JENERALI AUAWA KATIKA MAPIGANO SUDAN KUSINI

Mapigano makali yamezuka nje ya mji mkuu wa Sudan Kusini wa Bor na Jenerali mmoja wa jeshi la Sudan Kusini ameuawa.Mwandishi wa BBC anasema vikosi vya serikali vinazidi kuelekea karibu na mji wa Bor ambapo kumekuwa na mapigano ya kutegeana baina ya majeshi ya serikali na vikosi vya waasi vinavyomtii aliyekuwa makamu wa rais Riek Machar.Mwandishi wa BBC amesema pia ameshuhudia miili ya watu ikiwa chini na vifaru vikiwa vimelipuliwa vibaya pembezoni mwa barabara.Pande pinzani nchini humo zinataraji kuanza mazungumzo ya ana kwa ana mjini Adis Ababa kujaribu kumaliza wiki tatu za mapigano.Kiongozi wa ujumbe wa serikali ya Sudan kusini Nial Deng Nial amesema kuwa ni muhimu kwamba viongozi kuzungumzia kuhusu kusitishwa kwa vita.

P SQUARE-PESRONALLY SONS LYRICS



Personally personal personally
Personally personal personally

[Verse 1]
Personally I rock your body
I promise you go home
You won’t tell your daddy
I’ll give it to you like you’ve never had it
Swimming chin chin like speaking Chinese
Ehn na wetin be this
Baka boom boom na wetin I see
Saga! And she no wan greee
She talk say no wan leave

[Chorus]
Eh - I no go lie
The things wey dey my mind
When I see you dancing, girl you got me high
And if you want to try, Gbege go dey tonight
Cos I’m in the mood
As long as you feeling the groove
I go deal with you
Personally eh
Personal personally - ah ah ah ah
Personally eh
Personal personally - I go deal with you
Personally eh
Personal personally - ah ah ah ah
Personally eh
Personal personally
I go deal with you
I go deal with you

[Verse 2]
Personally.. professionally..
I see what you’re doing intentionally
Girl me want it physically
So give it to me give it to me radically
Emotionally.. psychologically
You’re turning me on biologically
Sexually.. dramatically
And she talk say she no wan leave

[Chorus]
Eh - I no go lie
The things wey dey my mind
When I see you dancing, girl you got me high
And if you want to try, Gbege go dey tonight
Cos I’m in the mood
As long as you feeling the groove
I go deal with you
Personally eh
Personal personally - ah ah ah ah
Personally eh
Personal personally - I go deal with you
Personally eh
Personal personally - ah ah ah ah
Personally eh
Personal personally
I go deal with you
I go deal with you

[Verse 3]
Girl exceptionally
The reason na spiritually
Money speaking
So drastically
Magically.. internationally
Haba..habatically
Grammar… na for dictionary
Saga - but she no wan gree
She talk say she no wan leave

[Chorus]
Eh - I no go lie
The things wey dey my mind
When I see you dancing, girl you got me high
And if you want to try, Gbege go dey tonight
Cos I’m in the mood
As long as you feeling the groove
I go deal with you
Personally eh
Personal personally - ah ah ah ah
Personally eh
Personal personally - I go deal with you
Personally eh
Personal personally - ah ah ah ah
Personally eh
Personal personally
I go deal with you
I go deal with you

Watch Personally Official Music Video 👇🏿


MICHAEL JACKSON-THRILLER SONG LYRICS



[Michael Jackson]
It's close to midnight and something evil's lurkin' in the dark
Under the moonlight you see a sight that almost stops your heart
You try to scream but terror takes the sound before you make it
You start to freeze as horror looks you right between the eyes,
You're paralyzed

'Cause this is thriller, thriller night
And no one's gonna save you from the beast about to strike
You know it's thriller, thriller night
You're fighting for your life inside a killer, thriller tonight
Yeah
Ooh

You hear the door slam and realize there's nowhere left to run
You feel the cold hand and wonder if you'll ever see the sun
You close your eyes and hope that this is just imagination, girl
But all the while you hear a creature creepin' up behind
You're outta time

'Cause this is thriller, thriller night
There ain't no second chance against the thing with the forty eyes, girl
Thriller, ooh, thriller night
You're fighting for your life inside a killer, thriller tonight

Night creatures call
And the dead start to walk in their masquerade
There's no escaping the jaws of the alien this time (they're open wide)
This is the end of your life, ooh

They're out to get you, there's demons closing in on every side (ooh)
They will possess you unless you change that number on your dial
Now is the time for you and I to cuddle close together, yeah
All through the night I'll save you from the terror on the screen,
I'll make you see

That this is thriller, thriller night
'Cause I can thrill you more than any ghoul could ever dare try
Thriller, ooh, thriller night
So let me hold you tight and share a killer, thriller, chiller
Thriller here tonight

'Cause this is thriller, thriller night
Girl, I can thrill you more than any ghoul could ever dare try
Thriller, ooh, thriller night
So let me hold you tight and share a killer, thriller (ow)

I'm gonna thrill you tonight

[Vincent Price]
Darkness falls across the land
The midnight hour is close at hand
Creatures crawl in search of blood
To terrorize y'all's neighborhood
(I'm gonna thrill you tonight)
And whomsoever shall be found
Without the soul for getting down
Must stand and face the hounds of hell
And rot inside a corpse's shell

[Michael Jackson]
I'm gonna thrill you tonight...

Thriller, ooh, babe (Thriller)
I'm gonna thrill you tonight (Thriller night)
Thriller, oh, darling (Oh, baby)
I'm gonna thrill you tonight (Thriller)
Ooh, babe (Thriller night)
I'm gonna thrill you tonight (Thriller)
Oh, darling (Oh, baby)
Thriller night, babe (Thriller night, babe)
Ooh

[Vincent Price]
The foulest stench is in the air
The funk of forty thousand years
(Thriller night, thriller)
And grisly ghouls from every tomb
Are closing in to seal your doom
And though you fight to stay alive
Your body starts to shiver
(I'm gonna thrill you tonight)
For no mere mortal can resist
The evil of the thriller

[Into maniacal laugh, in deep echo]


Watch Official Thriller Music Video in 4K 👇🏿


or shortened version 👇🏿


LIONEL RICHIE FT. AKON-JUST GO SONG LYRICS


[Verse 1: Lionel Richie]
It'd be so nice
If you didn't have to feel so lonely
It'd be so nice
If I could sneak you for a moment

I know you like to get away, go away, far away
To a place where there's just us two
Got a busy day, everyday but not today
Cause I'm Here to take that stress from you

So you can just chill
And clear your head
And let me do everything for you cause you deserve it
Prepare your meal
And make your bed
Well lets just switch places with you cause you are so worth it

[Akon]
I just want us to go (go go)
Drop everything and just go (go go)
I just want us to go (go go)
Drop everything and just go (go go)

[Verse 2: Lionel Richie]
How would you like to sail away in the Bahamas?
(Just you and me girl)
So far out in the sea where nobody can find you
(Just the end of the world)
Cause there is no rush
for you to come back and face the rain
Cause there is plenty sunshine where I pickin' you
And I'm here to reduce the pain

I know you like to get away, go away, far away
To a place where there's just us two
Got a busy day, everyday but not today
Cause I'm Here to take that stress from you
So you can just chill
And clear your head
And let me do everything for you cause you deserve it
Prepare your meal and make your bed
Well lets just switch places with you cause you are so worth it

[Akon]
I just want us to go (go go)
Drop everything and just go (go go)
I just want us to go (go go)
Drop everything and just go (go go)

[Verse 3: Lionel Richie]
Just imagine when you tired and
Layin' by my side and
Sippin' on some wine while I stand in massage and
Releasein' all your tension I couldn't handle a time and
My job is to keep my baby smilin'

So you can just chill
And clear your head
And let me do everything for you cause you deserve it
Prepare your meal and make your bed
Well lets just switch places with you cause you are so worth it

[Akon]
I just want us to go (go go)
Drop everything and just go (go go)
I just want us to go (go go)
Drop everything and just go (go go)
I just want us to go (go go)
Drop everything and just go (go go)
I just want us to go (go go)
Drop everything and just go (go go)

Watch Just Go Official Music Video 👇🏿


VIFAHAMU VITABU 20 VYA KWANZA KUANDIKWA KATIKA MFULULIZO WA WAANDISHI AFRIKA

1. Things Fall Apart-Chinua Achebe
2. Burning Grass-Cyprian Ekwensi
3. No Longer at Ease-Chinua Achebe
4. Zambia Shall Be Free-Kenneth Kaunda
 5. People of the City-Cyprian Ekwensi
 6. Mine Boy-Peter Abrahams
 7. Weep Not Child-Ngugi Wa Thiong'o
8. A book of African Verse-kimehaririwa na John Reed & Clive Wake
 9. Modern African Prose-kimehaririwa na Richard Rive
10. Equiano's Travels-Olaudah Equiano
11. One Man, One Matchet-T. M. Aluko
12. The African-William Conton
13. Mission to Kala-Mongo Beti
14. Quartel-kimeandikwa na Richard Rive, Alex La Guma, Alf Wannenburgh & James Matthews
15. Origin of East Africa-kimehaririwa na David Cook
16. Arrow of God-Chinua Achebe
17. The River Between-Ngugi Wa Thiong'o
18. The Imprisonment of Obatala-Obotunde Ijimere
 19. Lokotown-Cyprian Ekwensi
 20. Child of Two World-Mugo Gatheru

KIGOGO WA WEMA ATANGAZA VITA NA DIAMOND

Stori: Shakoor Jongo
Yule kigogo au taita aliyekuwa akimpa jeuri ya fedha Wema Isaac Sepetu ajulikanaye kwa jina moja la Clement anadaiwa kutangaza vita na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’.Habari ‘hoti’ zinadai kuwa Clement anataka Diamond arudishe gharama alizomgharamia Wema ndipo waendeleze mapenzi yao.Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa kigogo huo, Clement anadai kwamba gharama alizotumia kwa Wema ni kubwa mno lakini bidada hakujali chochote na kuukabidhi moyo wake kwa ‘Mtoto wa Tandale’ ambaye ndiye barafu wa moyo wake.“CK (Clement) anaumia sana kuona kuwa ameteketeza fedha nyingi kwa Wema lakini bila hiyana, mrembo huyo akabwaga manyanga kisha akarudisha mpira kwa kipa na kuanza moja huku kaka mkubwa akiachwa kwenye mataa,” alitonya mnyetishaji huyo bila kufafanua kama Clement aliachwa mataa ya eneo gani.Akiendelea kutiririka bila kuweka nukta au ya mkato, mtu huyo alisema kuwa kiasi ambacho kinadaiwa kuteketea kwa Wema kinakaribia Sh. milioni 279.6 ambazo gharama hizo zinahusisha vitu kadhaa alivyowekeza kwa Wema.“Kuna gharama za utengenezaji wa Filamu ya The Super Star ambayo haijulikani kilichotokea kwani hadi leo haionekani sokoni.“Kama hiyo haitoshi kwenye uzinduzi wa filamu hiyo akamleta staa wa filamu wa Nollywood, Nigeria, Omotola Jalade Ekeinde na sherehe mbili za uzinduzi zilifanyika katika hoteli kubwa mbili tofauti, ikasemekana milioni 48 ziliteketea.“Kuna kodi ya pango la ofisi ya Wema ya Endless Fame iliyopo Mwananyamala Koma-koma, Dar, jamaa alilipa milioni nane na laki nne kodi ya miaka miwili ambayo kwa mwezi ni laki tatu na nusu.“Ukiachana na gharama za nyumba na ofisi, kuna gari aina ya Audi Q7, inadaiwa kanunua Clement kwa Sh. milioni 98, Toyota Harrier Lexusya Sh. milioni 48 na Toyota Mark X iliyomtoa Sh. milioni 25.“Usisahau hata lile Toyota Noah ‘kitimoto’ la ofisi alinunua Clement kwa Sh. milioni 10, faini aliyolipiwaKajala Masanja mahakamani Sh. milioni 13, gharama za kuirekebisha ngozi yake alipoenda nchini China iligharimu Sh. milioni 14, yaani jumla ni kama Sh. milioni 279 na ushee. Na hiyo ni kwa vitu vinavyojulikana ukiachia mbali shopping za Dubai,” alitiririka kikulacho huyo.Baada ya kujazwa data, Risasi Jumamosi lilijaribu kumtafuta kigogo huyo lakini licha ya juhudi zote hizo hakuweza kupatikana ndipo alipogeukiwa Diamond: “Sitishiki kwa lolote lile kwani huko nyuma kabla sijawa maarufu kivile enzi ya Nenda Kamwambie (wimbo) niliwahi kukaa mahabusu kwa siku kadhaa na sababu ilikuwa mapenzi kwa hiyo kwa hili siogopi kitu kwanza mimi ndiyo alinichukulia na mwana mpotevu amerudi kundini,” alisema Diamond anayekimbiza na Ngoma ya Number One.





 Chanzo: Global Publishers Ltd

VITAMBULISHO VYA URAIA KUVUKIA MIPAKA KENYA, RWANDA NA UGANDA

Wananchi wa mataifa ya Rwanda, Uganda na Kenya wamepokea kwa shangwe kuanza kwa mpango wa kutumiwa kwa vitambulisho vya uraia kama cheti cha kuwaruhusu kuvuka mpaka na kuingia moja wapo wa nchi hizo.Mpango huu wa kutumia vitambulisho vya uraia kama hati ya kusafiria katika nchi hizo tatu umeanza kutumiwa rasmi tarahe Mosi Januari 2014, kufuatia makubaliano kati ya viongozi wa mataifa hayo.Mpango wenyewe unatokana na makubaliano kati ya viongozi wa nchi tatu waliofikia wakati wa mkutano uliofanyika nchini Uganda mwezi Juni mwaka jana.Pia mpango huu unalenga kurahisisha usafiri wa watu wa jumuiya katika mataifa wanachama kama awamu ya pili ya ushirikiano kati ya mataifa wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki.Hata hivyo siku moja tu baada ya kuanzishwa kwa mpango wa kutumia vitambulisho vya uraia kama hati ya kuwaruhusu raia wa nchini tatu, Uganda, Kenya na Rwanda kuvuka mpaka na kuingia mojawapo ya nchi hizo sasa inaonekana mpango huo huenda ukawanufaisha watu wachache peke yake.Sio raia wote wa Uganda , Kenya au Rwanda wanafahamu hayo . Watu wengi nchini Rwanda bado waliwasili katika mipaka ya nchi hiyo wakiwa wamejihami kwa Pasipoti zao ili waweze kuruhusiwa kuvuka mpaka na kuingia katika nchi jirani. Hali ni vivyo hivyo nchini Uganda.Hata hivyo baadhi ya watu wanahisi ingekuwa vyema kama mpango huu pia ungewanufaisha raia wa Burundi na Tanzania.Kwa sasa ni raia wa Rwanda na Kenya peke yao ambao wana vitambulisho vya kitaifa ikimaanisha kuwa raia wa Uganda watalazimika kutumia kadi zao za kupigia kura hadi taifa hilo litakapoanza kutoa vitambulisho vya uraia.

MAZUNGUMZO YA AMANI KUHUSU SUDAN KUSINI YAANZA ADDIS ABABA

Mazungumzo ya kupatanisha pande mbili zinazozozana kwenye mgogoro wa Sudan Kusini na kusitisha vita, yameanza mjini Addis Ababa Ethiopia.Kwa mujibu wa taarifa kutoka katika wizara ya mambo ya nje nchini Ethiopia, wajumbe kutoka kanda ya Afrika Mashariki wananuia kusuluhisha mgogoro huo wa kisiasa ambao umekuwa ukitokota kwa takriban wiki tatu.Hata hivyo mazungumzo ya ana kwa ana yangali kuanza kati ya pende zinazozozana yangali kuanza.Waakilishi kutoka pande zinazozozana wanakutana na wajumbe wa kikanda wanaoendesha mazungumzo hayo ingawa haijulikani ikiwa vingozi wa Sudan Kusini wenyewe watakutana ana kwa ana.Mamia ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameachwa bila makao kufuatia mapigano hayo kati ya majeshi ya Rais Salva Kiir na yale ya hasimu wake ambaye alikuwa makamu wake wa Rais Riek MacharWakati huo huo, ubalozi wa Marekani, katika mji mkuu wa Sudan Kusini,Juba unaendelea na shughuli ya kuwahamisha wafanyakazi wake wote nchini humo kutokana na mzozo unaoendelea.Umoja wa Mataifa umesema kuwa hautarajii raia wa Marekani wanaofanya kazi na shirika lake lolote kuondoka.Waasi wakiongozwa na makamu wa rais wa zamani Riek Machar wamekuwa wakipambana na wanajeshi wa serikali tangu mwezi uliopita. Chanzo: BBC Swahili

MADAGASCAR YAPATA RAIS MPYA

Maafisa nchini Madagascar wanasema kuwa matokeo ya mwanzo mwanzo ya duru ya pili ya uchaguzi wa Rais uliofanyika mwezi Disemba, yanaonyesha mshindi kuwa waziri wa zamani wa fedha Hery Rajaonarimampianina.Tume ya uchaguzi ya nchi hiyo inasema kuwa bwana Hery Rajaonarimampianina alishinda asilimia hamsini na tatu (53%) ya kura zilizopigwa.Mshindani wake, Jean Louis Robinson anasema kuwa uchaguzi ulikumbwa na wizi wa kura na sasa anasema sharti shughuli ya kuhesabu kura irejelewe.Uchaguzi huo ulikuwa mpango wa kurejesha utulivu kwa nchi hiyo baada ya mapinduzi ya kijeshi kufanyika miaka minne iliyopita.Bwana Rajaonarimampianina alikuwa mgombea aliyeungwa mkono na kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi, Rais wa zamani Andry Rajoelina. Chanzo: BBC Swahili

DIAMOND AISIFIA NGOZI YA WEMA ASEMA INA MVUTO NA INANG'ARA KULIKO KITU CHOCHOTE

Kweli hii ni 2014! Diamond aisifia ngozi ya Wema, adai ina mvuto na ina mng’aro kuliko kitu chochote.!“Umemwona Wema, kwa sasa ana ngozi nzuri yenye afya na iliyo na mng’aro kama alivyokuwa awali,ni nzuri sana yani, ameacha kabisa kutumia dawa za kung’arisha ngozi hilo ndilo lililonivutia zaidi kwani alisikiliza ushauri niliompa kabla.”Hiyo ni kauli ya staa aliyetikisa mwaka 2013 bwana Diamond Platnumz aliyoitoa hivi karibuni alipokuwa akizungumza na gazeti maarufu la michezo nchini hivi karibuni. Diamond amesema Wema ndiye mwanamke anayetamani kuwa naye katika maisha yake, hivyo kauli yake aliyoitoa mwanzo kuhusu kuzaa na Wema ipo mbioni kutimia.“Miezi kadhaa nyuma niliongea kuhusu nia yangu ya kuzaa na Wema, wakati huo nilikuwa bado na Penny, siwezi kukimbia kivuli changu kwani ukweli unabaki palepale nampenda yule binti, japokuwa wapo wanaosema kwamba sijatulia au natafuta ‘kiki’ kupitia warembo hawa, si kweli, Wema nilikuwa naye kabla ya Penny na vigezo vyangu ni mchumba anayejali kazi yangu na kujua kwamba mimi ni staa nahitajika sehemu yoyote, muda wowote, Wema ni mwelewa.” alisema Diamond.




Chanzo: Bongo Movies

ACHINJWA KWA IMANI ZA KISHIRIKINA

MKAZI wa Kijiji cha Kakese-Mkwajuni, wilayani Mpanda, Shoma Salum (78) ameuawa kwa kuchinjwa kwa kile kinachodaiwa ni kutokana na imani za kishirikina.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari alisema mauaji hayo yalifanyika Desemba 29 , mwaka jana saa 2:30.Alikutwa nyumbani kwake mwili ukiwa na majeraha makubwa sikioni na kichwani. Mwanamke huyo inadaiwa alikuwa mganga wa kienyeji na mfinyanzi maarufu wa vyungu.Kwa mujibu wa Kamanda, siku moja kabla ya tukio, akiwa kwenye shughuli hizo, jirani na nyumbani kwake, walifika vijana wawili waliotajwa ni Shigela Majinja (25) na Mhoja Shilinde (18). Inadaiwa vijana hao ambao ni wakazi wa kijijini hapo.Walifika kwa kwa mama huyo wakijifanya kuwa ni wateja wake, ambapo walikuwa wakiulizia bei ya vyungu. Pia, walimwomba awasaidie kuwapatia tiba ya kienyeji .“Ndipo vijana hao walipoanza kumhoji juu ya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutaka kujua mahali , alikokuwa akiishi na chumba alichokuwa akilala na alikuwa akilala na nani. Inadaiwa aliwajibu vijana hao kwa ufasaha bila kuwa na shaka nao huku mazungumzo hayo yakiwa yanasikilizwa kwa siri na Tausi Mlitoni, ambaye naye alikuwa karibu na eneo hilo ,” alisema Kamanda.Kwa mujibu wa Kamanda, Desemba 29 saa 2:30 asubuhi mke wa Lameck Mboka, aitwaye Zamda Militone, baada ya kuona mama mkwe amechelewa kuamka, alienda na kujaribu kufungua mlango wa chumba chake.Lakini, alibaini kuwa kilikuwa kimefungwa kwa nje. Kidavashari alisema Zamda alipofungua mlango huo wa chumba cha mama mkwe wake na kuingia ndani , alimkuta mama akiwa ameuawa.Kamanda alisema watu watatu wanashikiliwa kwa mahojiano, nao ni Majija, Shilinde na Masanja Ngasa (31), wote wakazi wa kijijini hapo. Watuhumiwa wengine wanne wanaendelea kusakwa baada ya kukimbia kusikojulikana. Chanzo: Habari Leo

EYMAEL: NIPENI YANGA NIIUE AL-AHLY

KOCHA Luc Eymael ambaye tayari ameshafanya mazungumzo ya awali na viongozi wa Yanga, ameuambia uongozi wa klabu hiyo kuwa anaijua vizuri Klabu ya Al-Ahly ya Misri na endapo watampatia kibarua hicho, atawasaidia kuwang’oa katika Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Akizungumza na Mwanaspoti kwa njia ya mtandao, Eymael ambaye ni raia wa Ubelgiji, alisema amefanya mazungumzo ya awali na mmoja wa viongozi wa Yanga kupitia barua pepe, ambapo alisema kama klabu hiyo itampatia ajira hiyo hana wasiwasi na uwezo wake katika kuwang’oa Al-Ahly ambao Yanga inatarajia kukutana nao raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Yanga itaanza michuano hiyo dhidi ya timu ya Comoronize ya Visiwa vya Comoro inayotajwa kuwa ni dhaifu na baada ya hapo itakuwa na kibarua kizito dhidi ya wababe hao wa Misri. Eymael aliyezaliwa miaka 54 iliyopita katika mji mdogo wa Tongeren, Ubelgiji alisema hajajua Yanga inaundwa na nyota wenye uwezo kiasi gani lakini anachoweza kuwaambia viongozi wa klabu hiyo ni kwamba anazijua timu nyingi hasa Wamisri hao ambao tayari wameshapata pigo kubwa kwa kuondokewa na nyota wao wawili muhimu akiwemo mkongwe Mohamed Aboutrika aliyetangaza kutundika daluga Desemba mwaka jana.

Eymael alisema tayari mezani kwake amepokea ofa mbili kutoka klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Algeria za CS Constantine na CR Belouizdad na amepanga kuzitupilia mbali kama Yanga watachangamka kuharakisha mazungumzo naye ya kumpa nafasi iliyoachwa na Ernest Brandts. Alisema kama Yanga watakuwa na nia ya kweli katika kumpa kibarua hicho anawapa mpaka mwisho wa wiki hii na kama hawatamtafuta katika muda huo ataingia katika mazungumzo ya kujiunga na Costantine ambayo inamtafuta kila wakati kupitia mwenyekiti wa klabu hiyo.

CS Constantine inashika nafasi ya nne ikiwa na pointi 48, katika ligi inayoongozwa na ES Setif yenye pointi 59, wakati Belouizdad inashika nafasi ya sita ikiwa na pointi 41, ambapo klabu zote zinamuwinda Mbelgiji huyo.

“Nilivyofuatilia Yanga ni timu nzuri, unajua nilikuwa Kenya na AFC Leopards na hadi sasa wananihitaji, sijui uwezo wa wachezaji wa Yanga na kuhusu akili zao na mbinu lakini kama watakuwa na ubora hakuna shida katika kushindana na hao Al Ahly,” alisema Eymael.

“Kama Yanga wana nia ya kweli waambie wanitafute mpaka kufikia mwisho wa wiki hii, wakichelewa baada ya muda huo nitaingia katika mazungumzo na hawa Constantine ambao wapo katika nafasi ya tatu kwenye ligi ya Algeria. Huenda mambo yakamnyookea Eymael kwa kuwa mpango wa Yanga kumpa ajira Bobby Williamson, kocha wa Gor Mahia umegonga mwamba baada ya kocha huyo kugoma kuja Tanzania na kubaki Kenya ingawa viongozi wa Yanga wamedai kuwa hawakati tamaa hadi kieleweke. Akizungumza na Mwanaspoti Bobby raia wa Scotland, alisema amezungumza na mwenyekiti wa Gor Mahia mara baada ya kusikia Yanga wanamhitaji.

Chanzo: Mwanaspoti

SIMBA YAPATA VIKOSI VIWILI TISHIO

SIMBA ipo Zanzibar katika Kombe la Mapinduzi, lakini kocha msaidizi wa timu hiyo, Seleman Matola mapema wiki hii alionyesha sura ya vikosi viwili vya ushindi katika michuano hiyo. Katika mazoezi ya mwisho ya timu hiyo Uwanja wa Kinesi, Dar es Salaam. 

Matola alipanga vikosi viwili na kuwachezesha kwa ushindani kwa muda usiopungua dakika 50. Kikosi cha kwanza ambacho kinaonekana ndicho kitakachotumika katika Kombe la Mapinduzi kiliundwa na Ivo Mapunda, Nassor Said ‘Chollo’, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’, Joseph Owino, Donald Mosoti, Jonas Mkude, Ramadhan Singano ‘Messi’, Ramadhan Chombo ‘Redondo’, Amissi Tambwe, Awadh Juma na Haruna Chanongo.Kikosi cha pili kiliwajumuisha, Yaw Berko, William Lucian ‘Gallas’, Salum Omar, Hassan Khatib, Gilbert Kaze, Abdulhalim Humud, Uhuru Seleman, Amri Kiemba, Betram Mombeki, Said Ndemla na Edward Christopher.

Wakati mazoezi hayo yakiendelea Berko alitoka baada ya kuumia na nafasi yake ikachukuliwa na Abdul Hashim, pia Redondo alipelekwa kikosi cha pili akibadilishana na Kiemba. Hii inaonyesha bado Redondo na Kiemba wanaweza kuingia kikosi cha kwanza kwa kutegemea zaidi majaliwa ya Henry Joseph ambaye hakushiriki mazoezi hayo. 

Henry yupo kikosi cha kwanza tangu awali.Kikosi cha pili kinaonekana kujaza vijana wengi ambao walipandishwa kutoka timu ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 (U-20) ambao waliibana Yanga mwaka jana na kutoka sare ya mabao 3-3. Hata hivyo, ili kikosi hicho kiendelee kufanya kazi itategemea na hali za wachezaji kiafya na kimchezo kabla ya mchezo wowote ule pamoja na nidhamu. Matola hakuwa tayari kukubali au kukataa kuhusu kikosi hicho cha kwanza alichokipanga mazoezini. 


Chanzo: Mwanaspoti

ABIRIA 52 WALIOKWAMA KATIKA MELI HUKO ANTAKTIKA WAOKOLEWA

Waokoaji kutoka Australia wamefanikiwa kuwaokoa abiria 52 waliokuwa wamekwama katika meli ya Akademic Shokalskiy huko barani Antaktika toka tarehe 24 Desemba mwaka jana 2013 na helkopta inayomilikiwa na raia wa China aitwaye Xu Long. Meli hiyo ilikwama kutokana mlundikano wa barafu katika injini zake. Barafu hiyo ilisafirishwa na upepo mkali umbali wa netiko maili 1,500 kutoka katika mji wa Hobart jimbo la Australia. Kazi ya kuokoa abiria hao ilichukua dakika 45 kwa kila Wafanyakazi wa meli hiyo wanataraji kubaki katika meli hiyo kwa muda wa wiki moja mpaka pale barafu itakapoyeyuka. Aidha abiria hao waliokuwa wakisafiri kuelekea Tasmania hawatasafiri tena mpaka pale hali itakapokuwa shwari katikati ya mwezi huu.


Jinsi barafu ilivyokuwa imeganga
Jinsi barafu ilivyokuwa imeganga

IRAQ SECURITY FORCES FIGHT MILITANTS IN ANBAR PROVINCE

Special forces in Iraq are fighting Jihadist militants who have reportedly taken over swathes of two cities.The clashes with fighters from the Al Qaeda linked Islamic State of Iraq and the Levant (ISIS) are taking place in Fallujah and Ramadi.

Both cities are in the province of Anbar where Sunni militant activity has been on the rise.On Monday the security forces broke up a long-running Sunni anti-government protest camp in Ramadi. A senior police officer was quoted as saying ISIS fighters had seized at least 10 police stations and had freed a number of prisoners.

ISIS fighters have posted videos of themselves burning government vehicles, setting up checkpoints and issuing challenges to the authority of the Shia Prime Minister, Nouri Maliki. Sunni tribal fighters have also taken to the streets, with reports that some are fighting on the government side. As well as the breaking up of the protest camp, the arrest of a Sunni MP at the weekend also raised tensions. Sunni Arabs in Iraq claim they have been targeted and politically marginalised by Mr Maliki's government, a charge the prime minister denies.

Source: BBC