PICHA 20 KUTOKA KWA DIAMOND NA ZARI WAKIWA KENYA WALIZOPOST INSTAGRAM
Diamond na Zari wameendelea na starehe zao huko Mombasa Kenya huku team ya WCB ikitia mguu pia mahali hapo; Harmonize na Sallam walihusika pia. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika mapumziko hayo.
KWA PICHA, MATUKIO, HABARI NA MAELEZO KAMA HAYA NA MENGINE MENGI USISITE KUTEMBELEA VENANCE BLOG:
Facebook: VENANCE BLOG
Twitter: @Venancetz
Instagram: @venanceblog
email: venancegilbert@gmail.com
![]() |
Hapa Zari aliamua kumtania shemeji yake Harmonize. |
![]() |
mkubwa Simba na Zari katika starehe zao |
![]() |
Harmonize alipata nafasi ya kusema chochote BClub |
![]() |
Katika picha hii Diamond kaandika caption ya kiingereza ambayo Kiwashili chake ni "namwambia Harmonize kwamba wenye chuki wote hawana maana. Tuna uwezo na ni matarijiri" |
![]() |
Unamuona Zari anavyozidi kupendeza kama ndo kwanza ana miaka 12 |
![]() |
Kila mtu apambane na mahusiano yake tu. |
![]() |
Huu mkao sasa Zari alivyomtegea Mond afu anajifanya kama hana habari yuko busy na simu |
![]() |
Sallam alihusika pia B Club |
![]() |
Wanapendeza hawa wapendanao |
![]() |
unamuona Zari? |
KWA PICHA, MATUKIO, HABARI NA MAELEZO KAMA HAYA NA MENGINE MENGI USISITE KUTEMBELEA VENANCE BLOG:
Facebook: VENANCE BLOG
Twitter: @Venancetz
Instagram: @venanceblog
email: venancegilbert@gmail.com
Comments
Post a Comment