuki mwenye vionjo vya kipekee Ali Kiba a.k.a. King Kiba amethibitisha katika ukurasa wake wa Facebook kuwa ataperform katika tuzo za MTV MAMA zitakazofanyika Johanesburg Afrika Kusini Octoba 22 mwaka huu.

KATY PERRY AMESEMA ATAFANYA COLLABO NA TAYLOR SWIFT KAMA ATAOMBA MSAMAHA

Image
Katy Perry na Taylor Swift wakiwa Berley Hilton Hotel Januari 30, 2010 Katy Perry na Taylor Swift kufanya  collabo?  Collabo hiyo inaweza kutokea lakini kwa sharti moja tu kutoka kwa Katy Perry, kama Taylor Swift atakubali kumuomba msamaha. Hili linakuja baada ya shabiki mmoja wa Katy Perry kuuliza katika mtandao wa Twitter kama Katy Perry anaweza kufanya collabo na Swift, Perry akajibu kwa kifupi "hakika, kama ataomba msamaha" Mgogoro kati ya mastaa hawa wawili wa Pop ulianza mwaka 2014 kufuatia Swift kumteta Katy katika Mtandao wa The Rolling Stone kuwa wimbo wake "Bad blood" ulikuwa unamhusu Swift. "Alifanya kitu kibaya sana" alisema Swift. "Ilikuwa kama hivyo. Tumekuwa maadui. Na sababu haikuwa mwanaume. Ni kazi tu. Alijaribu hata kuvuruga tamasha langu. Alijaribu hata kuwapa hela vijana waje kunitoa jukwaani" JE, KATY PERRY AMETHIBITISHA KUWA WIMBO WA 'BAD BLOOD' UNAMHUSU SWIFT? Mtandao wa The Internet ulisema kwamba

MAN WATER AELEZA SABABU ZA KUWARUDISHA WAKONGWE KWENYE MUZIKI

Image
Producer Man Water wa combinataion sound, ameelezea sababu ya kupenda kuwarudisha wasanii wa kitambo kwenye game, ambao tayari walishapotea kimuziki. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Man Water amesema hupenda kufanya hivyo kwani ana imani wasanii hao bado wana uwezo mkubwa, na kwa kuwa alitoka nao mbali kikazi. “Kurudisha wasanii waliopotea mimi na kuwa nao karibu kwa sababu ni watu wangu ambao nimetoka nao mbali, najua hustle zao tulipita wote, na kwa sababu mi mwenzao bado nimebaki kwenye game, sasa nikiwaita wale nawaambia jinsi gani game ya sasa ilivyo na wabadilike vipi ili waweze kurudi”, alisema Man Water. Man Water alishawahi kumrudisha kwenye game msanii 20% , Alikiba, Lady Jaydee na wengine, huku bado akiwa na mpango wa kuendelea kuwarudisha wasanii wengine kama Mr. Nice. Chanzo: EATV

DOWNLOAD AUDIO KUTOKA UPRISE MUSIC: JVP SQUAD-HUSTLE ZA KITAA

Image
Ngoma imefanywa Uprise Music na producer Fragger. Ngoma inaitwa Hustle za Mtaa imefanywa na JVP Squad ndani kasimama Ng'itu the Hustler na Fizzo. Sikiliza na kudownload kisha toa maoni yako hapa.  BOFYA HAPA KUSIKILIZA NA KUDOWNLOAD  

JANET JACKSON AAHIRISHA KUFANYA ZIARA YA MUZIKI ULAYA KUFUATIA MAUZO MABAYA YA TIKETI

Image
Janet Jackson amefuta ziara yake kimuziki 'Unbreakable' barani Ulaya kufuatia mauzo mabaya ya tiketi barani humo. 'Alikuwa anaelekea kushindwa vibaya' kilisema chanzo cha habari. Muuza tiket mkuu alimuandikia barua pepe Janet mapema wiki hii kuhusu kurudishwa kwa hela za watu waliokuwa wamenunua tiketi. Hii ni wiki tatu kabla Janet alikuwa aende kufanya onesho jijini London, 'haitawezekana kwa sasa kusema ni lini tutapanga tena tarehe mpya ya onesho kwa hiyo tunarudisha hela kwa wale waliokuwa wamenunua tiketi' iliandikwa hivyo barua pepe hiyo. Upande wa Janet haukuzungumzia kuhusu kufutwa kwa onesho hilo lakini chanzo cha habari kilisema kuwa ni kufuatia mauzo mabay ya tiketi. 'Alikuwa anaelekea kushindwa vibaya, msanii anapofuta au kuahirisha ziara ya muziki sababu huwa ni mauzo mabaya ya tiketi' kilisema chanzo hicho na kuongeza 'ni bora kuahirisha kuliko kufanya onesho ukumbi ukiwa haujajaa watu haswa kwa msanii Janet Jackson'. Cha

DOWNLOAD WIMBO MPYA: TOFA EMCEE-KUNG FU PANDA

Image
Anaitwa Christopher Robert jina la kazi ya sanaa 'Tofa Emcee'.  Tofa Emcee katika picha. Picha kwa hisani ya Facebook account Christoper TofaEmcee Robert Donload Kung Fu Panda kwa kubofya HAPA.

VIDEO MPYA: BRACKETS-ALIVE FT DIAMOND & TIWA ICHEKI HAPA NA KUDOWNLOAD

Image
Alive -“Hii ni hadithi ya kweli ya Vast Bracket, safari yake hadi alivyopona kansa mwaka 2013. Huu ni wimbo wa shukrani kwa kumfanya mshindi aliyeishinda kansa.” Hayo ni maneno yanayoonekana mwanzoni mwa video ya wimbo mpya ya kundi la Bracket kutoka Nigeria iliyotoka wiki hii, ambao wamemshirikisha Diamond Platnumz na Tiwa Savage. Kipindi Vast anaumwa kansa Memba wa kundi hilo aitwaye Vast, mwaka 2013 alikuwa akipigania uhai wake baada ya kuugua kansa ya damu ambayo baadae alifanikiwa kupona, ndio sababu ya kundi hilo kuamua kurekodi wimbo huu ‘Alive’ kwaajili ya kumshukuru Mungu kutokana na kumuwezesha msanii huyo kupona. Vast ni yule ambaye anaimba vesre ya kwanza na kwenye video anaonekana yupo hospitali. Video hii hapa Vast aliwahi kuelezea jinsi alivyougua hadi kupona katika mahojiano mbalimbali aliyofanyiwa 2013: “It all started when we went on an American tour and I started feeling feverish. I found myself taking my bath with hot

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA BRACKETS FT DIAMOND PLATNUMZ NA TIWA SEVAGE HAPA

Image
Wakati Davido wa Nigeria akimponda sana Diamond Platnumz, kuwa hana fadhila, wasanii kutoka Nigeria Brackets wamakuja na ujio mpya wa Wimbo wao uitwao Alive ukiwa kama gospel fulani, wakiwa wanamshukuru Mwenyezi Mungu. Mwanadada Tiwa Savage pia amehusika humu ndani. Diamond a.k.a. Chibu Dangote kama kawaida kawakilisha kwa lugha yetu ya KISWAHILI.   ILI KUDOWNLOAD WIMBO HUU BONYEZA HAPA WASILIANA NAMI : Facebook: VENANCE BLOG Twitter: @ Venancetz Instagram : venancegilbert

EXCLUSIVE: DAVIDO ATOA VIDEO YA WIMBO WAKE 'OWO NI KOKO' ITAZAME HAPA

Image
  Mwanamuziki kutoka Nigeria, Davido ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao Owo ni Koko.  WASILIANA NAMI KWA: Facebook: VENANCE BLOG  Twitter: @Venancetz  Instagram: venancegilbert KWA HISANNI YA DJ CHOKA MUSIC

VIDEO: KANYE WEST NA HEADLINE YA KUTAKA WALIOHUDHURIA SHOW YAKE WASIMAME (HADI WALEMAVU) KIM KADARSHIAN AMTETEA

Image
Rapper Kanye West ametawala vichwa vingi vya habari weekend iliyopita baada ya tukio alilolifanya kwenye moja ya show za tour yake ya Australia. Katika show hiyo Kanye alisimamisha show na kuwataka watu wote wasimame ndio aendelee na show. “I can’t do this song, I can’t do the rest of the show until everybody stands up, Unless you got a handicap pass and you get special parking,” Kanye alisikika akiwaambia mashabiki waliofurika kwenye uwanja wa Qantas Credit Union huko Sydney. Baada ya mashabiki wengine kusimama kama walivyoombwa na Kanye, watu wawili waliendelea kukaa na ndipo Kanye alipowaona na kuendelea kuwamtaka nao wasimame, mpaka alipokuja kugundua kuwa ni walemavu ndipo akasema ‘”If he’s in a wheelchair, then it’s fine,” na kisha kuendelea kutumbuiza wimbo mwingine. Kim Kardashian West ameibuka na kumtetea mume wake kwa kuvilaumu vyombo vya habari kuwa vimedanganya. Kim ameongeza kuwa Kanye hakumwambia mtu yeyote aliye kwenye ‘wheel chair’ asimame bali alichokis

3 IN ONE: PROFESA JAY KUZINDUA VIDEO MBILI NA WEBSITE YAKE KWA SIKU MOJA

Image
Msanii Profesa Jay hapo kesho anataraji kuachia video za nyimbo zake mbili KIPI SIJASIKIA na TATU CHAFU pamoja na uzinduzi wa tovuti yake ambayo kiungo chake ni www.profesajay.com. Ni katika ukumbi wa TEN LOUNGE zamani LETASI LOUNGE BUSINESS PARK VICTORIA jijini DSM ni kw kiingilio cha Tsh. 10,000/= kuanzia saa mbili usiku hapo kesho Jumamosi... Vyanzo: facebook, instagram na twitter accounts za Professor Jay VENANCE BLOG © September 2014

BOB JUNIOR AZUNGUMZIA COLLABO ZAKE NA BEN POL NA CHAMELEONE

Image
Bob Junior azungumzia collabo zake na Ben Pol na Jose ChameleoneBy Bongo5 Editor on September 12, 2014 (1 min ago) Rais wa Masharobaro nchini, Bob Junior amefanya collabo mbili tofauti na Ben Pol pamoja na msanii wa Uganda, Jose Chameleone. Akiongea na Bongo5, Bob Junior ambaye hivi karibuni aliachia kazi yake mpya iitwayo Bolingo, alidai kuwa lengo la kushirikisha wasanii hao ni kuja na muziki mpya ambao watu hawajazoea kutoka kwake. “Kuna project ya mimi na Chameleone ambayo inayoka mwezi wa 10 so bado sijajua kama itatangulia ya Ben Pol na mimi au ntatoa ngoma yangu mimi peke yangu au ya mimi na Chameleone,” alisema. Hivi karibuni muimbaji na mtayarishaji huyo wa muziki alisema kuwa amebadilisha jina la studio yake kutoka Sharobaro Records na kuwa Sharobaro Music na kwamba muziki atakaokuwa anatayarisha utakuwa na ladha tofauti.

KESI YA UMILIKI WA NYIMBO ZA BOB MARLEY YAMALIZIKA

Mzozo wa kisheria juu ya nani anayemiliki baadhi ya nyimbo maarufu za reggae duniani umemalizika mjini London. Nyimbo hizo zilizotungwa na kuimbwa na msanii Bob Marley zimekuwa ziking'ang'aniwa na kampuni 2 pinzani juu ya umiliki wao. Jaji katika mahakama kuu, Richard Meade alikata kesi ambapo kampuni ya Cayman Music ilikuwa inadai kumiliki nyimbo 13, miongoni mwao wimbo uliopata umaarufu 'No Woman, No Cry' kuwa haina haki nazo tena. Kampuni hiyo ilikuwa imedai kuwa nyimbo hizo hazikujumuishwa walipouza baadhi ya haki zake kwa kampuni nyingine mnamo mwaka wa 1992. Kampuni ya Cayman imesema kuwa Bob Marley aliandika nyimbo hizo chini ya majina tofauti, lakini Jaji ameamua kuwa bado kandarasi waliouzia inafunika nyimbo zote hizo. Bob Marley alifariki mwaka wa 1981 baada ya kuugua maradhi ya saratani kwa muda.