Skip to main content

UNAYOPASWA KUFAHAMU KUHUSU TEKNOLOJIA YA 5G

Logo rasmi ya teknolojia ya mtandao wa 5G.
Katika teknolojia za mitandao ya simu iliyopita kulikua na suluhisho la matumizi ya sauti pekee katika mtandao wa 1G, sauti na jumbe za maneno katika mtandao wa 2G, kuliongezeka kufungua tovuti mbalimbali katika mtandao wa 3G na kuongezeka kwa kasi zaidi ya mtandao na kutazama video za moja kwa moja katika mtandao wa 4G. Mabadiliko kutoka 4G kwenda 5G yatasaidia si watumiaji wa mtandao tu bali pia wamiliki wa viwanda mbalimbali.

Mabadiliko katika teknolojia ya simu na mtandao.

Kwa teknolojia ya mtandao huu wa simu za mkononi kasi ya mtandao inatarajiwa kuwa mara 8 ya hii ya sasa mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2023 huku kukiwa na uhitaji wa teknolojia imara, viwango vikubwa vya data na wigo mpana wa matumizi ya mtandao huu tofauti na hii iliyopo sasa (4G). Vitumizi vipya kama vile 4K/8K vya kutazamia video mtandaoni moja kwa moja, uwezo wa mtandao ambao umeongezwa karibia na uhalisia pamoja matumizi ya data ambao kwa sasa yanachipukia kwa kasi, yote haya yatahitaji vipimo vikubwa vya data, uwezo wa hali ya juu, ulinzi pamoja na utulivu wa kusafirisha data katika mtandao. Haya yote ni miongoni mwa yatakayokuwa katika mtandao wa 5G. Mtandao huu utaleta fursa mpya kwa watu, jamii na biashara.

Ericsson pamoja na washirika wake wamekuwa wakifanya kazi katika teknolojia ya mtandao wa 5G kwa miaka mingi sasa katika maabara za mtandao na katika miaka 2 iliyopita waliamua kuijaribu teknolojia hii kuiweka katika matumizi. Pia, tayari wameshaingia ubia wa kusaini mikataba ya mtandao huu wa 5G kwa awamu ya kwanza ambapo mpaka kufikia sasa kampuni 39 tu duniani zimesaini mkataba wa matumizi ya teknolojia hii.

Kiwango cha teknolojia hii ya mtandao kimepelekea uwepo wa redio mpya ya mtandao wa 5G "5G New Radio" ambayo tayari imekamilika tangu Desemba mwaka jana 2017 na inatarajiwa kuanza kupatikana katikati mwa mwaka huu 2018. Mitandao ya kwanza ya kibiashara pamoja na vifaa vyenye teknolojia hii (simu, kompyuta, iPad, tablets n.k.) vya teknolojia hii vitakamilika  mwakani 2019 kwa mujibu wa Mpango wa Ushirikiano wa Mtandao wa Kizazi cha tatu "3GPP" lakini yote haya yataanza kutumika kuanzia 2020. Ericsson imekadiria idadi ya watumiaji wa teknolojia hii kwamba watafika bilioni 1 mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2023.

UFAHAMU NA TAARIFA KUHUSU TEKNOLOJIA HII

Mtandao huu utafanya mambo mengi sana na ndiyo sababu ukaitwa Mtandao wa Muunganiko wa Vitu (Internet of Things) utakuwa na mengi sana ya kufanya kupitia teknolojia hii. Haya ni baadhi ya mambo ambayo Ericsson inayataja kuwepo katika teknolojia hii:

ULINZI 

Vifaa vilivyounganishwa pamoja na vitumizi vitahitaji kuunganishwa katika mtandao ambao ni stahimilivu, wenye ulinzi na wenye uwezo wa kulinda siri na faragha za mtumiaji. Teknolojia hii imetengenezwa kwa kuyafanikisha haya.


BIASHARA KWA NJIA YA MTANDAO ULIOIMARISHWA

Modem za mtandao chini ya teknolojia hii zitakuwa na nguvu zaidi ili kuimarisha biashara za wateja. Tafiti zilizofanywa na Ericsson zinaonesha kwamba mabadiliko kuelekea 5G yanaweza kupunguza karibia mara 10 ya gharama ya mtandao kwa kila gigabaiti moja tofauti na ilivyo kwa mtandao wa sasa wa 4G.

UFIKISHWAJI WA TEKNOLOJIA HII KWA NJIA YA MODEM KWANZA


Ericsson wanadai kwamba jambo la kwanza litakuwa ni kuboresha modem za sasa ili ziendane na kasi ya 5G.

MTANDAO HUU UTATEKA SOKO LA BIASHARA

Ericsson wanadai kwamba mtandao huu utakuwa wa matumizi ya vitu kwa mfano vifaa vya kujiendesha venyewe kama vile magari. Wametaja fursa, changamoto pamoja mifano ya baadhi ya mambo yanayotokea katika usasa wa viwanda.

VIWANDA VINAISUBIRIA TEKNOLOJIA HII

Je ni kwa namna gani kampuni kubwa zitaitumia teknolojia hii katika biashara zao? Ericsson imewauliza wafanya maamuzi 900 katika viwanda 10 na ripoti hiyo ipo nitaizungumzia siku nyingine. 

5G KWA VIWANDA

Teknolojia hii itawawezesha wamiliki wa kampuni za simu za mikononi fursa ya kuwasaidia wamiliki wa viwanda kuwa viwanda vya kisasa na kuangalia faida za teknolojia hii kama vile utumiaji wa mitambo inayojiendesha (automation), akili bandia (artificial intelligence), ukweli thabiti (augmented reality) pamoja na mtandao wa muunganiko wa vitu (Internet of Things "IoT")

FURSA KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA

Teknolojia hii itawasaidia watoa huduma za afya kwa urahisi zaidi kwa wateja wao. Hii itawezesha njia za mtandao kuwa kasi zaidi hivyo itawezesha hata kuwasiliana moja kwa moja kwa njia ya video bila mushkeri ya mtandao. Hii pia itawafanya watoa huduma kupanua huduma zao zaidi kuliko kusubiriana ofsini tu.

MUHTASARI KUHUSU UTAYARI WA TEKNOLOJIA HII
Ericsson wanadai kwamba utafiti mfupi uliofanywa mwaka jana 2017 unaonesha kwamba mtandao huu utakuwa na watumiaji bilioni 1 mpaka kufikia mwisho mwa mwaka 2023 kama nilivyosema hapo juu.


KUONGEZA IDADI YA WATAZAMAJI WA MPIRA

Watazamaji wa mpira wanaotumia simu hupenda kuangalia mpira bila kuwa na shida ya mtandao. Ericsson wanadai kwamba teknolojia hii ya 5G itamfanya mtazamaji kujihisi yuko uwanjani yani itakua kana kwamba anauzunguka uwanja wa mpira yeye mwenywe. Ongezeko la watu kuangalia mpira kwa njia ya mtandao utatokana na uimara wa mtandao ambao ulifanyiwa tafiti mwaka 2016 huko Rio de Jeneiro.


MAJARIBIO YA TEKNOLOJIA YA MTANDAO WA 5G


KOREA KUSINI

Mwezi Februari mwaka huu 2018, Ericsson, Shirika la mawasiliano la Korea Kusini na Intel walifanya majaribio ya mtandao huu katikati ya jiji la Seoul ambapo kuna idadi ya watu milioni 25. Teknolojia ya 4K video ilijaribiwa ili kutoa picha kwa watumiaji kuona uwezo wake. Matumizi ya data yalifikia 900Mbps kwa upande wa kupakua (downloading) huku yale ya kupakia (uploding) yakifikia 600Mbps. Kwa kutumia bendi 28Ghz uunganishwaji wa mtandao ulikua imara kabisa licha ya kuwepo changamoto ya uenezi wa mtandao.

ESTONIA

Telia, Ericsson na Intel walifanya majaribio ya mtandao katika kampuni ya usafirishaji ya Tallink ambayo husafirisha watu na mizigo. Kila meli hubeba hadi kufikia watu 2,000. Mafanikio bado yalionekana kwa mtandao huu. Abiria waliweza kutumia mtandao huu safarini bila kuwepo na mushkeri ya aina yoyote ile.


KASI MPYA YA 5G

Ericsson wakishirikiana na SK Telecom na BMW Korea walitumia teknolojia hii ya 5G iliyoboreshwa kuangalia gari iliyounganishwa na mtandao huu kwa kuangalia mwendokasi wa gari iliyosafiri kilomita 170 kwa saa. Matumizi yalifikia uwezo wa kupakua hadi GB 3.6. Jaribio hili lilihusisha radio 4 tofauti za kusambaza mawasiliano. Pia, kulifanyika jaribio la kuhama kutoka radio moja ya mawasiliano kwenda nyingine na bado kasi ya mtandao ilifikia zaidi ya GB 1.5. Majaribio haya yote yalifanyika katika 28Ghz bendi.


KAMPUNI ZILIZOINGIA UBIA NA ERICSSON

Mpaka kufikia mwezi April mwaka huu 2018 ni kampuni 39 tu duniani ambazo zimeingia mkataba wa matumizi ya mtandao huu wa 5G kama jinsi inavyoonekana. Kwa bara la Afrika ni kampuni 2 tu za mawasiliano ambazo tayari zimesaini mkataba wa ubia na Ericsson. Kampuni hizo ni MTN ya Afrika Kusini na Etisalat ya nchini Misri. Unaweza kuziangalia nchi hizo kama jinsi kampuni zinavyoonekana kwenye ramani ya dunia akatika picha hii:

MAKALA HII IMEANDALIWA KWA HISANI YA MTANDAO WA ERICSSON.

Comments

Popular posts from this blog

CHEKI PICHA HIZI ALIZOWEKA NICKI MINAJ INSTAGRAM

Nicki Minaja haishiwi vituko vya kupost picha mtandaoni akiwa uchi kabsa ama nusu uchi. Tazama hiyo picha hapo juu inayoonesha matako yake yakiwa wazi. Picha nyingine hii hapa japo amevaa nguo lakini mmmh!! Kwa wanaume so conducive kabisaaa. Cheki jinsi tako lilivyobinuliwa hapa hivi eti njiani anakopita kwa mavazi haya hawapi wanaume shida!!! Haya yote yanakuja wakati Nicki anajiandaa kuachia Album yake mpya ya Pink Friday Print. Album hiyo inapatikana kwenye iTune pia. Picha hizo ziko katika akaunti yake ya Instagram @nickiminaj.  WASILIANA NAMI:  Facebook: VENANCE BLOG  Twitter: @Venancetz  Instagram: venancegilbert  Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014

HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI

KUANZISHWA KWA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA Mafanikio ya michuano ya mpira wa miguu ya Olimpiki ndiyo yalikua mwanzo wa  FIFA kutamani kuwa na michuano yake ya Kombe la Dunia kwa mchezo wa mpira wa miguu. Ikumbukwe kwamba kipindi hicho mpira wa miguu wa wanaume pekee ndiyo ulikuwepo. Maswali yalitumwa kwa wahisani wa FIFA ili kuona kama wanakubaliana na uanzishwaji wa michuano hiyo na kwa masharti yapi? Kamati maalumu ilichunguza maswali hayo chini ya uongozi wa  Rais wa FIFA wa kipindi hicho Jules Rimet akishirikiana na Katibu wa Shirikisho la Soka nchini Ufaransa kwa wakati ule Henri Delaunay. Rais wa FIFA Jules Rimet aliyeanzisha na kusimamia Kombe la Dunia la kwanza . Kufuatia uwepo wa muswada wa Kamati Tendaji ya FIFA, lilifanyika kongamano la FIFA Mei 28, 1928 jijini Amsterdam nchini Uholanzi likiazimia kuwepo kwa michuano ya mabingwa wa soka duniani ambayo ilipangwa na shirikisho hilo la mpira duniani na sasa nchi waandaji wa michuano hiyo zilitakiwa ...

WALIOCHAGULIWA CHUO CHA MIPANGO MAJINA HAYA HAPA

Chuo cha Mipango ama Institute of Rural Development Planning kimetangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kozi mbalimbali za shahada (Bachelor Degree) chuoni hapo mwa mwaka wa masomo 2016/207. BOFYA HAPA KUANGALIA MAJINA HAYO IMPORTANT NOTICES TO SELECTED STUDENTS The selected candidates must report at the Institute’s main campus Miyuji area on Monday 17 th October, 2016 ready for orientation program. Joining instructions can be downloaded from the website www.irdp.ac.tz and can also be collected from the main campus admission office. Tuition fees for Bachelor Degree courses 850,000/= Registration fee is 50,000/=, Students organization fee 20,000/= sports and games is 10,000/= and NACTE Quality Assurance Fee 20,000/=. Students are required to pay atleast half of the tuition fee and 100,000/= for registration, students organization, sports and games and NACTE Quality Assurance Fee. The payment should be made through CRDB Bank account no. 01J1082678600 before 1...

BAADHI MAMBO AMBAYO HUKUYAFAHAMU KUHUSU BARA LA AFRIKA

Ramani ya Afrika. Karibu tena mpenzi msomaji na mfuatiliaji wa VENANCE BLOG. Leo katika safu yetu ya Fahamu napenda kukufahamisha mambo kadhaa ambayo huenda hukuyafahamu yote kuhusu bara la Afrika. Na tuanze sasa kuyahesabu mambo hayo: 1. Karibu nchi zote za Afrika zilitaliwa na wakoloni isipokuwa nchi mbili tu: Ethiopia na Liberia. 2. Kabla ya Ukoloni, Afrika ilikuwa na tawala zilizokaribia 10,000 (Kingdoms/Empire/State) na tawala hizi zilijiongoza kila moja kivyake zikiwa na lugha tofauti na mila na desturi tofauti tofauti. 3. Lugha ya kiarabu inazungumzwa na watu takribani milioni 170 ikifuatiwa na lugha ya kiingereza inayozungumzwa na watu zaidi ya milioni 130, Kiswahili kikiwa na wazungumzaji zaidi ya milioni 100, Kifaransa takribani wazungumzaji milioni milioni 115. Pia, kuna wazungumzaji wa lugha ya Xhosa wakiwa milioni 50. Kireno kinakadiriwa kuwa na wazungumzaji milioni 20 huku Kispanyola kikiwa na wazungumzaji wanaokadiriwa kuwa milioni 10. Vilevile takriba...

ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA

Lugha ya Kiswahili inazungumzwa katika nchi za Afrika Mashariki. Kiswahili hutumika nchini Tanzania, Kenya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Msumbiji na Rwanda. Zaidi ya watu milioni 1 5 katika bara hili huitumia lugha hi i kama lugha ya kwanza na wazungumzaji wengine wakiitumia kama lugha ya pili au ya tatu. Ni lugha rasmi ya M uungano wa Afrika. Hii inafanya bara hili kuwa na idadi inayozidi milioni 100 ya wazungumzaji wa lugha hii. Kiswahili ni miongoni mwa lugha kumi zinazoongoza kwa kua na idadi kubwa ya wazungumzaji barani Afrika. TANZANIA Kiswahili nchini Tanzania ni lugha rasmi na lugha ya Taifa. Ni lugha ya utambulisho kwa Mtanzanianainatumika kama lugha ya kuimarisha uelewano, ushirikiano na umoja wa kitaifa. Katika kuiendeleza, juhudi za usanifishaji zimefanyika kwa kuwatumia wataalamu wa fasihi na isimu, wadau wengine na wachapishaji vitabu. Taasisi mbalimbali zimebuniwa kuhusu lugha hii kama vile BAKITA, BAKIZA, Taasisi ya Elimu, UWAVI...

PREMIER: A POEM BY VENANCE GILBERT FOR CELEBRATING THE WORLD MOTHERS' DAY 2018

Venance Gilbert: A composer of this poem. Today is a very special day to all Mothers in the World. It is called World Mothers' Day . As one among the people who were raised by a mother, I found an interest in holding a pen and a piece of paper at least to write the few from the collection of what I did as I was growing up and my mother was there for me to make sure that I grow up wisely and intelligently. On March 28, 2017 I completed the long lasting composition of this poem. IT IS VERY SPECIAL FOR MY DEAR MAMA FLORENTINA AND ALL MOTHERS' IN THE WORLD. May be your mother has passed away (sorry for the loss) but due to spiritual faith, we believe that the resting mothers in heaven can hear our voices, so you can also recite the poem for your mom and she will hear you in one way or another. The poem is called Premier. I welcome you once again to this field of language use. I have hired a very simple language in composing this poem, it is very understood and straightforw...

SHAIRI: HEKO LIBERIA

Picha kwa hisani ya Freepik Shairi hili linakuja kufuatia kutangazwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwaka huu nchini Liberia. Katika hali isiyo ya kawaida George Weah aliyekuwa akitetea nafasi yake ali kubali kusindwa na mpinzani wake Joseph Boakai katika Uchaguzi huo pasipo mvutano na migogoro kama ilivyozoeleka katika mataifa mengi ya bara hili . Kama mshairi niliwiwa kuandika ili kupongeza kitendo hiki cha uungwana kukubali kukabidhi madaraka pasipo mvutano ambao mara nyingi hupelekea umwagaji damu. Karibu katika shairi letu kwa lugha adhimu ya Kiswahili. Shairi: Heko Liberia Mtunzi: Venance Gilbert Mpate Mwaka: 19 Novemba 2023 HEKO LIBERIA Heko Liberia naisifu yenu demokrasia, Wenu ukomavu yote Afrika imeshuhudia, Tupeni maarifa darasani tupate kujifunzia, Afrika matokeo mshindani hawezi kuridhia, Uchaguzi mtawala hakubali kupoteza felia, Ninyi metuonesha mtawala aweza kuwa felia, Mpinzani akashika dola imani ikaendelea, Heko Liberia naisifu yenu demokrasia. Mtawala aku...

DOWNLOAD AUDIO KUTOKA UPRISE MUSIC: JVP SQUAD-HUSTLE ZA KITAA

Ngoma imefanywa Uprise Music na producer Fragger. Ngoma inaitwa Hustle za Mtaa imefanywa na JVP Squad ndani kasimama Ng'itu the Hustler na Fizzo. Sikiliza na kudownload kisha toa maoni yako hapa.  BOFYA HAPA KUSIKILIZA NA KUDOWNLOAD  

RIHANNA - DIAMONDS SONG LYRICS

Shine bright like a diamond Shine bright like a diamond Find light in the beautiful sea, I choose to be happy You and I, you and I, we're like diamonds in the sky You're a shooting star I see, a vision of ecstasy When you hold me, I'm alive, we're like diamonds in the sky I knew that we'd become one right away Oh, right away At first sight I felt the energy of sun rays I saw the life inside your eyes So shine bright, tonight, you and I We're beautiful like diamonds in the sky Eye to eye, so alive We're beautiful like diamonds in the sky Shine bright like a diamond (whoa) Shine bright like a diamond (whoa) Shining bright like a diamond We're beautiful like diamonds in the sky Shine bright like a diamond (whoa) Shine bright like a diamond (whoa) Shining bright like a diamond We're beautiful like diamonds in the sky Palms rise to the universe as we moonshine and molly Feel the warmth, we'll never die, we're like diamonds in the sky You're a ...

TANGAZO LA AJIRA 289 ZA WATUMISHI KADA ZA AFYA KUTOKA WIZARA YA AFYA

Wizara ya Afya kupitia Kibali cha Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/128/01/” B”/75 cha tarehe 04 Mei, 2023 na Kumb. Na FA.97/128/01”B”/78 cha tarehe 09 Agosti, 2023; Inatangaza nafasi za kazi 289 za Kada za Afya. Muda wa kutuma maombi haya ni ndani ya wiki mbili tangu tarehe ya kutoka kwa Tangazo hili. Maombi yote yawasilishwe kupitia mfumo wa ajira wa Wizara unaopatika kupitia tovuti ajira.moh.go.tz . Waombaji wote mnakumbushwa kuwa makini mnapowasilisha maombi kuhakikisha umejaza vizuri vipengele vyote vinavyotakiwa kwenye mfumo ikiwa ni pamoja na kuambatisha nyaraka zote zinazohitajika. Unaweza kutazama tangazo hilo kwa kubofya  HAPA  ama kwa kulidownload moja kwa moja kwa kubofya  HAPA  ama kwa kusoma hapa chini nafasi zilizotangazwa: 1. Daktari wa Meno Daraja la II – TGHS E (NAFASI 3) SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa waliohitimu na kufaulu Kidato cha Nne/Sita/Stashahada, wenye Shahada ya Udaktari/Udaktari wa Meno ku...