Posts

Showing posts from December, 2016

FAHAMU WATU AU MAMBO YALIYOTAFUTWA SANA GOOGLE MWAKA 2016

Image
Kila mwisho wa mwaka Mtandao wa Google hutoa orodha ya yale yaliyotafutwa kupitia mtandao huo. Tutaangalia katika nyanja za kiujumla, habari za dunia, watu, bidhaa za kiteknolojia, habari za michezo duniani, vifo, muvi/sinema, wasanii na vipindi vya runinga. Katika kila nyanja tutaangalia mambo au watu 10. Tuanze kuangalia trends hizo: KIUJUMLA   1. Pokeman Go 2. iPhone 7 3. Donald Trump 4. Prince 5. Powerball 6. David Bowie 7. Deadpool 8. Olympics 9. Slither.io 10. Sucide Squad HABARI ZA DUNIA 1. Uchaguzi wa Marekani (US Election) 2. Olympics 3. Brexit 4. Mauaji ya Orlando (Orlando Shooting) 5. Virusi vya Zika 6. Panama Papers 7. Nice 8. Brussels 9. Mauaji ya Dallas (Dallas Shooting) 10. Tetemeko la ardhi Kumamoto (Kumamoto Earthquake) WATU 1. Donald Trump 2. Hillary Clinton 3. Michael Phelps 4. Melania Trump 5. Simone Biles 6. Bernie Sanders 7. Steven Avery 8. Celine Dion 9. Ryan Lochte 10. Tom Hiddleston BIDHAA 1. iPhone 7 2. Freedom 251 3. iPhone SE 4. iPhone 6S 5. G

KUELEKEA MWISHONI 2016 LADY JAY DEE KAYAANDIKA HAYA INSTAGRAM

Image
Kuelekea mwisho wa mwaka 2016 msanii mkongwe Lady Jay Dee ameyaandika haya katika mtandao wa Instagram: "Kiukweli comeback yangu ya 2016 ilikuwa kubwa sana kuliko watu wengi walivyoitegemea mbali na changamoto ngumu na nyingi nilizowahi kupitia na ninazoendelea kuzipitia kuliko msanii yeyote yule wa kike wala wa kiume Tanzania nadiriki kusema bado nimesimama Imara *Kejeli *Dhihaka *Mabezo *Kutengwa *Story za kusingiziwa ikiwemo kuambiwa nyumba yangu inauzwa sijui inapigwa mnada na mengine yote mnayoyajua ni vitu vinavyovunja moyo sana. Ila Wa Tanzania ninawaheshimu sana linapokuja swala la kupigania kitu mnachokipenda. Hivi bila nyie si ningekuwa marehemu??? Bila fans JayDee ni nani??? Ninawashukuru kwa kuniamsha. Ninawashukuru kwa kuniamini. Ninawashukuru kwa kunipa nguvu na jeuri. Kuanzia Ndindindi mpaka Together *Mliijaza Mlimani City *Mkajaza mikoa niliyopita. Nawaomba muendelee kujaa 2017. Ili kuwadhihirishia wanadamu kuwa Mungu huwa ni mmoja tu. Happy new year to my fans a