MTANDAO WA INSTAGRAM WAFIKISHA WATUMIAJI MILION 300


Mtandao wa Instagram leo umefikisha jumla ya watumiaji milioni 300 dunia nzima huku kukiwa na picha na video zaidi ya milioni 70 ambazo zinawekwa kila siku katika mtandao huo. Uongozi wa mtandao huo umeahidi kutatua tatizo la akaunti za watu maarufu ambazo hu-hakiwa na watu na kuahidi kuzifuta akaunti hizo hivyo kutoa taarifa kwamba watu wasishangae kuona idadi ya watu wanaowafuata kupungua.



WASILIANA NAMI: 
Facebook: VENANCE BLOG 
Twitter: @Venancetz 
Instagram: venancegilbert  





Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014

Comments

Popular Posts

ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA

HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI

WALIOCHAGULIWA CHUO CHA MIPANGO MAJINA HAYA HAPA

CELEBRITY: SHANIA TWAIN ANATIMIZA MIAKA 53 LEO AGOSTI 28, 2018

MKUTAO WA G7 KUANGAZIA USALAMA NA MAZINGIRA

WAFAHAMU MATAJIRI 10 WA TANZANIA MWAKA 2018

FAHAMU MAMBO HAYA 20 KUHUSU TANZANIA

KANSELA ANGELA MERKEL ASEMA UJERUMANI YA SASA NI BORA ZAIDI