To access the names of selected undergraduates click HERE (make sure your device can access .xlsx format)
LIST OF UNDERGRADUATES SELECTED TO JOIN THE MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY 2018/2019 ROUND 2
KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UDAHILI AWAMU YA TATU
tume ya Vyo Vikuu nchini (TCU) imetoa tangazo kwa umma kuhusu zoezi la udahili awamu ya tatu. Dirisha la udahili liko wazi hadi Septemba 26, 2018. Maelezo zaidi bofya katika link hii HAPA
LIST OF UNDERGRADUATES SELECTED TO JOIN TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA) 2018/2019 ROUNDS 1 & 2
The following applicants have been selected to join various programmes offered by Tanzania Institute of Accountancy for the Academic year 2018/2019.
Selected candidates should report to their respective campuses on 29th OCTOBER 2018.
- Joining instructions and admission letters can be downloaded through our website www.tia.ac.tz
- The Institute has limited accommodation facilities for students. Those who wish to stay at the Institute’s Hostels should apply in advance to their respective campuses before commencement of an academic year.
- Applicants with status “PENDING FOR SELECTION’’ are advised to communicate with the institute through mobile numbers 062577774 OR O677777746 OR 0764777746. Applicants with ‘‘Prior admission status’’ in their accounts are advised to clear their prior admission status through filling TCU prior admission clearance form. Unsuccessful applicants for the second round are advised to re-apply for third round applications by choosing other programme in which they are qualified as per our entry requirements communicated in TCU guidebook.
- Candidates with multiple admissions and have not yet confirmed are advised to continue with confirmation.
LIST OF SELECTED APPLICANTS CAN BE ACCESSED BY clicking HERE
UCL: FAHAMU MACHACHE MECHI YA MAN CITY VS LYON
Mechi itachezwa saa 4:00 usiku saa za Afrika Mashariki katika dimba la Man City Etihad. Mwamuzi wa mechi hii ni Muitalia Daniele Orsato.
Hii ni mechi ya kwanza baina ya timu hizi. Mpaka sasa hakuna klabu ya Ufaransa iliyowahi kushinda ugenini dhidi ya Man City zaidi ya kuambulia suluhu 1 na kupoteza michezo 2.
Lyon imeshinda mechi 1 tu kati ya 8 ilizocheza na timu za Uingereza. Hii ilikua ni dhidi ya Liverpool katika dimba la Anfield Oktoba 2009.
Hii ni mara ya 8 mfululizo kwa Man City kushiriki katika ligi ya mabingwa Ulaya. Hii ni rekodi ya juu kwa sasa katika timu za Uingereza kushiriki idadi hii ya Man City ambayo mara nyingi imekua ikiondolewa katika mechi ya 5 ya michuano hii hatua ya makundi.
Katika mechi zao zote 42 walizocheza Man City hakuna mechi hata moja ambayo hawakufunga katika ligi hii.
Hii ni mara ya 15 kwa Lyon kushiriki michuano hii. Hii inaifanya kuwa timu pekee kutoka nchini Ufaransa kushiriki mara nyingi zaidi. Wamekuwa wakiondolewa katika hatua ya mtoano kuanzia msimu wa 2003/2004 hadi 2011/2012 na hawajawahi tena kufikia hatua hiyo.
Lyon wameshinda mechi 3 tu kati ya mechi zao 13 za mwisho katika ligi hii pamoja na kusuluhu mechi 3 na kupoteza mechi 7.
Lyon ilifunga magoli 5 tu katika mechi zao 5 za mwisho katika ligi hii. Magoli 2 yalifungwa nyumbani na magoli 3 ugenini.
Kocha wa Man City Pep Guardiola amewahi kufikisha timu zake katika hatua ya nusu fainali katika michuano 7 kati ya michuano 9 ya ligi hii aliyoshiriki kama kocha lakini hajatwaa ubingwa tangu alipotwaa mara ya mwisho 2011. Msimu huu atakua anawania kutwaa kombe hilo ili afikie rekodi ya Zinedine Zidane, Carlo Ancelotti na Bob Paisley ya kutwaa kombe hili mara 3.
Raheem Sterling ameifungia klabu yake ya Man City magoli 8 wakiwa nyumbani na kuisaidia kufunga magoli 6 katika mechi 15 alizoichezea klabu hake hiyo.
Mshambuliaji wa Lyon Moussa Dembélé ameifungia klabu hiyo magoli 3 katika mechi 4 za mwanzo katika klabu hii katika UCL. Awali ya Lyon aliwahi kuichezea Celtic ambapo aliifungia klabu hii goli 1 katika mechi 6 kwenye michuano hii.
Man City itaingia uwanjani bila wachezaji wake Benjamin Mendy, Danillo, Claudio Bravo, Kelvin De Bruyne, Sergio Kun Arguero, Eliaqim Mangala na Philippe Sandler ambao ni majeruhi. Kwa upande wa Lyon watakosekana Amine Gouiri na Fernando Marcal.
UCL: FAHAMU MACHACHE MECHI YA REAL MADRID VS ROMA
Mechi itachezwa katika dimba la Santiago Bernabeu saa 4:00 usiku saa za Afrika Mashariki. Mwamuzi atakua ni Mfaransa Bjorn Kuipers. Madrid imeshinda mara 3 dhidi ya Roma katika mechi 3 zilizopita.
Timu hizi zimekutana mara 11 katika ligi hii ya mabingwa barani Ulaya wakati Madrid ikiwa na rekodi ya kushinda mara 6 katika mechi hizo ikisuluhu katika mechi 3 wakati Roma wamewahi kuifunga Madrid mara 1 tu.
Ni mechi 1 tu katika mechi 10 zilizopita ambayo Roma haikufungwa na Madrid na ilikuwa ni Oktoba 2002, ilishinda 1-0 katika dimba la Madrid Santiago Bernabeu goli lilifungwa na Fransesco Totti.
Msimu wa 2017/2018 Madrid ilikuwa timu ya kwanza kutwaa kombe hili mara 3 mfululizo ikilinganisha rekodi na Bayern Munich ya Ujerumani iliyowahi kushinda mara 3 katika mwaka 1974, 1975 na 1976.
Madrid wanacheza michuano hii mara ya 22 mfululizo na kuwa timu yenye rekodi ya muda mrefu katika michuano hii. Katika michuano 8 iliyopita Madrid walifika hatua ya nusu fainali.
Madrid wameshinda mara 22 katika michezo 25 kwenye hatua ya makundi wakiwa nyumbani, walisuluhu mara 3 na bila kupoteza. Walifungwa mara ya mwisho na AC Milan magoli 3 dhidi ya magoli 2. Hii ilikua ni msimu wa Oktoba 2009.
Madrid hawakufunga katika mechi 1 tu katika michezo 56 ya ligi hii ya mabingwa barani Ulaya katika hatua ya makundi na ilikua ni dhidi ya PSG, walitoka suluhu ya bila kufungana Oktoba 2015.
Roma wanashiriki mara ya 11 sasa katika ligi hii (UCL), Juventus wameshiriki mara 19, AC Milan mara 17 na Inter Milan mara 12, hizi ndizo timu 3 zilizoshiriki mara nyingi zaidi katika ligi hii katika timu za nchini Italia.
Katika msimu uliyopita Roma ilifikia hatua ya nusu fainali ambayo ilikua ni mafanikio makubwa kwao katika ligi hii tangu walipopoteza katika finali ya ligi hii mwaka 1984. Wameshinda mechi 1 tu katika 15 walizocheza ugenini, walisuluhu 5 na kupoteza 9.
Madrid wanashiriki bila Cristiano Ronaldo aliyejiunga na Juventus majira ya joto msimu uliopita baada ya michuano ya Kombe la Dunia. Mreno huyo amehusika kwa 50% katika magoli yote ya Madrid tangu msimu wa 2009/2010 hadi 2017/2018 katika ligi hii. Alifunga magoli 105 akisaidia magoli 27 yaliyofungwa.
Edin Dzeko mshambuliaji wa klabu ya Roma amefunga katika kila mechi katika 5 alizocheza na klabu ya Roma katika ligi hii.
Jesús Vallejo wa Madrid na Javier Pastore watakosa kushiriki mechi ya leo kutokana na majeraha.
LIST OF UNDERGRADUATES SELECTED TO JOIN SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE (SUA) AND THOSE WITH MULTIPLE ADMISSIONS 2018/2019
FOR SELECTED STUDENTS
Prospective Students are advised to observe the following:
- All candidates selected to join BSc. Environmental Science and Management, Bachelor of Tourism Management, Bachelor of Rural Development, BSc. Agricultural Economics and Agribusiness, BSc. Applied Agricultural Extension, BSc. Range Management, BSc. Informatics and all BSc. Education programs are supposed to report to Solomon Mahlangu Campus (SMC) – Mazimbu, whereas, students for other programs will report to the Main Campus (MC).
- All students are required to participate in a mandatory orientation programme planned to starts on 29th October, 2018
- Admitted students should download admission letters and invoice at www.suasis.sua.ac.tz through their SUASIS (SUA Student Information System) account. SUASIS can be accessed using the username and password provided to you during application.
- Each student Must upload a recent and high quality passport size photo on their web page before arrival for official use. This must be of the same quality as those used for passports or Identity cards.
FOR THOSE WITH MULTIPLE ADMISSIONS
Sokoine University of Agriculturewishes to inform the following prospective students with multiple admissions to confirm their readiness to join SUA by using the special code sent to them by TCU through their mobile phone number used during application.
To confirm please log in into your SUA application account and enter your special code.
You are required to confirm by Wednesday 5th September, 2018 failure to confirm will lead to cancellation of your name from our list of potential candidates selected to join SUA in 2018/19 academic year.
Issued by
The Deputy Vice Chancellor (Academics),
Sokoine University of Agriculture,
P. O. Box 3000,
The Deputy Vice Chancellor (Academics),
Sokoine University of Agriculture,
P. O. Box 3000,
Inquiries should be sent to
Directorate of Undergraduate Studies
Sokoine University of Agriculture
P. O. Box 3000, Chuo Kikuu, Morogoro
Telephone No: 0744 555 448 OR 0692 862 360
Email: admission@sua.ac.tz
Directorate of Undergraduate Studies
Sokoine University of Agriculture
P. O. Box 3000, Chuo Kikuu, Morogoro
Telephone No: 0744 555 448 OR 0692 862 360
Email: admission@sua.ac.tz
LIST OF UNDERGRADUATES SELECTED TO JOIN MZUMBE UNIVERSITY (FIRST ROUND) 2018/2019
Dear applicants, we congratulate all those who are selected to join various undergraduate programmes in this first round of selection. It is important to note that those who have multiple selections (that is, they have been selected in more than one University) they have to confirm to only one University. In order to confirm to Mzumbe University, please log in your respective account through this link http://admission.mzumbe.ac.tz/and go to the confirmation link, enter the secret CODE that was sent to your phone number that you used when applying to Mzumbe University and click confirm.
Those who are not selected in the first round, please log in your respective accounts athttp://admission.mzumbe.ac.tz/ and you will find the reasons as to why you are not selected. Please, use the correct username and password as you entered when you were creating your account. First round selection was based on ranking of academic performance according to the three choices you made and the capacity of the programme (total number of the students in the particular programme). In that case, you can now log into your accounts and select same/new programmes depending on whether those programmes still have vacancies for selection. If you see any programme available for selection, then you can select it depending on your qualifications. Please, read carefully minimum qualifications for each specific programme before any selection.
Those who did not meet minimum qualifications or they did not follow proper procedures during the first round of application, they are required to log into their respective accounts and re-start again their applications. You may change level from Bachelor to Diploma or from Diploma to Certificate depending on your academic qualifications. This will require you to pay once again application fee.
The admissions’ office, Mzumbe University is ready to respond to your inquiries just in case you have any issue to inquire from us. Call our mobile phone numbers that are shown athttp://admission.mzumbe.ac.tz/.
Admission letters and joining instructions will be sent to selected candidates through their accounts that were created during application. See below the list of selected candidates (Bachelor, Diploma, Certificate programmes) who applied in our online application.
You are welcome to Mzumbe University.
LIST OF UNDERGRADUATES SELECTED TO JOIN ST. AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA (SAUT) AND THOSE WITH MULTIPLE ADMISSIONS 2018/2019
For Selected Students click HERE
For those with multiple admissions click HERE
It should be noted that studets with multiple admissions are supposed to conform one university/college of their choice. Don't confirm more than one university/college in order to be admitted in one college/university of your choice.
WAFAHAMU MATAJIRI 10 WA TANZANIA MWAKA 2018
10. YUSUF MANJI
Manji ni mmiliki wa mali zisizohamishika hasa majengo kwa ajili ya makazi ya watu na biashara. Pia ni muanzilishi wa kampuni ya Quality Group of Companies. Anajihusisha pia na vipuli vya magari. Haya yamemfanya kua miongoni mwa matajiri wa juu zaidi nchini.
9. FIDA RASHID
Fida ni muanzilishi wa kampuni ya Africarrier Group. Hii ni kampuni inayohusika na magari yaliyotumika. Pia kampuni hii inahusika na usambazaji wa magali ya kampuni ya Eicher na Golden Dragon hapa nchini. Hii imefanya kampuni yake kufanya vyema sana katika idara hii. Fida pia ni mmiliki wa mali zisizohamishika pamoja na majengo kama Zahra Tower na Raha Tower. Amekua mjasiriamali anayetengeneza zaidi mazingira mazuri ya biashara zake kama wafanyavyo wengine.
Fida ni muanzilishi wa kampuni ya Africarrier Group. Hii ni kampuni inayohusika na magari yaliyotumika. Pia kampuni hii inahusika na usambazaji wa magali ya kampuni ya Eicher na Golden Dragon hapa nchini. Hii imefanya kampuni yake kufanya vyema sana katika idara hii. Fida pia ni mmiliki wa mali zisizohamishika pamoja na majengo kama Zahra Tower na Raha Tower. Amekua mjasiriamali anayetengeneza zaidi mazingira mazuri ya biashara zake kama wafanyavyo wengine.
8. GHALIB SAID MOHAMMED
Ghalib Mohammed alikua akifanya biashara ya korosho hapo awali na biashara nyingine akishirikiana na baba yake. Baadaye Ghalib Said aliamua kuanzisha kampuni yake na kuiita GSM Group ambayo inajihusisha na uuzaji wa bidhaa za rejareja, usafirishaji wa vifaa na bidhaa, huduma za kifedha, vyombo vya habari na mengine mengi. Vyanzo vyote hivi vinamfanya kua miongoni mwa matajiri wakubwa nchini. Kama mjasiriamali aliamua kujihusisha zaidi na mazao ya kilimo pamoja na baba yake jambo ambalo limewafanya kufikia walipo kwa sasa.
Ghalib Mohammed alikua akifanya biashara ya korosho hapo awali na biashara nyingine akishirikiana na baba yake. Baadaye Ghalib Said aliamua kuanzisha kampuni yake na kuiita GSM Group ambayo inajihusisha na uuzaji wa bidhaa za rejareja, usafirishaji wa vifaa na bidhaa, huduma za kifedha, vyombo vya habari na mengine mengi. Vyanzo vyote hivi vinamfanya kua miongoni mwa matajiri wakubwa nchini. Kama mjasiriamali aliamua kujihusisha zaidi na mazao ya kilimo pamoja na baba yake jambo ambalo limewafanya kufikia walipo kwa sasa.
7. SUBASH PATEL
Patel ni mwanachama wa Taasisi ya Wahandisi wa Umeme na ana ubia na kampuni ya MMI Steels Resource Limited na Nyaza Road Works. Katika kipindi cha miaka 20 amefanikiwa kupanua biashara zake mpaka kufikia kuwa na kampuni inayoitwa Motsun Group. Kampuni hii imegawanyika katika makampuni mengine 11 ambazo zinahusika na bidhaa za chakula, madini, majengo na kusaidia makampuni mengine kitaalamu.
Patel ni mwanachama wa Taasisi ya Wahandisi wa Umeme na ana ubia na kampuni ya MMI Steels Resource Limited na Nyaza Road Works. Katika kipindi cha miaka 20 amefanikiwa kupanua biashara zake mpaka kufikia kuwa na kampuni inayoitwa Motsun Group. Kampuni hii imegawanyika katika makampuni mengine 11 ambazo zinahusika na bidhaa za chakula, madini, majengo na kusaidia makampuni mengine kitaalamu.
6. SHEKHAR KANABAR
Shekhar ni meneja katika kampuni ya Synarge Group. Hii ni kampuni inayohusika na bidhaa za magari. Kampuni hii pia inahusika na utengenezaji wa madini ya risasi. Licha ya kwamba kampuni hii ni mali ya familia, Shekhar anabainishwa kuwa miongoni mwa matajiri nchini kutokana na uongozi wake mzuri katika kampuni hiyo. Kampuni hii pia inahusika na usambazaji wa spea za magari nchini. Huwezi kuzungumzia Teknolojia hii ya magari bila kumzungumzia Shekhar. Synarge imekua ikifanya vema katika mauzo ya bidhaa za magari nchini.
Shekhar ni meneja katika kampuni ya Synarge Group. Hii ni kampuni inayohusika na bidhaa za magari. Kampuni hii pia inahusika na utengenezaji wa madini ya risasi. Licha ya kwamba kampuni hii ni mali ya familia, Shekhar anabainishwa kuwa miongoni mwa matajiri nchini kutokana na uongozi wake mzuri katika kampuni hiyo. Kampuni hii pia inahusika na usambazaji wa spea za magari nchini. Huwezi kuzungumzia Teknolojia hii ya magari bila kumzungumzia Shekhar. Synarge imekua ikifanya vema katika mauzo ya bidhaa za magari nchini.
5. ALLY AWADH
Awadh ni miongoni mwa watu wenye akili ya biashara. Amefanya uwekezaji katika sekta za mafuta na gesi, ni muwekezaji muhimu sana katika sekta hizi. Alifanya kazi kwa juhudi sana ili apewe kibali na serikali na baadaye alifanikiwa katika hilo na sasa ana kampuni yake ya Lake Oil Group inayohusika na kuingiza pamoja na kusambaza mafuta ya petroli na gesi nchini. Biashara ya mafuta inatajirisha kwa haraka sana lakini kwa Awadh haikua hivyo, amepitia changamoto nyingi pamoja na magumu mengi mpaka hapo alipofikia.
Awadh ni miongoni mwa watu wenye akili ya biashara. Amefanya uwekezaji katika sekta za mafuta na gesi, ni muwekezaji muhimu sana katika sekta hizi. Alifanya kazi kwa juhudi sana ili apewe kibali na serikali na baadaye alifanikiwa katika hilo na sasa ana kampuni yake ya Lake Oil Group inayohusika na kuingiza pamoja na kusambaza mafuta ya petroli na gesi nchini. Biashara ya mafuta inatajirisha kwa haraka sana lakini kwa Awadh haikua hivyo, amepitia changamoto nyingi pamoja na magumu mengi mpaka hapo alipofikia.
4. REGINALD MENGI
Mengi ni mmiliki na mkuu wa kampuni kubwa ya habari nchini IPP Media Group. Kampuni hii ina jumla ya vituo vya redio 11, vituo vya televisheni, magazeti na huduma za mtandao (Internet). Mengi pia ni mmiliki wa kampuni ya Kilimanjaro Spring Water na Bonite Bottlers. Ndoto yake na mapenzi katika tasnia ya habari vimemfanya kutimiza malengo yake ya kutangaza na kufikisha habari kwa Watanzania. Anamiliki utajiri unaokadiriwa kuwa dola milioni 560.
Mengi ni mmiliki na mkuu wa kampuni kubwa ya habari nchini IPP Media Group. Kampuni hii ina jumla ya vituo vya redio 11, vituo vya televisheni, magazeti na huduma za mtandao (Internet). Mengi pia ni mmiliki wa kampuni ya Kilimanjaro Spring Water na Bonite Bottlers. Ndoto yake na mapenzi katika tasnia ya habari vimemfanya kutimiza malengo yake ya kutangaza na kufikisha habari kwa Watanzania. Anamiliki utajiri unaokadiriwa kuwa dola milioni 560.
3. SAID SALIM BAKHRESA
Bakhresa aliacha masomo ya shule ya sekondari akiwa na umri wa miaka 14. Kwa kipindi hicho alikua akifanya biashara ya kuuza viazi na akafungua mgahawa wa kuuza chakula na kisha akafungua mashine ya kusaga nafaka. Bakhresa ameijenga biashara yake kwa muda wa miaka 30 iliyopita mpaka kufikia leo, pia ni miongoni mwa matajiri wakubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Kampuni yake ya Bakhresa Group of Companies ni maarufu kwa uzalishaji wa bidhaa za chakula, mafuta ya petroli, usafirishaji ndani ya bahari ya Hindi na usagaji wa nafaka. Pia ni mmiliki wa king'amuzi cha Azam TV ambacho kinatoa huduma kwa malipo katika ukanda wa Afrika Mashariki. Akiwa ameajiri zaidi ya watu 3000 katika ukanda huu wa Afrika Mashariki, akiwa na matawi ya kibiashara nchini Msumbiji, Malawi na Uganda, Bakhresa anakadiriwa kuwa na utajiri unaofikia dola milioni 650 za Marekani. Bakhresa amekuwa akitoa msaada wa kifedha kwa watu wenye uhitaji nchini.
Bakhresa aliacha masomo ya shule ya sekondari akiwa na umri wa miaka 14. Kwa kipindi hicho alikua akifanya biashara ya kuuza viazi na akafungua mgahawa wa kuuza chakula na kisha akafungua mashine ya kusaga nafaka. Bakhresa ameijenga biashara yake kwa muda wa miaka 30 iliyopita mpaka kufikia leo, pia ni miongoni mwa matajiri wakubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Kampuni yake ya Bakhresa Group of Companies ni maarufu kwa uzalishaji wa bidhaa za chakula, mafuta ya petroli, usafirishaji ndani ya bahari ya Hindi na usagaji wa nafaka. Pia ni mmiliki wa king'amuzi cha Azam TV ambacho kinatoa huduma kwa malipo katika ukanda wa Afrika Mashariki. Akiwa ameajiri zaidi ya watu 3000 katika ukanda huu wa Afrika Mashariki, akiwa na matawi ya kibiashara nchini Msumbiji, Malawi na Uganda, Bakhresa anakadiriwa kuwa na utajiri unaofikia dola milioni 650 za Marekani. Bakhresa amekuwa akitoa msaada wa kifedha kwa watu wenye uhitaji nchini.
2. ROSTAM AZIZ
Rostam anashikiria rekodi ya kuwa bilionea wa mwanzo nchini Tanzania. Anamiliki kampuni ya madini inayotwa Caspian Mining, kampuni hii inatoa huduma za kitaalamu kwa makampuni makubwa ya madini nchini kama vile Barrick Mining na BHP Billiton. Alinunua 17.2% ya hisa za kampuni ya Vodacom Tanzania mwaka 2014. Anamiliki mali zisizohamishika nchini Tanzania, Lebanon, Dubai na Oman. Pia ni mdau mkubwa wa bandari ya Dar es Salaam. Utajiri wake unakadiriwa kuwa dola bilioni 1 za Marekani. Alikua ndiye bilionea wa kwanza nchini mpaka pale MO Dewji alipochukua nafasi hii. Ndiye tajiri wa kwanza kuwahi kufikia kada hii ya matajiri bilionea kutoka Tanzania.
1. MOHAMMED DEWJI
MO Dewji ni miongoni mwa matajari wenye umri wa miaka 40 barani Afrika. Anamiliki 75% ya hisa zote katika kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Ltd (METL) ambayo inamiliki viwanda vingi nchini. Baada kupata umiliki wa viwanda vya nguo na mimea ya mafuta kutoka serikali ya Uganda utajiri wake ukaanza kukua kwa kasi. Ana utajiri uanaokadiriwa kufikia dola bilioni 1.3 za Marekani, hii inamfanya kuwa tajiri namba 1 kwa sasa nchini. MO alitajwa na Forbes kuwa tajiri namba 1 nchini mwanzoni mwa mwaka huu na bado ameendelea kushikilia namba hiyo.
Chanzo: Forbes Raking


























