MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, amesema anatarajia kuwasilisha maelezo binafsi kuhusu, kauli ya Mwanasheria Mkuu aliyoitoa juzi bungeni dhidi yake na kumuita muongo kuhusu suala la kuwa na orodha ya watu wanaodaiwa kuficha fedha nje ya nchi.Zitto, aliyasema hayo bungeni juzi, ikiwa ni siku moja tu baada ya Mwanasheria Mkuu (AG), Jaji Frederick Werema, kudai mbele ya Bunge kuwa Serikali inashughulikia kisheria suala la Zitto kudanganya Bunge na Kamati kuhusu majina ya watu walioficha mabilioni ya fedha Uswisi.Akizungumza na HabariLeo Jumapili, Zitto alisema kwa sasa hataki kuzungumzia suala hilo, ila ukweli wote ataubainisha kwenye maelezo yake binafsi ambayo atayawasilisha wiki ijayo kwenye mkutano wa 14 wa Bunge unaoendelea.“Nimeamua hili suala nilizungumzie ndani ya Bunge, kwa hiyo tayari nimewasilisha maelezo yangu kwenye Ofisi ya Bunge, na wameniambia kuwa nitapangiwa kuwasilisha maelezo hayo wiki ijayo, kila kitu nitakibainisha siku hiyo, sina zaidi,” alisisitiza Zitto.Wakati akitoa majumuisho ya mjadala wa taarifa zilizowasilishwa bungeni juzi, ambazo ni taarifa ya Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, Werema alisema katika suala hilo, Zitto amezidi kuwa mzito.AG huyo ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya kuchunguza madai ya mabilioni hayo amesema ili kumalizia uchunguzi wa fedha hizo ameomba Spika wa Bunge kuongezea kamati hiyo miezi sita.Werema alisema alishangaa kitendo cha Zitto kutaka suala hilo liangalie mfumo na siyo majina ya watu walioficha mabilioni hayo. Alisema awali yeye alishauri kuangalia mfumo wa uwekaji wa fedha hizo, lakini Zitto alikataa na kusema anataka kutoa dukuduku kwa kutaja majina ya watu walioficha fedha hizo.Alisema mwezi Februari Kamati ilikutana na Zitto na kuwaeleza kuwa ana taarifa na nyaraka na kutoa masharti lakini aliondoka kwenda katika kambi ya Jeshi ambako Kamati ilimfuata lakini bado aliwataka kukutana Dar es Salaam.Alisema Mei mwaka huu hadi aliposema hakuwa na jina wala akaunti ya mtu yeyote ambaye ana akaunti nje ya nchi kwa kiapo maalumu.“Jambo la kushangaza ni leo kudai Serikali haina dhamira na suala la walioficha fedha Uswisi? Kwa kweli Zitto Kabwe ni mzigo na sasa tunaingia kufanya kazi hiyo ya uchunguzi kama Serikali kwa kutafuta taarifa bila kumuonea mtu,” alisema Werema.
Nicki Minaja haishiwi vituko vya kupost picha mtandaoni akiwa uchi kabsa ama nusu uchi. Tazama hiyo picha hapo juu inayoonesha matako yake yakiwa wazi. Picha nyingine hii hapa japo amevaa nguo lakini mmmh!! Kwa wanaume so conducive kabisaaa. Cheki jinsi tako lilivyobinuliwa hapa hivi eti njiani anakopita kwa mavazi haya hawapi wanaume shida!!! Haya yote yanakuja wakati Nicki anajiandaa kuachia Album yake mpya ya Pink Friday Print. Album hiyo inapatikana kwenye iTune pia. Picha hizo ziko katika akaunti yake ya Instagram @nickiminaj. WASILIANA NAMI: Facebook: VENANCE BLOG Twitter: @Venancetz Instagram: venancegilbert Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014

Comments
Post a Comment