LEO SEPTEMBA 14 KATIKA HISTORIA

Rapa Nas Escobar alizaliwa September 13, 1973.
Leo ni Jumatano Septemba 14, 2016. Ni siku ya 258 katika mwaka 2016. Zimesalia siku 108 kuukamilisha mwaka 2016.

MATUKIO

1960 - Iraq, Iran, Kuwait na Saudi Arabia ziliunda jumuiya ya OPEC.

1979 - Nur Muhammad Tarak, Rais na na aliyekuwa Waziri Mkuu wa Afghanistan aliuawa katika mapinduzi ambapo Waziri Mkuu Hafizullah Amin alishika madaraka.



KUZALIWA

1849 - Mwanasaikolojia wa Urusi, Ivan Pavlov.

1864 - Robert Cecil,  miongoni mwa waanzilishi wa Jumuiya ya Mataifa alizaliwa.

1879 - Margaret Sanger, wakili na muanzilishi wa Uzazi wa mpango.

1973 - Rapa Nas Escobar alizaliwa. 

0 comments:

Post a Comment