Wakati Davido wa Nigeria akimponda sana Diamond Platnumz, kuwa hana fadhila, wasanii kutoka Nigeria Brackets wamakuja na ujio mpya wa Wimbo wao uitwao Alive ukiwa kama gospel fulani, wakiwa wanamshukuru Mwenyezi Mungu. Mwanadada Tiwa Savage pia amehusika humu ndani. Diamond a.k.a. Chibu Dangote kama kawaida kawakilisha kwa lugha yetu ya KISWAHILI.
Nicki Minaja haishiwi vituko vya kupost picha mtandaoni akiwa uchi kabsa ama nusu uchi. Tazama hiyo picha hapo juu inayoonesha matako yake yakiwa wazi. Picha nyingine hii hapa japo amevaa nguo lakini mmmh!! Kwa wanaume so conducive kabisaaa. Cheki jinsi tako lilivyobinuliwa hapa hivi eti njiani anakopita kwa mavazi haya hawapi wanaume shida!!! Haya yote yanakuja wakati Nicki anajiandaa kuachia Album yake mpya ya Pink Friday Print. Album hiyo inapatikana kwenye iTune pia. Picha hizo ziko katika akaunti yake ya Instagram @nickiminaj. WASILIANA NAMI: Facebook: VENANCE BLOG Twitter: @Venancetz Instagram: venancegilbert Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014

Comments
Post a Comment