CCM WALIPOKUJA KUKAGUA UJENZI MWAKALELI

Kinana akishirili katika ujenzi Mwakaleli

Dr. Asha Rose Migiro na Nape wakishiriki ketika ujenzi
Dr. Asha Rose Migiro akizungumza na wanafunzi wa Mwakaleli
Katibu mwenezi wa CCM akizungumza na wanafunzi wa Mwakaleli
Prof. David Mwakyusa akizungumza na wanafunzi wa Mwakaleli, akiwaasa kusoma kwa bidna kuepukana na mahusiano kwani UKIMWI unaua.
Wanafunzi wa kidato cha sita Mwakaleli wakiwa na Dr. Asha Rose Migiro nambunge wa vuti maalumu Mbeya Dr. Mary Mwanjelwa kwtika picha.







SOURCE: CCM BLOG

0 comments:

Post a Comment