Posts

Showing posts from April, 2017

MECHI YA ATLETICO & REAL MADRID KULINDWA NA POLISI 2,000

Image
Polisi wa kukabiliana na fujo walikabiliana na mashabiki wa Bayern Munich mnamo 18 Aprili Walinzi zaidi ya 2,000 watatumiwa kudumisha usalama na kudhibiti mashabiki wakati wa mechi ya nusufainali ya mkondo wa kwanza kati ya Real Madrid na Atletico Madrid katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya. Mechi hiyo itakayochezewa Santiago Bernabeu siku ya Jumanne imeorodheshwa kama yenye "hatari kubwa" na usalama "utaimarishwa", maafisa wasimamizi wa jiji la Madrid walisema Ijumaa. UEFA wameamrisha usalama katika mechi za klabu Ulaya uimarishwe baada ya shambulio kwenye basi la timu ya Borussia Dortmund mnamo 11 Aprili. Atletico watakuwa na mashabiki 4,000 katika uwanja huo wa Real unaotoshea mashabiki 80,000. Kawaida ni mashabiki wachache sana husafiri kuhudhuria mechi za ugenini Uhispania. Idadi ya walinzi tarehe 2 Mei itakuwa ya juu zaidi ya waliokuwepo wakati wa mechi iliyopita ya Real Ulaya dhidi ya Bayern Munich polisi wa kuk

WAFAHAMU MARAIS 10 WA AFRIKA WALIOFARIKI WAKIWA MADARAKANI

Image
Leo nimekuandikia orodha ya marais 10 waliofariki wakiwa madarakani. Tuanze kuhesabu sasa:   10. Lansana Conte, Rais wa Guinea Baada ya miaka 24 Lansana Conte alifariki na ugonjwa usiojulikana akiwa na umri wa miaka 74. Alipambana na matatizo ya kisukari na maradhi ya moyo. Kuanzia Aprili 1984 mpaka kifo chake Desemba 2008 alikuwa ni rais wa pili kushika madaraka nchini Guinea. Mbali na matatizo ya afya aliyokuwa nayo aliweza kushinda uchaguzi.   9. Omar Bongo, Rais wa Gabon Saratani ya tumbo iliosambaa ndio iliyosababisha kifo cha R ais Omar Bongo June 2009 mjini Barcelona, Uhispania, baada ya kuwa rais kwa miaka 42 mfululizo. Alifariki akiwa na umri wa miaka 72 na pia alikuwa ni kiongozi aliyekaa madarakani kwa muda mrefu katika historia na alikuwa akiongoza katika mambo ya rushwa. Bongo alijikusanyia utajiri mkubwa huku akiiacha nchi yake katika hali ya umasikini.    8. Joao Bernardo Vieira, Rais wa Guinea-Bissau Joao Bernardo Vieira rais w

THE WHEEL A POEM BY VENANCE GILBERT

Image
Venance on the sitting benches of Vikenge Hostels, Mzumbe University Main Campus Morogoro Poet: Venance Gilbert Poem: The Wheel Composition: October 18, 2016 Publication: April 20, 2017 Copyright: Venance Gilbert  2016 The wheel was moving But I never noticed second counted, minutes gone, hours died, days were numbered weeks moved, months and years passed I noticed it as the matter of living. Mental pictures remind me those days when the moments existed Sometimes I wish to restore and start I find the wheel moving fast following the line Like the train on its pathway Happy birthday takes back to those moments. Today I am youth Full capable to place the mind on motion I often regret when I remember the moment The moment when I was the driver of the wheel But now the wheel drives, how possible? I never drove it well and careful at the moment, Drive the wheel careful before it drive you on its pathway.

DOWNLOAD JAY2 THE HUSTLER X CAST BEEZY-TIME IS NOW

Image
Hii ni mpya kutoka kwa Jay 2 th e  hustler & Cast beezy -Time is Now. DOWNLOAD  

DOWNLOAD HARMONIZE & RICH MAVOKO-SHOW ME NEW SONG

Image
  Brand new track kutoka WCB. Harmonize & Rich Mavoko wametuletea hii, Show Me DOWNLOAD

WANASAYANSI WAGUNDUA UHAI KATIKA SAYARI YA SATURN

Image
Sayari ya Sarateni "Saturn" Mwezi wa Enceladus ambao uko kwenye sayari ya Saturn huenda ukawa mahali bora zaidi pa kwenda kutafuta maisha nje ya dunia. Tathmini hii inatokea kufuatia uchunguzi katika sayari hiyo yenye kilomita 500 uliofanywa na Cassini. Uchambuzi wa kemia wa Cassini unaonyesha matundu ya maji moto kwenye sakafu ya bahari ya Enceladus, maeneo ambayo yanahusishwa na kuwepo kwa maisha, hapa duniani. Kuwepo kwa maji haya sio thibitisho kamili kwamba vitu vilivyo na uhai vinaishi katika mwezi huo mdogo lakini teknolojia zinaweza kutumika kupima maji hayo na kutoa ushahidi zaidi. "Tuna uhakika kuwa kitu chenye uhai kinaweza kuishi kwenye bahari ya Enceladus lakini lazima tufanye utafiti zaidi," alisema mwanasayansi wa Cassini kutoka Taasisi ya Utafiti ya Southwest, San Antonio, Dkt. Hunter Waite. "Iwapo hakuna maisha huko, ni sawa, lakini ikiwa maisha yapo itakuwa bora zaidi," alieleza BBC. Bahari iliyopo kwenye En

DOWNLOAD ACHA NIKAE KIMYA DOWNLOAD PLATNUMZ NEW SONG

Image
Huu ni wimbo mpya kuhusu hali inayoendelea nchini hivi sasa. Diamond pia ameamua kuzungumza kwa namna yake. DOWNLOAD HAPA