Posts

Showing posts from July, 2018

TAZAMA HAPA MAGOLI 10 BORA YA KOMBE LA DUNIA 2018

Image
Michuano ya Kombe la Dunia tayari imemalizika nchini Urusi jana Julai 15, 2018 ambapo Ufaransa ilii chapa 4 - 2 Croatia. Leo nakupa nafasi ya kuangalia magoli 10 bora yaliyofungwa katika michuano hii, magoli haya ni kama ifuatavyo: 10: Cristiano Ronaldo, Portugal vs Spain 09: Toni Kroos, Germany vs Sweden 08: Lionel Messi, Argentina vs Nigeria 07: Ricardo Quaresma, Portugal vs IR Iran 06: Nacho, Spain vs Portugal 05: Aleksandar Kolarov, Serbia vs Costa Rica 04: Angel Di Maria, Argentina vs France 03: Philippe Coutinho, Brazil vs Switzerland 02. Benjamin Pavard, France vs Argentina 01. Denis Cheryshev, Russia vs Croatia. Unaweza kutazama magoli hayo katika video hii hapa chini: Magoli haya ni kwa hisani ya Kwesé Sports ambao walikua ni washirika rasmi wa FIFA wa kuonesha michuano hii ya Kombe la Dunia 2018.

HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA & UALIMU 2018

Image
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Sita 2018 na yale ya wanafunzi wa Ualimu. Kuangalia matokeo hayo  BOFYA HAPA