Swali liliulizwa kwa Bwana Trump "utakubali matokeo ya Urais baada ya kushindwa na mpinzania wako Hillary Clinton?"
Trump hakujibu moja kwa moja, alisema "nitaliangalia hilo kwa wakati huo".
Awali ya hapo Rais Obama alishangazwa na kutokujiamini kwa Trump kuhusu kuwa na mashaka na Uchaguzi hata kabla ya Uchaguzi wenyewe kufanyika.
Nitakuandalia makala kamili kutoka kwenye Mdahalo huo.
Hii hapa video ikimuonesha Trump alivyokataa kujibu swali aliloulizwa:
Video kwa hisani ya France24.
0 comments:
Post a Comment