Showing posts with label Music. Show all posts
Showing posts with label Music. Show all posts

ALI KIBA - MVUMO WA RADI WATCH VIDEO & DOWNLOAD MP3


Ali Kiba ameachia audio na video ya Wimbo wake mpya Unaoitwa Mvumo wa Radi.

Kudownload audio    BOFYA HAPA

Kudownload video    BOFYA HAPA


Kutazama video hii hapa chini



AUDIO | HUNTER & D FLEVA FEAT BARNABA-FURSA | DOWNLOAD


Ngoma mpya kutoka kwa Hunter & D Fleva wakimpa shavu Baarnaba Boy Classic. Ngoma imefanyika Combination sound ukiwa ni mono wa fundi Man Water. VENANCE BLOG inakupa nafasi ya kudownload na kusikiliza.

DOWNLOAD

AUDIO | DARASSA-HASARA ROHO | DOWNLOAD

DOWNLOAD JAY2 THE HUSTLER X CAST BEEZY-TIME IS NOW


Hii ni mpya kutoka kwa Jay2 th hustler & Cast beezy-Time is Now.

DOWNLOAD HARMONIZE & RICH MAVOKO-SHOW ME NEW SONG

Tokeo la picha la harmonize & mavoko show me 
Brand new track kutoka WCB. Harmonize & Rich Mavoko wametuletea hii, Show Me

DOWNLOAD

NEW AUDIO: DOWNLOAD BARAKA DA PRINCE FT ALI KIBA-NISAMEHE MP3

Baraka Da Prince akishirikiana na Ali Kiba wanakusikilizisha kitu hiki hapa kipya, wimbo unaitwa Nisamehe umefanyikwa kwa Imma the Boy.


DOWNLOAD HAPA

IGGY AZALEA ASISITIZA YEYE NA FRENCH MONTANA NI MARAFIKI TU

Iggy Azalea amekataa kuwa na uhusiano na French Montana japo wameonekana mara kadhaa wakiwa sehemu za starehe pamoja.
Rapper huyo wa kike ameuambia mtandao wa TMZ kuwa hana mpenzi kwa sasa hivyo yeye na French Montana ni marafiki tu.
“We are Single, I’m single,” amesema Iggy. “just friends.”
Wiki kadhaa zilizopita Iggy alidai kuwa yeye na French Montana kuna wimbo wamefanya ila hawana mahusiano yoyote lakini baada ya wiki moja wawili hao walionekana wakiwa wanakula bata pamoja huko Cabo San Lucas, Mexico. Walionekana pia wakibusiana.

ALI KIBA KUTUMBUIZA TUZO ZA MTV MAMA OKTOBA 22


Mwanamzuki mwenye vionjo vya kipekee Ali Kiba a.k.a. King Kiba amethibitisha katika ukurasa wake wa Facebook kuwa ataperform katika tuzo za MTV MAMA zitakazofanyika Johanesburg Afrika Kusini Octoba 22 mwaka huu.

KATY PERRY AMESEMA ATAFANYA COLLABO NA TAYLOR SWIFT KAMA ATAOMBA MSAMAHA

Katy Perry na Taylor Swift wakiwa Berley Hilton Hotel Januari 30, 2010


Katy Perry na Taylor Swift kufanya  collabo?

 Collabo hiyo inaweza kutokea lakini kwa sharti moja tu kutoka kwa Katy Perry, kama Taylor Swift atakubali kumuomba msamaha.

Hili linakuja baada ya shabiki mmoja wa Katy Perry kuuliza katika mtandao wa Twitter kama Katy Perry anaweza kufanya collabo na Swift, Perry akajibu kwa kifupi "hakika, kama ataomba msamaha"

Mgogoro kati ya mastaa hawa wawili wa Pop ulianza mwaka 2014 kufuatia Swift kumteta Katy katika Mtandao wa The Rolling Stone kuwa wimbo wake "Bad blood" ulikuwa unamhusu Swift.

"Alifanya kitu kibaya sana" alisema Swift. "Ilikuwa kama hivyo. Tumekuwa maadui. Na sababu haikuwa mwanaume. Ni kazi tu. Alijaribu hata kuvuruga tamasha langu. Alijaribu hata kuwapa hela vijana waje kunitoa jukwaani"

JE, KATY PERRY AMETHIBITISHA KUWA WIMBO WA 'BAD BLOOD' UNAMHUSU SWIFT?

Mtandao wa The Internet ulisema kwamba Katy Perry ndiye mwenye makosa, kufuatia baadhi ya madansa wa Swift kuondoka kwenye tour ya Swift kufuatia mpango ulofanywa na Katy Perry.

Muda mfupi baada ya Mahojiano na The Rolling Stone yaliyokuwa ya moja kwa moja, Katy alitweet katika mtandao wa Twitter "Kaa tayari kwa kipindi cha Regina George kuhusu nguo za kondoo".
Baadaye kwenye mahojiano mwaka 2015 na Billboard Perry alisema "kama kuna mtu atajaribu kuniharibia sifa yangu, mtamsikia tu"



Chanzo: Billboard

MAN WATER AELEZA SABABU ZA KUWARUDISHA WAKONGWE KWENYE MUZIKI


Producer Man Water wa combinataion sound, ameelezea sababu ya kupenda kuwarudisha wasanii wa kitambo kwenye game, ambao tayari walishapotea kimuziki.

Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Man Water amesema hupenda kufanya hivyo kwani ana imani wasanii hao bado wana uwezo mkubwa, na kwa kuwa alitoka nao mbali kikazi.

“Kurudisha wasanii waliopotea mimi na kuwa nao karibu kwa sababu ni watu wangu ambao nimetoka nao mbali, najua hustle zao tulipita wote, na kwa sababu mi mwenzao bado nimebaki kwenye game, sasa nikiwaita wale nawaambia jinsi gani game ya sasa ilivyo na wabadilike vipi ili waweze kurudi”, alisema Man Water.

Man Water alishawahi kumrudisha kwenye game msanii 20% , Alikiba, Lady Jaydee na wengine, huku bado akiwa na mpango wa kuendelea kuwarudisha wasanii wengine kama Mr. Nice.



Chanzo: EATV

DOWNLOAD AUDIO KUTOKA UPRISE MUSIC: JVP SQUAD-HUSTLE ZA KITAA

Ngoma imefanywa Uprise Music na producer Fragger. Ngoma inaitwa Hustle za Mtaa imefanywa na JVP Squad ndani kasimama Ng'itu the Hustler na Fizzo. Sikiliza na kudownload kisha toa maoni yako hapa. 

JANET JACKSON AAHIRISHA KUFANYA ZIARA YA MUZIKI ULAYA KUFUATIA MAUZO MABAYA YA TIKETI

Janet Jackson amefuta ziara yake kimuziki 'Unbreakable' barani Ulaya kufuatia mauzo mabaya ya tiketi barani humo. 'Alikuwa anaelekea kushindwa vibaya' kilisema chanzo cha habari. Muuza tiket mkuu alimuandikia barua pepe Janet mapema wiki hii kuhusu kurudishwa kwa hela za watu waliokuwa wamenunua tiketi. Hii ni wiki tatu kabla Janet alikuwa aende kufanya onesho jijini London, 'haitawezekana kwa sasa kusema ni lini tutapanga tena tarehe mpya ya onesho kwa hiyo tunarudisha hela kwa wale waliokuwa wamenunua tiketi' iliandikwa hivyo barua pepe hiyo. Upande wa Janet haukuzungumzia kuhusu kufutwa kwa onesho hilo lakini chanzo cha habari kilisema kuwa ni kufuatia mauzo mabay ya tiketi. 'Alikuwa anaelekea kushindwa vibaya, msanii anapofuta au kuahirisha ziara ya muziki sababu huwa ni mauzo mabaya ya tiketi' kilisema chanzo hicho na kuongeza 'ni bora kuahirisha kuliko kufanya onesho ukumbi ukiwa haujajaa watu haswa kwa msanii Janet Jackson'. Chanzo kutoka kwa waandaaji wa onesho la Janet, Live Nation kilidai kuwa mauzo ya tiketi hayakuwa mazuri 'bado hatuelewi japokuwa bado tuna matazamio mazuri ya onesho hili, lakini isingekuwa na maana kuendelea kusisitiza tarehe hizi . Ana mipango mingi kwa hiyo kunapokuwa na mambo mengi, kunakuwa na mgogoro kuhusu onesho'. Jana, Janet Jackson aliandika kwenye mtandao wa Twitter, 'najua mnanikumbukka, nawakumbuka pia. Nitapanga upya ziara ya Unbrekable Ulaya muda si mrefu kadiri ya uwezo wangu'
Janet Jackson alilazimika kuahirisha maonesho mbalimbali nchini Marekani kufuatia upasuaji aliokuwa amefanyiwa.Taarifa zinasema kuwa Janet atakamilisha maonesho hayo Marekani na anaweza kuongeza siku pia. Producer wa siku nyingi wa Janet, Jimmy Jam amesema kuwa Janet alikuwa anamalizia kurekodi baadhi ya nyimbo zake ili kuweka mambo sawa kwenye albamu yake. Janet anatarajia kufanya onesho kwenye Kombe la Dunia la Dubai tarehe 26 mwezi huu Machi. Anataraji kurudi Marekani kufanya maonesho kuanzia mwezi Mei hadi Septemba. Chanzo: Page Six

DOWNLOAD WIMBO MPYA: TOFA EMCEE-KUNG FU PANDA

Anaitwa Christopher Robert jina la kazi ya sanaa 'Tofa Emcee'.

 Tofa Emcee katika picha. Picha kwa hisani ya Facebook account Christoper TofaEmcee Robert

Donload Kung Fu Panda kwa kubofya HAPA.



VIDEO MPYA: BRACKETS-ALIVE FT DIAMOND & TIWA ICHEKI HAPA NA KUDOWNLOAD


Alive -“Hii ni hadithi ya kweli ya Vast Bracket, safari yake hadi alivyopona kansa mwaka 2013. Huu ni wimbo wa shukrani kwa kumfanya mshindi aliyeishinda kansa.”



Hayo ni maneno yanayoonekana mwanzoni mwa video ya wimbo mpya ya kundi la Bracket kutoka Nigeria iliyotoka wiki hii, ambao wamemshirikisha Diamond Platnumz na Tiwa Savage.


Kipindi Vast anaumwa kansa

Memba wa kundi hilo aitwaye Vast, mwaka 2013 alikuwa akipigania uhai wake baada ya kuugua kansa ya damu ambayo baadae alifanikiwa kupona, ndio sababu ya kundi hilo kuamua kurekodi wimbo huu ‘Alive’ kwaajili ya kumshukuru Mungu kutokana na kumuwezesha msanii huyo kupona.


Vast ni yule ambaye anaimba vesre ya kwanza na kwenye video anaonekana yupo hospitali.


Video hii hapa


Vast aliwahi kuelezea jinsi alivyougua hadi kupona katika mahojiano mbalimbali aliyofanyiwa 2013:

“It all started when we went on an American tour and I started feeling feverish. I found myself taking my bath with hot water even on a very hot day. That was when I started noticing something was wrong. I noticed that whenever I drank alcohol, the fever would come in an aggressive way. I eventually went to a hospital in London. The doctor told me not to worry that everything would be fine. He said to start the treatment, they would have to do something that would allow them take something from my spine. It was a very painful procedure.”

“There was a time that I felt I would die. My only fear was that I was not close to God. I was afraid that if I died, I would not make it to heaven. We musicians have a particular lifestyle. You may plan to be upright, but when you go into entertainment business, it would change you. I was regretting that I was not close to God. I did not want to go to hell. I felt so happy that I survived,”.

“After the treatment, I did two other tests and the doctors confirmed that I was okay. After three months, I am meant to go for a PET scan. I could remember that before the treatment, we had a meeting and agreed that we had to bring £50,000. After the seventh chemotherapy session, the whole money finished. They had to send more £8,000 into the account I was using. The last time I went to withdraw money, what was left there was £120. So I used about £58,000,”

What kind of cancer did you have?

“I had Lymphoma. It is a blood cancer. When I asked the doctor what could the cancer of the blood, he said, nobody knows the cause for now. According to him, it’s like a situation where a dark complexion couple making a baby and the baby turns out to be an albino and if you are asked to explain why, you cannot tell.

I must say that when I was hospitalised, my partner was doing a good job. He would call the producer and they would make a beat and send it to me. He even made the chorus. I picked one of the songs when I came back and hit the studio. We did one of the tracks, it was fantastic. We did another song and it was good as well, all within two days.”

What have you learnt from your experience?

“I learnt that life is very precious. No matter what you do and wherever you are, don’t look down on anybody because you don’t know who will help you tomorrow. Another thing is that you don’t have to be scared of death. You have to face the challenge. Live a normal life. If you are scared of death, you will die. At a point, when I got very scared, the sickness came in full force, but when I started picking courage, it subsided and I recovered.”


DOWNLOAD WIMBO MPYA WA BRACKETS FT DIAMOND PLATNUMZ NA TIWA SEVAGE HAPA

Wakati Davido wa Nigeria akimponda sana Diamond Platnumz, kuwa hana fadhila, wasanii kutoka Nigeria Brackets wamakuja na ujio mpya wa Wimbo wao uitwao Alive ukiwa kama gospel fulani, wakiwa wanamshukuru Mwenyezi Mungu. Mwanadada Tiwa Savage pia amehusika humu ndani. Diamond a.k.a. Chibu Dangote kama kawaida kawakilisha kwa lugha yetu ya KISWAHILI.

 
ILI KUDOWNLOAD WIMBO HUU BONYEZA HAPA




WASILIANA NAMI:
Facebook: VENANCE BLOG
Twitter: @Venancetz
Instagram: venancegilbert

EXCLUSIVE: DAVIDO ATOA VIDEO YA WIMBO WAKE 'OWO NI KOKO' ITAZAME HAPA

 
Mwanamuziki kutoka Nigeria, Davido ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao Owo ni Koko. 





WASILIANA NAMI KWA:
Facebook: VENANCE BLOG 
Twitter: @Venancetz 
Instagram: venancegilbert










KWA HISANNI YA DJ CHOKA MUSIC

VIDEO: KANYE WEST NA HEADLINE YA KUTAKA WALIOHUDHURIA SHOW YAKE WASIMAME (HADI WALEMAVU) KIM KADARSHIAN AMTETEA







Rapper Kanye West ametawala vichwa vingi vya habari weekend iliyopita baada ya tukio alilolifanya kwenye moja ya show za tour yake ya Australia. Katika show hiyo Kanye alisimamisha show na kuwataka watu wote wasimame ndio aendelee na show.


“I can’t do this song, I can’t do the rest of the show until everybody stands up, Unless you got a handicap pass and you get special parking,” Kanye alisikika akiwaambia mashabiki waliofurika kwenye uwanja wa Qantas Credit Union huko Sydney.

Baada ya mashabiki wengine kusimama kama walivyoombwa na Kanye, watu wawili waliendelea kukaa na ndipo Kanye alipowaona na kuendelea kuwamtaka nao wasimame, mpaka alipokuja kugundua kuwa ni walemavu ndipo akasema ‘”If he’s in a wheelchair, then it’s fine,” na kisha kuendelea kutumbuiza wimbo mwingine.

Kim Kardashian West ameibuka na kumtetea mume wake kwa kuvilaumu vyombo vya habari kuwa vimedanganya. Kim ameongeza kuwa Kanye hakumwambia mtu yeyote aliye kwenye ‘wheel chair’ asimame bali alichokisema Kanye ni kila mtu asimame na kucheza isipokuwa wale walioko kwneye ‘wheel chair”.

Kupitia Instagram Kim K ameandika:



“What an amazing Australian tour! Its frustrating that something so awesome could be clouded by lies in the media. Kanye never asked anyone in a wheel chair to stand up & the audience videos show that. He asked for everyone to stand up & dance UNLESS they were in a wheel chair. #JustWantedEveryoneToHaveAFunNight #TheMediaTwistsThings”



BONYEZA/CLICK HAPA KUANGALIA VIDEO YA SHOW HIYO

3 IN ONE: PROFESA JAY KUZINDUA VIDEO MBILI NA WEBSITE YAKE KWA SIKU MOJA

Msanii Profesa Jay hapo kesho anataraji kuachia video za nyimbo zake mbili KIPI SIJASIKIA na TATU CHAFU pamoja na uzinduzi wa tovuti yake ambayo kiungo chake ni www.profesajay.com. Ni katika ukumbi wa TEN LOUNGE zamani LETASI LOUNGE BUSINESS PARK VICTORIA jijini DSM ni kw kiingilio cha Tsh. 10,000/= kuanzia saa mbili usiku hapo kesho Jumamosi...



Vyanzo: facebook, instagram na twitter accounts za Professor Jay



VENANCE BLOG © September 2014

BOB JUNIOR AZUNGUMZIA COLLABO ZAKE NA BEN POL NA CHAMELEONE


Bob Junior azungumzia collabo zake na Ben Pol na Jose ChameleoneBy Bongo5 Editor on September 12, 2014 (1 min ago)

Rais wa Masharobaro nchini, Bob Junior amefanya collabo mbili tofauti na Ben Pol pamoja na msanii wa Uganda, Jose Chameleone.



Akiongea na Bongo5, Bob Junior ambaye hivi karibuni aliachia kazi yake mpya iitwayo Bolingo, alidai kuwa lengo la kushirikisha wasanii hao ni kuja na muziki mpya ambao watu hawajazoea kutoka kwake.

“Kuna project ya mimi na Chameleone ambayo inayoka mwezi wa 10 so bado sijajua kama itatangulia ya Ben Pol na mimi au ntatoa ngoma yangu mimi peke yangu au ya mimi na Chameleone,” alisema.

Hivi karibuni muimbaji na mtayarishaji huyo wa muziki alisema kuwa amebadilisha jina la studio yake kutoka Sharobaro Records na kuwa Sharobaro Music na kwamba muziki atakaokuwa anatayarisha utakuwa na ladha tofauti.

KESI YA UMILIKI WA NYIMBO ZA BOB MARLEY YAMALIZIKA

Mzozo wa kisheria juu ya nani anayemiliki baadhi ya nyimbo maarufu za reggae duniani umemalizika mjini London. Nyimbo hizo zilizotungwa na kuimbwa na msanii Bob Marley zimekuwa ziking'ang'aniwa na kampuni 2 pinzani juu ya umiliki wao. Jaji katika mahakama kuu, Richard Meade alikata kesi ambapo kampuni ya Cayman Music ilikuwa inadai kumiliki nyimbo 13, miongoni mwao wimbo uliopata umaarufu 'No Woman, No Cry' kuwa haina haki nazo tena. Kampuni hiyo ilikuwa imedai kuwa nyimbo hizo hazikujumuishwa walipouza baadhi ya haki zake kwa kampuni nyingine mnamo mwaka wa 1992. Kampuni ya Cayman imesema kuwa Bob Marley aliandika nyimbo hizo chini ya majina tofauti, lakini Jaji ameamua kuwa bado kandarasi waliouzia inafunika nyimbo zote hizo. Bob Marley alifariki mwaka wa 1981 baada ya kuugua maradhi ya saratani kwa muda.