Skip to main content

WAFAHAMU WAIGIZAJI 10 WA KIUME WENYE MVUTO KOREA 2017

Uhali gani msomaji na mfuatiliaji wa VENANCE BLOG? Nakukaribisha katika darasa jipya la kufahamu mambo kadha wa kadha kama yanavyokuwa yakipigiwa kura na watu kutoka vyanzo tofauti kama vile tovuti, mitandao ya kijamii, watu wenye ushawishi, majarida n.k. Basi kwa kuanza leo nakuletea orodha ya waigizaji 10 wa kiume wenye mvuto nchini Korea. Vigezo vilivyotumika husemwa na mtandao husika unaotoa orodha hiyo. Ili kurahisisha kazi hii, mimi kama Blogger ntakuletea orodha hizi kila siku kwa lugha ya Kiswahili. Na tuanze sasa, tunaanzia Korea Kusini kuangalia waigizaji wa kiume wenye mvuto kwa mwaka 2017:

#10. Lee Byung-Hun

Lee Byung-Hyun ni muimbaji, mwanamitindo na muigizaji kutokea Korea ya Kusini. Anamiliki kampuni yake ya BH Entertainment. Ni muhitimu wa masuala ya filam na maigizo katika Chuo Kikuu Chung Ang. Anazungumza Kiingereza, Kifaransa, Kikorea na Kimandarin lakini pia ni mfuasi wa dini ya Budha. Alizaliwa Julai 12, 1972 katika jimbo la Gyeonggi Korea ya Kusini. Alianza kuigiza katika televisheni ya KBS katika baadhi ya matukio ya mchezo wa kuigiza "Asphalt My Hometown" Aliendelea kuigiza hadi mwaka 2000 alipoigiza muvi iliyompa umaarufu zaidi na kuuza sana nchini humo, muvi hiyo iliitwa "Joint Security Area" Lee ni mwanachama wa Academy of Motion Picture Arts and Science huko Hollywood Marekani.


#9. Jang Geun-Suk


Jang anapenda kutereza kwenye barafu, kuimba na kucheza. Ni muhitimu wa masuala ya filam na maonesho ya jukwaani katika Chuo Kikuu cha Yang Han nchini Korea Kusini. Alianza kuigiza mwaka 2008 katika Kdrama ambapo aliigiza katika "Beethon Virus" aliigiza pia mwaka 2009 katika "You are Beautiful" na mwaka 2010 "Marry Stayed Out All Night" yote akifanya Kdrama. Kwa sasa anafanya kazi kama muigizaji na muongozaji. Jang alizaliwa Agost 4, 1987 na ameonekana vyema katika maonesho zaidi ya 20 aliyowahi kuigiza. Jang anafahamika kama muigizaji anayejituma sana katika Kdrama. Mwaka jana 2016 aliachia albam zake kadhaa za muziki zikiwemo mbili za "Just Crazy" na "Lounge H". Mnamo Julai mwaka jana 2016 aifanya ziara yake ya kimuziki barani Asia ikiwemo Seoul nchini Korea Kusini, China na Japan ambako alipata mafanikio makubwa katika ziara yake hiyo ya "It's Show Time"  kwa sasa anashughilika na kipindi cha maisha halisi kinachoitwa "My Ear's Candy"


#8. Gong Yoo

Alizaliwa Julai 10, 1979. Ni muhitimu wa Chuo Kikuu cha Kyung Hee akiwa na Shahada ya Sanaa na Maonesho. Anafahamika zaidi kwa kucheza michezo ya Martial Art ya Urusi, pamoja na kupanda kwenye miamba kama alivyoigiza katika "The Suspect" (2013). Alitajwa kama muigizaji maarufu zaidi nchini Korea Kusini mwaka jana 2016. Amewahi kuigiza katika muvi ya mazombi "Train to Busan" alipoambiwa atoe maoni kuhusu muvi hiyo alisema "nilidhani muvi za mazombi na kupigana ni rahisi sana, nilihangaika mno"

#7. Song Joong-Ki

Song alianza kuigiza kama utani tu katika shindano la Kdarama ambalo lililenga kutafuta vipaji "Descendants of the Sun" Kuuigiza haikuwa chaguo lake. Amewahi kushiriki katika michezo ya kutereza kwenye barafu ngazi ya taifa lakini alishindwa kuendelea kutokana na majeraha ambapo alishindwa kushiriki Olympic. Mwaka 2010 aliandika kitabu cha "Beatiful Skin Project" Mwaka 2008 aliigiza katka "A Frozen River" japokuwa igizo lililompa umaarufu sana ni "Sungkyunkwun Scandal" Mwaka 2017 ameigiza katika "Battleship Island"

#6. Park Yoo-Chun

Park ni muigizaji mwenye tuzo nyingi katika tasnia hii ya filamu naa uigizaji nchini Korea Kusini. Anafahamika pia kwa jina la Micky Yoo-Chun, jina la kiingereza alilopewa alipokuwa Virginia nchini Marekani. Alizaliwa Juni 8, 1986 Seoul mji mkuu wa Korea Kusini. Ni mtuzi wa nyimbo, muimbaji na muigizaji, nyimbo zake zipo katika maadhi ya Kpop, rhythm naa blues. Amewahi kuwa mshiriki katika kundi la DBSK toka 2003 hadi 2009 na kwa sasa yupo ktk kundi la JYJ. Ameigiza katika "Sungkyunkwan Scandal", "Miss Ripley" na "Rooftop Prince" Anafahamika pia kwa jina la "Gland Slam" kutokana na kushinda tuzo kutoka SBS, MBC na KBS ambazo ni maarufu nchini Korea Kusini.

#5. Hyun Bin

Hyun ni mmoja kati ya washindi wa tuzo kadhaa nchini humo. Anapendelea mpira wa kikapu, kuogelea na kwenda maonesho ya filamu. Amezaliwa Septemba 25, 1982 Seuol Korea Kusini. Ni muigizaji katka Kdrama ambapo amekuwa maarufu kupitia "My Name is Kim Sam-soon" ambayo ilimpa umaarufu sana na kumfanya ashinde tuzo za MBC Drama, Top Excellence. Ameigiza pia katika "The Secret Garden" Mwaka 2010 aliachia wimbo wake "Dream In my Heart", mwaka 2011 alitoa "Cant Have You" na "That Man" Mwaka 2010 alishinda tuzo ya Netizen Popularity Award.

#4. Kim Woo-Bin

Kabla hajawa muigizaji katika Kdarama, Kim alikuwa ni mwanamitindo aliyekuwa anatokea katika maonesho ya Seoul Fashion Week nchini Korea Kusini mwaka 2009. Anapenda sana mitindo lakini aliambiwa ili aongeze uzuri katika kazi yake hiyo ashiriki katika uigizaji, alikubali. Aliigiza katika "White Christmas" na baadaye mwaka 2013 aliigiza katika "School 2013" na "The Heirs" ambazo zilifanya aanze kutazamwa na Netizen. Mwaka 2012 alionekana katika fiamu tano zikiwemo "The Con Artist" na "Twenty". Mwaka 2016 aliigiza katika filamu ya uhalifu ya "Master" kama Park Jong-goon.

#3. Lee Jong Suk

Yeye anapenda sana kucheza games. Katika muda wake wa mapumziko anapenda kucheza Taekwondo na kupiga piano. Amezaliwa Septemba 14, 1989 ni muhitimu wa Chuo Kikuu Konkum akiwa na shahada ya filamu. Alianza kazi zake katika tasnia ya burudani kama mwanamitindo akitokea katika Seoul Fashion Week mwaka 2005. Mwaka 2010 alionekana katika "Prosecutor Princess" na baadaye akaonekana pia katika "The Secret Garden" na "School 2013"


#2. Lee Min Ho

Lee Min Ho alizaliwa Juni 22, 1987, anapenda sana filamu, kucheza game, na kucheza soka la miguu. Alihitimu Chuo Kikuu Konkuk akisomea filamu, na pia ana mdogo mmoja wa kike. Kwa mujibu wa IMDB, Min Ho alipokua mdogo alikuwa na ndoto za kuwa mcheza soka mkubwa lakink ndoto hizo zilipotea baada ya kuumia katika mchezo huo. Ameanza kuonekana Kdeama mwaka 2006 katika "Secret Campus" Hakua maarufu sana mpaka alipoigiza kama Goo Jon Pyo kwenye "Boys Over Flowers", na hapo ndipo alipoanza kuwa maarufu katika tasnia ya maigizo. Mwaka 2009 alishinda tuzo kama chipukizi bora kwenye tuzo za KBS Drama Acting Awards. Mafanikio zaidi yalifuata alipoigiza "Personal Tatse", "City Hunter" na "Faith" mwaka 2016 alionekana katika "The Legend of the Blue Sea" pia ni mpiga piano mzuri na muimbaji mwenye voko zake.

#1. Kim Soo-yun

Kim soo-hyun alizaliwa Februari 16, 1988. Ni muhitimu kutoka Chuo Kikuu Chung-Ang. Alionekana kwa mara ya kwanza 2013 kwenye "My Love From Another Star" japokuwa haikua na mwisho mzuri lakini ndiyo hii iliyompa umaarufu katika tasnia hii. Amekuwa akifanya kazi mbali mbali katika tasnia ya burudani nchini Korea Kusini kama vile kuimba, kuigiza, kufanya matamasha na hata kuwa balozi kuiwakilisha nchi yake. Mwaka 2014 alikuwa Balozi wa Goodwill kwa jiji la Seoul. Ameshinda tuzo kadhaa kama vile SBS New Star mwaka 2010, KBS New Actor mwaka 2011, na tuzo ya Popularity and Best Couple Awards.



Chanzo: Trending Top Most

Je, una lolote ungependa kusikia kuhusu chochote kinachohusiana na haya? Niandikie kupitia moja ya njia hizi:
WhatsApp: +255 712 586 027
Facebook: VENANCE BLOG
Instagram: @venanceblog
Twitter: @Venancetz
Barua pepe: venancegilbert@gmail.com

Comments

Popular posts from this blog

ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA

Lugha ya Kiswahili inazungumzwa katika nchi za Afrika Mashariki. Kiswahili hutumika nchini Tanzania, Kenya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Msumbiji na Rwanda. Zaidi ya watu milioni 1 5 katika bara hili huitumia lugha hi i kama lugha ya kwanza na wazungumzaji wengine wakiitumia kama lugha ya pili au ya tatu. Ni lugha rasmi ya M uungano wa Afrika. Hii inafanya bara hili kuwa na idadi inayozidi milioni 100 ya wazungumzaji wa lugha hii. Kiswahili ni miongoni mwa lugha kumi zinazoongoza kwa kua na idadi kubwa ya wazungumzaji barani Afrika. TANZANIA Kiswahili nchini Tanzania ni lugha rasmi na lugha ya Taifa. Ni lugha ya utambulisho kwa Mtanzanianainatumika kama lugha ya kuimarisha uelewano, ushirikiano na umoja wa kitaifa. Katika kuiendeleza, juhudi za usanifishaji zimefanyika kwa kuwatumia wataalamu wa fasihi na isimu, wadau wengine na wachapishaji vitabu. Taasisi mbalimbali zimebuniwa kuhusu lugha hii kama vile BAKITA, BAKIZA, Taasisi ya Elimu, UWAVI...

CHEKI PICHA HIZI ALIZOWEKA NICKI MINAJ INSTAGRAM

Nicki Minaja haishiwi vituko vya kupost picha mtandaoni akiwa uchi kabsa ama nusu uchi. Tazama hiyo picha hapo juu inayoonesha matako yake yakiwa wazi. Picha nyingine hii hapa japo amevaa nguo lakini mmmh!! Kwa wanaume so conducive kabisaaa. Cheki jinsi tako lilivyobinuliwa hapa hivi eti njiani anakopita kwa mavazi haya hawapi wanaume shida!!! Haya yote yanakuja wakati Nicki anajiandaa kuachia Album yake mpya ya Pink Friday Print. Album hiyo inapatikana kwenye iTune pia. Picha hizo ziko katika akaunti yake ya Instagram @nickiminaj.  WASILIANA NAMI:  Facebook: VENANCE BLOG  Twitter: @Venancetz  Instagram: venancegilbert  Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014

BAADHI MAMBO AMBAYO HUKUYAFAHAMU KUHUSU BARA LA AFRIKA

Ramani ya Afrika. Karibu tena mpenzi msomaji na mfuatiliaji wa VENANCE BLOG. Leo katika safu yetu ya Fahamu napenda kukufahamisha mambo kadhaa ambayo huenda hukuyafahamu yote kuhusu bara la Afrika. Na tuanze sasa kuyahesabu mambo hayo: 1. Karibu nchi zote za Afrika zilitaliwa na wakoloni isipokuwa nchi mbili tu: Ethiopia na Liberia. 2. Kabla ya Ukoloni, Afrika ilikuwa na tawala zilizokaribia 10,000 (Kingdoms/Empire/State) na tawala hizi zilijiongoza kila moja kivyake zikiwa na lugha tofauti na mila na desturi tofauti tofauti. 3. Lugha ya kiarabu inazungumzwa na watu takribani milioni 170 ikifuatiwa na lugha ya kiingereza inayozungumzwa na watu zaidi ya milioni 130, Kiswahili kikiwa na wazungumzaji zaidi ya milioni 100, Kifaransa takribani wazungumzaji milioni milioni 115. Pia, kuna wazungumzaji wa lugha ya Xhosa wakiwa milioni 50. Kireno kinakadiriwa kuwa na wazungumzaji milioni 20 huku Kispanyola kikiwa na wazungumzaji wanaokadiriwa kuwa milioni 10. Vilevile takriba...

MKUTAO WA G7 KUANGAZIA USALAMA NA MAZINGIRA

Viongozi wa nchi tajiri zaidi duniani zinazounda kundi la G7 wanatarajiwa hii leo kutoa msimamo wa pamoja dhidi ya vitisho vya kiuslama vinavyoikumba dunia vikiwemo kitisho cha makundi ya wanamgambo wenye itikadi kali hadi kile Rais wa Marekani Barack Obama amelaani na kuutaja kama uchokozi wa Urusi nchini Ukraine. Kwa mara ya tatu mfululizo, viongozi hao wamemtenga Rais wa Urusi Vladimir Putin kutoka mkutano huo ulioanza hapo jana na unaokamilika hii leo katika mji wa Elmau nchini Ujerumani na badala yake wamewaalika viongozi kutoka kwingineko akiwemo waziri mkuu wa Iraq Haider al Abadi na Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ambao wote wawili wanakabiliwa na kitisho kutoka makundi ya wanamgambo. Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na Rais wa Ufaransa Francois Hollande wanatarajiwa kuangazia masuala ya mazingira katika mkutano huo hasa kuongezeka kwa viwango vya joto duniani na athari zake. Chanzo: DW

HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI

KUANZISHWA KWA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA Mafanikio ya michuano ya mpira wa miguu ya Olimpiki ndiyo yalikua mwanzo wa  FIFA kutamani kuwa na michuano yake ya Kombe la Dunia kwa mchezo wa mpira wa miguu. Ikumbukwe kwamba kipindi hicho mpira wa miguu wa wanaume pekee ndiyo ulikuwepo. Maswali yalitumwa kwa wahisani wa FIFA ili kuona kama wanakubaliana na uanzishwaji wa michuano hiyo na kwa masharti yapi? Kamati maalumu ilichunguza maswali hayo chini ya uongozi wa  Rais wa FIFA wa kipindi hicho Jules Rimet akishirikiana na Katibu wa Shirikisho la Soka nchini Ufaransa kwa wakati ule Henri Delaunay. Rais wa FIFA Jules Rimet aliyeanzisha na kusimamia Kombe la Dunia la kwanza . Kufuatia uwepo wa muswada wa Kamati Tendaji ya FIFA, lilifanyika kongamano la FIFA Mei 28, 1928 jijini Amsterdam nchini Uholanzi likiazimia kuwepo kwa michuano ya mabingwa wa soka duniani ambayo ilipangwa na shirikisho hilo la mpira duniani na sasa nchi waandaji wa michuano hiyo zilitakiwa ...

MAMBO YA MUHIMU KUFAHAMU NA KUZINGATIA KABLA YA KUCHAGUA KOZI (TAALUMA) CHUO KIKUU

Picha kwa hisani ya Debt.org 1.0 UTANGULIZI Nilipokuwa mwanafunzi wa chuo kikuu nilisikia manung'uniko miongoni mwa wanafunzi wenzangu wengi wa vyuo vikuu ambayo yalitokana na taaluma wanazosoma. Kuna sababu kadha wa kadha zinazopelekea manung'uniko hayo miongoni mwa wasomi hawa tukiachilia mbali suala la ucheleweshwaji wa mikopo miongoni mwa wasomi hawa (kwa sasa changamoto hii inapungua kadiri siku zinavyosonga). Tatizo lingine ambalo linawasumbua wasomi hawa ni suala la uchaguzi wa taaluma gani akaisome Chuo Kikuu. Uchaguzi wa taaluma (career choice) ni jambo nyeti sana na la kuzingatia kwa muhitimu yeyote wa elimu ya kuanzia kidato cha nne. Jamii yetu ya Tanzania haifahamu kwa undani kuhusu umuhimu wajambo hili lakini huku ndiko msingi hundaliwa. Mtu anapohitimu kidato cha nne na kupata ufaulu wa kujiunga na masomo ya kidato cha tano ama ngazi ya astashahada (certificate) na stashahada (diploma) hapo ndipo uchanguzi wa taaluma huanza. Kwa kuandika makala haya ninakusudia ...

JAY Z FT. MR. HUDSON-YOUNG FOREVER SONG LYRICS

Let's dance in style, let's dance for a while Heaven can wait, we're only watching the skies Hoping for the best but expecting the worst Are you gonna drop the bomb or not? Let us die young or let us live forever We don't have the power but we never say never Sitting in a sandpit, life is a short trip The music's for the sad man Forever young, I wanna be forever young Do you really want to live forever, forever, and ever? Forever young (young) I wanna be (Aye, may the best of your todays) Forever young (Be the worst of your tomorrows) Do you really want to live forever (But we ain't even thinking that far) Forever (ya know what I mean?) Forever young So we're living life like a video (video) Where the sun is always out and you never get old And the champagne's always cold and the music's always good And the pretty girls just happen to stop by in the hood And they hop their pretty ass up on the hood of that pretty ass car Without a wrinkle in today, ...

CELEBRITY WA SIKU: PAUL WALKER

Leo katika kipengele cha Celebrity wa siku tunaye Paul Walker ambaye kwa sasa ni maremu. Kwa nini Paul Walker leo? Kwa sababu leo ni tarehe ambayo alizaliwa mwaka 1973 huko California. Na tuangalie historia yake ili kumfahamu zaidi. KUZALIWA Paul Walker alizaliwa Septemba 12, 1973 huko Glendale, Calfornia nchini Marekani.  ELIMU Alipata Elimu yake katika Village Christian School. KAZI Paul Walker alikuwa muigizaji nchini Marekani ambapo alianza kazi hiyo katika televisheni mbalimbali kama vile katika vipindi vya The Young and the Restless na Touched by an Angel. Alipata umaarufu katika movie za vijana kama vile She's All That na Varsity Blues. Walker alipata umaarufu zaidi katika movie za Brian O'Conner ambapo zinahusisha uendeshaji wa magari mitaani 'The Fast and the Furious'. Alishiriki pia katika filamu kama vile Eight Below, Timeline, Into the Blue, Joy Ride na Running Scared. Mbali na uigizaji, Walker pia alikuwa mtangazaji wa kipindi cha ...

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 12.10.2017

Viunganis Image caption Phillipe Coutinho Afisa mkuu mtendaji wa klabu ya Bercelona Oscar Grau anasema kuwa klabu hiyo itajaribu tena kumsajili kiungo wa kati wa Brazil Philippe Coutinho, 25, wakati dirisha la uhamisho litakapofunguliwa mwezi Januari. (Guardian) Liverpool itaendelea kukataa kuingia katika makubaliano ya kumuuza Coutinho Barcelona (Independent) Vilevile , Liverpool imekubali kumkubali Coutinho kuelekea Nou Camp mnmao mwezi Januari katika makubaliano yenye thamani ya £98.6m. (Mundo Deportivo via Daily Mail) Image caption Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho Meneja Jose Mourinho yuko tayari kutia saini kandarasi ya miaka mitano na klabu ya Manchester United itakayokuwa na thamani ya £65m (Sun) Mchezaji wa Manchester United Juan Mata, 29, amekataa fursa ya kuhamia katika ligi ya China(Daily Mirror) Kiungo wa kati wa Uingereza Jack Wilshere, 25, anaaminika kutaka kuondoka Arsenal mwezi Januari ili kuimarisha uwezo wake wa kujumuishwa...