Serikali ya Somalia imesema haiwezi kuhusishwa na kesi ya mwananamke ambaye amehukumiwa kifungo jela baada ya kusema kwamba alibakwa, ikisema hili ni suala la kisheria.Msemaji waserikali Ridwaan Haji amesema polisi na mahakama walifanya uchunguzi wa kina, ambao matokeo yake ni kuwa mwanamke huyo mwenye umri wa miaka kumi na tisa kuhukumiwa kifungo jela na waandishi wawili wa habari walioripoti habari hiyo nao pia wakahukumiwa.Mwananamke huyo ambaye amehukumiwa miezi sita kifungo cha nyumbani, atabakia nyumbani kwake kipindi chote hicho. Amesema alibakwa akiwa ameelekezewa bunduki na wanaume wawili.Sio mara ya kwanza kwa mwanamke Somalia kudai kuwa amebakwa.
Nicki Minaja haishiwi vituko vya kupost picha mtandaoni akiwa uchi kabsa ama nusu uchi. Tazama hiyo picha hapo juu inayoonesha matako yake yakiwa wazi. Picha nyingine hii hapa japo amevaa nguo lakini mmmh!! Kwa wanaume so conducive kabisaaa. Cheki jinsi tako lilivyobinuliwa hapa hivi eti njiani anakopita kwa mavazi haya hawapi wanaume shida!!! Haya yote yanakuja wakati Nicki anajiandaa kuachia Album yake mpya ya Pink Friday Print. Album hiyo inapatikana kwenye iTune pia. Picha hizo ziko katika akaunti yake ya Instagram @nickiminaj. WASILIANA NAMI: Facebook: VENANCE BLOG Twitter: @Venancetz Instagram: venancegilbert Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014
Comments
Post a Comment