1. Wisdom, compassion, and courage are the three universally recognized moral qualities of men. -
Confucius
2. Imagination is more important than knowledge. -
Albert Einstein
3. Honesty is the first chapter in the book of wisdom. -
Thomas Jefferson
4. A man must be big enough to admit his mistakes, smart enough to profit from them, and strong enough to correct them. -
John C. Maxwell
5. A good head and a good heart are always a formidable combination. -
Nelson Mandela
6. The only true wisdom is in knowing you know nothing. -
Socrates
7. Experience is not what happens to you; it's what you do with what happens to you. -
Aldous Huxley
8. By three methods we may learn wisdom: First, by reflection, which is noblest; Second, by imitation, which is easiest; and third by experience, which is the bitterest. -
Confucius
9. Discipline is the bridge between goals and accomplishment. -
Jim Rohn
10. For beautiful eyes, look for the good in others; for beautiful lips, speak only words of kindness; and for poise, walk with the knowledge that you are never alone. -
Audrey Hepburn
Lugha ya Kiswahili inazungumzwa katika nchi za Afrika Mashariki. Kiswahili hutumika nchini Tanzania, Kenya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Msumbiji na Rwanda. Zaidi ya watu milioni 1 5 katika bara hili huitumia lugha hi i kama lugha ya kwanza na wazungumzaji wengine wakiitumia kama lugha ya pili au ya tatu. Ni lugha rasmi ya M uungano wa Afrika. Hii inafanya bara hili kuwa na idadi inayozidi milioni 100 ya wazungumzaji wa lugha hii. Kiswahili ni miongoni mwa lugha kumi zinazoongoza kwa kua na idadi kubwa ya wazungumzaji barani Afrika. TANZANIA Kiswahili nchini Tanzania ni lugha rasmi na lugha ya Taifa. Ni lugha ya utambulisho kwa Mtanzanianainatumika kama lugha ya kuimarisha uelewano, ushirikiano na umoja wa kitaifa. Katika kuiendeleza, juhudi za usanifishaji zimefanyika kwa kuwatumia wataalamu wa fasihi na isimu, wadau wengine na wachapishaji vitabu. Taasisi mbalimbali zimebuniwa kuhusu lugha hii kama vile BAKITA, BAKIZA, Taasisi ya Elimu, UWAVI...
Comments
Post a Comment