MTANDAO WA INSTAGRAM WAFIKISHA WATUMIAJI MILION 300


Mtandao wa Instagram leo umefikisha jumla ya watumiaji milioni 300 dunia nzima huku kukiwa na picha na video zaidi ya milioni 70 ambazo zinawekwa kila siku katika mtandao huo. Uongozi wa mtandao huo umeahidi kutatua tatizo la akaunti za watu maarufu ambazo hu-hakiwa na watu na kuahidi kuzifuta akaunti hizo hivyo kutoa taarifa kwamba watu wasishangae kuona idadi ya watu wanaowafuata kupungua.



WASILIANA NAMI: 
Facebook: VENANCE BLOG 
Twitter: @Venancetz 
Instagram: venancegilbert  





Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014

Comments

Popular Posts

ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA

WALIOCHAGULIWA CHUO CHA MIPANGO MAJINA HAYA HAPA

HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI

CHEKI PICHA HIZI ALIZOWEKA NICKI MINAJ INSTAGRAM

WAFAHAMU WAIGIZAJI 10 WA KIKE WA KOREA AMBAO NI WAREMBO KWA MWAKA 2017

MKUTAO WA G7 KUANGAZIA USALAMA NA MAZINGIRA

VALENTINE DAY'S QUOTES

DIAMOND AISIFIA NGOZI YA WEMA ASEMA INA MVUTO NA INANG'ARA KULIKO KITU CHOCHOTE

WAFAHAMU WAIGIZAJI 10 WA KIUME WENYE MVUTO KOREA 2017