Venance Blog inawakutakia HERI YA MWAKA MPYA 2014 sherehekea kwa amani na utulivu kama ujuavyo ndo mwanzo wa mwaka hivyo unachotakiwa kufanya usilewe sana kama ni mtumiaji wa vileo eti kisa unafurahia kuumaliza mwaka 2013 na kukaribisha mwaka 2014 pia usitumie pesa hovyo kwani mwezi huu huwa mgumu sana. Mwisho nakutakia mafanikio mema katika mwaka huu 2014, uwe mwaka wa neema kwako na Mungu akutangulie katika kila jambo.. HERI YA MWAKA MPYA!!
Nicki Minaja haishiwi vituko vya kupost picha mtandaoni akiwa uchi kabsa ama nusu uchi. Tazama hiyo picha hapo juu inayoonesha matako yake yakiwa wazi. Picha nyingine hii hapa japo amevaa nguo lakini mmmh!! Kwa wanaume so conducive kabisaaa. Cheki jinsi tako lilivyobinuliwa hapa hivi eti njiani anakopita kwa mavazi haya hawapi wanaume shida!!! Haya yote yanakuja wakati Nicki anajiandaa kuachia Album yake mpya ya Pink Friday Print. Album hiyo inapatikana kwenye iTune pia. Picha hizo ziko katika akaunti yake ya Instagram @nickiminaj. WASILIANA NAMI: Facebook: VENANCE BLOG Twitter: @Venancetz Instagram: venancegilbert Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014

Comments
Post a Comment