Sorry, America — we’ll have to deal with Justin Bieber a bit longer.
The White House on Friday finally officially responded to a petition signed by more than 273,000 people to have Bieber deported to Canada after a string of boozy antics and arrests.
“Sorry to disappoint, but we won’t be commenting on this one,” read a statement on petitions.whitehouse.gov. “We’ll leave it to others to comment on Mr. Bieber’s case, but we’re glad you care about immigration issues.”
The White House argued immigration reform will shrink our deficits by almost $1 trillion in the next 20 years.
Handily, it added, “For those of you counting at home, that’s 12.5 billion concert tickets — or 100 billion copies of Mr. Bieber’s debut album.”
MRISHO MPOTO AELEZEA SABABU ZA KUTOVAA VIATU HATA ANAPOKUWA KATIKA ZIARANI KIMATAIFA
Msanii wa muziki wa asili Mrisho Mpoto amedai kuwa ajisikii vizuri pindi anapo vaa viatu kutokana kudai kuvaa viatu kuna athiri utendaji wa kazi zake.
Mpoto alilionga na bongo5 kuwa amesemwa sana kuhusu tabia ya kuto vaa viatu lakini ameshindwa kubadilika.
“Beauty yoyote ipo kwenye jicho,unapozungumzi Mrisho Mpoto kuwa peku ,sehemu nyingi sana,mara nyingi sana watu wananiona peku, ni kwa sababu ya kutafuta energy ,unajua energy ya mimi kuendelea kuishi inapatikana kwenye udongo,yani ngozi yangu inapokutana na ardhi nakuwa so (confident) na nakuwa Mpoto, zaidi na nguvu na nakuwa na akili ,sasa sipendi wakati mwingine kuwa fake,najitaidi sana kuwa wakisasa ila nakuwa nasahau,kwamfano naweza nikanunu kiatu cha gharama alafu nikakisahau kwenye ndege au kwenye basi kwasababu siyo kawaida yangu kuvaa viatu, nisha jaribu lakini nimeshapoteza vingi,kwasababu siyo culture yangu kuvaa viatu ,viatu navaaga kwasababu watu wananisema.kwaiyo nikivaa ninakuwa kama inanisumbua, nikaona kama bora niache,alafu nakuwa siko huru,ukinikuta nimevaa viatu alafu tukaanza kufanya mazungumzo nakuwa siko huru kwasababu nakuwa nipo kama naelea hewani,yani kama sina chaji,kwaiyo kwangu mimi ardhi ni kama plug ya mwili wangu,nikikanyaga chini wewe niulize chochote nitakujibu niambie niandike shairi la haina yoyote,mimi ata nikiandika nyumbani kwangu lazima niweke miguu kwenye mchanga,ata nyumbani kwangu hakuna mchanga mimi ninabeseni kabisa la michanga,kwajili tu yakukanyaga yani nikiandika nakuwa confidant ata nikiandika nakuwa na amani”Alisema Mpoto
Mrisho anaendelea kufafanua kwanini ataki kubadilika na kuchana na tamaduni ya kutembea mbila kuvaa viatu
“Nataka maisha yasiniendeshe mimi,mimi niyaendeshe maisha, kwasababu unajua speed ya utandawazi yani globalization ni kubwa sana kuliko speed ya mwanadamu kwa Tanzania,ukiangalia watu kama Marekani wamepata uhuru miaka mia mbili iliyopita,sisi tuna miaka mingapi tu ya uhuru na teknologia inakuja kwa kasi sana,ndiyo maana technologia inapokuta Tanzania watu wanaimasta sana,kwamfano facebook,instargam,twetter,whatsapp na mitandao mingine vimekuja kwa kasi sana na watu vimewabadilisha sana,ata Ngugi wa Thiong’o alisema huwezi kwenda kwa jirani kama ujatokea kwako,mtu kaka mimi ninapoigia kwenye technolojia siwezi badilishwa kwasababu nimeshajijua mimi ni
nani”Alimalizia Mpoto
UGOMVI KATI YA PETER NA PAUL 'P SQUARE' KAKA YAO NA MKE WA PETER WAHUSISHWA
Ni siku chache tu zimepita toka Paul Okoye wa kundi la P-Square afanye harusi ya kimila na mke wake Anita Isama huko Nigeria, lakini baada ya wote wawili (Peter & Paul) kukamilisha majukumu ya ndoa zao, kuna habari ambazo zimesambaa wiki hii kuwa umeibuka ugomvi baina ya mapacha hao wa kundi la P-Square ambao inasemekana sasa hawaelewani vizuri.
Mtandao wa Naija Gists umeripoti kuwa kwa mujibu wa chanzo, inadaiwa kuwa kumekuwa na kutoelewana baina ya kaka mkubwa wa mapacha hao Jude Okoye na mke wa mdogo wake Peter Okoye aitwaye Lola Omotayo, kitu kilichopelekea Jude kutohudhuria harusi yao mwaka jana.
Kama unakumbuka Jude hakuhudhuria harusi ya Peter na Lola mwaka jana, lakini alihudhuria ya Paul na Anita mwaka huu kitu kinachowafanya watu waamini kuwa kuna tatizo kubwa baina yao.
Chanzo hicho kimesema inadaiwa kuwa ugomvi huo unaomhusu Lola umesababisha Peter na Paul kugombana wakati wako kwenye rehearsle Jumatano wiki hii, mpaka walipoachanishwa na dancers wao.
Kaka mkubwa wa P-Square Jude alitweet kitu ambacho kinaaminika kuwa kinahusiana na ugomvi wao.
“After over 10 years of hard work, it’s over. (I) Am done.”ikiaminika kuwa alimaanisha amejiondoa kuli-manage kundi hilo japo kuwa yeye mwenyewe hakufafanua alichomaanisha katika maneno hayo machache.
After over 10yrs of hard work, it's over. Am done.
— IG: @Judeengees (@judeengees) April 18, 2014
Jude ndiye amekuwa akiwa-manage kwa miaka yote na kuproduce hits zao paomoja na kudirect idadi kubwa ya video zao zilizofanya vizuri.
Lakini kuna baadhi ya watu nchini Nigeria wamedai kubwa kuna uwezekano kuwa ugomvi ‘hewa’ unaoendelea na kuripotiwa katika vyombo vya habari ukawa ni ‘hype’ ya kuandaa ‘kiki’ ya album yao mpya.
Source: Bongo5
NUKUU ZA LEO/QUOTES OF THE DAY 19/04/2014
1. Let us dream of tomorrow where we can truly love from the soul, and know love as the ultimate truth at the heart of all creation. -
Michael Jackson
2. Don't judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant. -Robert Louis Stevenson
3. Find a place inside where there's joy, and the joy will burn out the pain. -Joseph Campbell
4. Health is the greatest gift, contentment the greatest wealth, faithfulness the best relationship. - Buddha
5. Even if I knew that tomorrow the world would go to pieces, I would still plant my apple tree. -Martin Luther
6. Hope is a waking dream. - Aristotle
7. Happiness is not something you postpone for the future; it is something you design for the present. - Jim Rohn
8. I hated every minute of training, but I said, 'Don't quit. Suffer now and live the rest of your life as a champion.' -Muhammad Ali
9. Thousands of candles can be lighted from a single candle, and the life of the candle will not be shortened. Happiness never decreases by being shared. -Buddha
10. Your present circumstances don't determine where you can go; they merely determine where you start. Nido Qubein
11. If you accept the expectations of others, especially negative ones, then you never will change the outcome. - Michael Jordan
12. We can't help everyone, but everyone can help someone. -Ronald Reagan
13. Put your heart, mind, and soul into even your smallest acts. This is the secret of success. - Swami Sivananda
14. Start where you are. Use what you have. Do what you can. -Arthur Ashe
15. You must do the things you think you cannot do. -Eleanor Roosevelt
16. Don't limit yourself. Many people limit themselves to what they think they can do. You can go as far as your mind lets you. What you believe, remember, you can achieve. - Mary Kay Ash
17. You are always free to change your mind and choose a different future, or a different past. - Richard Bach
18. It is in your moments of decision that your destiny is shaped. - Tony Robbins
19. In oneself lies the whole world and if you know how to look and learn, the door is there and the key is in your hand. Nobody on earth can give you either the key or the door to open, except yourself. - Jiddu Krishnamurti
20. It is during our darkest moments that we must focus to see the light. -Aristotle Onassis
2. Don't judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant. -Robert Louis Stevenson
3. Find a place inside where there's joy, and the joy will burn out the pain. -Joseph Campbell
4. Health is the greatest gift, contentment the greatest wealth, faithfulness the best relationship. - Buddha
5. Even if I knew that tomorrow the world would go to pieces, I would still plant my apple tree. -Martin Luther
6. Hope is a waking dream. - Aristotle
7. Happiness is not something you postpone for the future; it is something you design for the present. - Jim Rohn
8. I hated every minute of training, but I said, 'Don't quit. Suffer now and live the rest of your life as a champion.' -Muhammad Ali
9. Thousands of candles can be lighted from a single candle, and the life of the candle will not be shortened. Happiness never decreases by being shared. -Buddha
10. Your present circumstances don't determine where you can go; they merely determine where you start. Nido Qubein
11. If you accept the expectations of others, especially negative ones, then you never will change the outcome. - Michael Jordan
12. We can't help everyone, but everyone can help someone. -Ronald Reagan
13. Put your heart, mind, and soul into even your smallest acts. This is the secret of success. - Swami Sivananda
14. Start where you are. Use what you have. Do what you can. -Arthur Ashe
15. You must do the things you think you cannot do. -Eleanor Roosevelt
16. Don't limit yourself. Many people limit themselves to what they think they can do. You can go as far as your mind lets you. What you believe, remember, you can achieve. - Mary Kay Ash
17. You are always free to change your mind and choose a different future, or a different past. - Richard Bach
18. It is in your moments of decision that your destiny is shaped. - Tony Robbins
19. In oneself lies the whole world and if you know how to look and learn, the door is there and the key is in your hand. Nobody on earth can give you either the key or the door to open, except yourself. - Jiddu Krishnamurti
20. It is during our darkest moments that we must focus to see the light. -Aristotle Onassis
WAKOREA KASKAZINI WAAGIZWA KUNYOA KIDUKU
Wanaume Korea Kaskazini wanakabiliwa na mtihani mpya katika taifa lao; wa kunyoa nywele kwa mtindo ulioamuliwa na rais wao.
Watake, wasitake kuanzia sasa kila mwanamume atalazimika kunyoa nywele zake kwa mtindo anaoupenda Rais Kim Jong- un.
Kiongozi huyo kijana, aliyerithi wadhifa huo baada ya kifo cha baba yake, hana mzaha hasa kutokana na nia yake ya kujenga mfumo mpya wa utawala ambao matakwa yake tu ndiyo ya kufuatwa.
Ni wiki mbili sasa tangu serikali ya nchi hiyo kutoa agizo linalowataka wanaume kunyoa kama rais wao, huku wanawake nao wakielekezwa kutengeneza nywele zao kwa aina 18 tofauti na si zaidi ya hapo.
Hilo ni moja ya maagizo yenye utata kuwahi kutolewa chini ya utawala wake, ambapo amekuwa akifanya jitihada za kujijengea mizizi, ikiwamo kuwaondoa na kuwaadhibu wale waliokuwa katika utawala wa baba yake wanaoonekana kutokubaliana na aina yake ya uongozi.
KIGOGO WA WEMA AMHONGA GARI KAJALA
NI madai mazito! Kwamba, nyota wa muvi za Kibongo, Kajala Masanja amehongwa gari na mtu anayedaiwa kuwa ni kigogo wa Ikulu. Hii ndiyo habari ya mjini kwa sasa na Risasi Jumamosi limeifukunyua.
Kwa mujibu wa habari hizo ambazo zipo hadi kwenye mitandao ya kijamii, hasa Instagram, Kajala alinunuliwa gari hilo aina ya Toyota Brevis lenye rangi ya bluu iliyoiva wiki mbili zilizopita mara baada ya kutua Bongo akitokea nchini China ambako alikwenda kwa mambo yake binafsi.
TAARIFA ZINAVYODAI
Wasambaza taarifa hao walidai kuwa, kigogo huyo wa Ikulu ni yule Clement ambaye amewahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu.
“Mmeisikia hii? Kajala amenunuliwa gari na Kile (Clement), lina thamani ya shilingi milioni kumi na moja, Wema alie tu nakwambia. We ukisema cha nini wenzako wanajiuliza watakipata lini?
“Kwanza mnajua kama bifu la Wema na Kajala lilitokana na Clement? Alipoachana na Wema akatua kwa msichana anaitwa Naima, lakini akaona bado akaenda hadi kwa Kajala. Wema alipogundua ndiyo akamnunia na kuanza ushoga na Aunt Ezekiel,” msambaza habari za mjini mmoja aliliambia Risasi Jumamosi juzi.
Akaendelea: “Unajua nini? Naamini Wema alimwacha yule bwana na akurudi kwa Diamond baada ya kuona mambo yake siyo mazuri, lakini sasa jamaa (kigogo wa Ikulu) mambo ni safi kwa hiyo anataka kumwoneshea Wema ndiyo maana ameamua kumnunulia gari Kajala baada ya kuwa naye.”
RISASI LALISAKA MITAANI
Baada ya kuzinyaka habari hizo za kimjini, timu ya waandishi wa Risasi Jumamosi, Jumatano iliyopita iliingia mitaani kulisaka gari hilo hasa baada ya Kajala kutopokea simu.
Awali, mtoa habari mmoja alisema Kajala yupo na gari hilo Kinondoni kwa Manyanya, lakini alipofuatwa hapo hakuonekana.
Habari zikapatikana kwamba, alikuwa kwenye Mgahawa wa Steers uliopo jengo la Millennium Tower, lakini pia alipofuatwa eneo hilo hakuonekana.
ALHAMISI SAA 9:06 ALASIRI
Juzi, saa 9:06 alasiri, Kajala alipigiwa simu ambapo alipokea na mahojiano yakawa hivi:
Risasi: Mambo Kajala?
Kajala: Poa tu, mambo?
Risasi: Mambo poa. Eti, namba za gari lako Toyota Brevis ni ngapi?
Kajala: Mh! Yaani hata mimi mwenyewe sizijui, sijazishika kabisa.
Risasi: Sasa, kuna habari kwamba hilo gari umenunuliwa na Clement, yule aliyekuwa na Wema zamani. Kuna ukweli wowote?
Kajala: Mh! Hizo habari si za kweli. Wapo watu wanajiita Team Wema ndiyo wameamua kunipakazia hivyo, wameandika hadi kwenye Instagram, lakini siyo kweli kabisa.
“Mimi nimelinunua hili gari kwa mtu. Aliniuzia kwa shilingi milioni kumi na moja (11,000,000). Sijahongwa wala sijanunuliwa. Kuna watu wanataka kunichafua tu.
KUHUSU USHOGA WAO KUFA
Kuhusu kufa kwa ushoga wao, awali Kajala hakutaka kulizungumzia suala hilo lakini alipobanwa alidai hana tatizo na Wema na kwamba kwa sasa yuko bize kutengeneza filamu zake.
WEMA AKWEPA SIMU
Kwa upande wake, Wema alipopigiwa simu hakupokea lakini siku za nyuma aliwahi kuanika kwamba haamini kama Kajala anaweza kutembea na Clement. Hapo ni wakati ule wakiwa mashoga.
TUJIKUMBUSHE
Katika gazeti la Ijumaa, Machi 21, mwaka huu ukurasa wa mbele kulikuwa na habari ndogo yenye kichwa;
WEMA, KAJALA KIMENUKA!
Katika habari hiyo, ilidaiwa kuwa, wawili hao si mashoga tena huku sababu mbalimbali zikianikwa.
Ilidaiwa kuwa, kisa kilianzia kwenye saluni moja Kinondoni, Dar ambapo Kajala alifika akiendesha baiskeli iliyosababisha kuloa jasho sehemu kubwa ya mwili.
Chanzo kilisema, Wema alipomuona Kajala alitaka kumkumbatia lakini Kajala alimkwepa kwa sababu alikuwa na jasho jambo lililomfedhehesha Wema na kununa.
“Alichokifanya Wema, alimrushia Kajala maneno makali akimhoji kwa nini alimfanyia hivyo wakati hawana tatizo lolote kati yao,” kilidai chanzo.
Siku nyingine ilidaiwa kwamba Kajala alikwenda nyumbani kwa Wema, Kijitonyama kwa lengo la kumchukua waende location (sehemu ya kurekodia sinema), lakini alipofika aliambiwa ‘bimkubwa’ huyo alilala na Diamond hawezi kuamshwa.
Chanzo hicho kilisema Kajala aliwasiliana na Wema kwa njia ya simu ya mkononi akamwambia asubiri lakini alikaa kwa muda mrefu bila mafanikio hivyo hawakwenda kushuti siku hiyo.
Chanzo hicho kilidai pia kwamba ushosti wa wawili hao ulianza kupepesuka muda mrefu lakini uzi wa mwisho umekuja kukatwa na Diamond mara baada ya kurudiana na Wema.
GPL
UGANDA YATOA TAHADHARI KUHUSU AL SHABAAB
Uganda imetoa tahadhari kwamba kundi la wanamgambo la Al Shabaab linapanga kutumia malori ya mafuta kama mabomu katika mahambulizi yao.
Taarifa hii inakuja siku moja baada ya polisi kuwakamata washukiwa wawili wa ugaidi waliokuwa na mabomu wakinuia kutekeleza mashambulizi mjini Mombasa.
Mkuu wa polisi wa Uganda,Kale Kayihura, amesema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kwamba idara ya polisi na ujasusi zina taarifa za kuthibitishwa kuwa kundi la Al-Shabaab linapanga kulipua malori ya mafuta nchini Uganda na kusababisha uharibifu mkubwa.
Ameshauri wananchi kuwa waangalifu na waweze kutoa taarifa zozote kwa polisi.
Uganda na Kenya ziko na wanajeshi wake nchini Somalia kusaidia wanajeshi wa Somalia na wale wa Muungano wa Afrika kupambana na kundi la Al Shabaab.
Wapiganaji hao wamekiri kufanya mashambulizi katika nchi hizo mbili na kutishia mashambulizi zaidi ikiwa Kenya haitaondoa wanajeshi wake kutoka Somalia.
Kundi la Al Shabaab liliwaua watu 76 katika mji mkuu wa Uganda Kampala mwaka 2010.
UGANDA YATOA TAHADHARI KUHUSU AL SHABAAB
Uganda imetoa tahadhari kwamba kundi la wanamgambo la Al Shabaab linapanga kutumia malori ya mafuta kama mabomu katika mahambulizi yao.
Taarifa hii inakuja siku moja baada ya polisi kuwakamata washukiwa wawili wa ugaidi waliokuwa na mabomu wakinuia kutekeleza mashambulizi mjini Mombasa.
Mkuu wa polisi wa Uganda,Kale Kayihura, amesema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kwamba idara ya polisi na ujasusi zina taarifa za kuthibitishwa kuwa kundi la Al-Shabaab linapanga kulipua malori ya mafuta nchini Uganda na kusababisha uharibifu mkubwa.
Ameshauri wananchi kuwa waangalifu na waweze kutoa taarifa zozote kwa polisi.
Uganda na Kenya ziko na wanajeshi wake nchini Somalia kusaidia wanajeshi wa Somalia na wale wa Muungano wa Afrika kupambana na kundi la Al Shabaab.
Wapiganaji hao wamekiri kufanya mashambulizi katika nchi hizo mbili na kutishia mashambulizi zaidi ikiwa Kenya haitaondoa wanajeshi wake kutoka Somalia.
Kundi la Al Shabaab liliwaua watu 76 katika mji mkuu wa Uganda Kampala mwaka 2010.
P SQUARE-TASTE THE MONEY (TESTIMONY) SONG LYRICS
Heh heh heh
Now I'm giving my testimony
Yo oh oh oh
I'm killing the beat
And I'm giving them hits oh eh eh eh
Now I'm giving them everything oh oh oh oh
I'm living my life
I don chop e money heh heh heh
I don taste money eh eh
My guy I'm allergic to poverty (you say wetin)
So I'm using my sense to dey gather the property
Say (ok now) no time oh
Like the statue of Liberty
Nobody knows tomorrow
So I be holding my destiny eh
As e be say na jungle oh
Some people they bubble oh eh eh
I continue the struggle oh
The struggle dey double my hustle eh
As e be say na jungle oh
Some people they bubble oh eh
I continue the struggle oh
Dey double my hustle yeah
Now I'm giving my testimony
Yo oh oh oh
I'm killing the beat
And I'm giving them hits oh eh eh eh
Now I'm giving them everything oh oh oh oh
I'm living my life
I don chop e money hehehe
I don taste money eh
I'm a testimony testimony my testimony
I don chop I don taste money eh
I don taste money eh
I'm a testimony testimony my testimony
I don chop I don taste money eh
I don taste money eh
Je m'appelle chop money (eh eh)
It's good to be saving for rainy days(naso)
Cause e no easy eh
Life is so delicate oh oh ohohoh
So make una see me as evidence
Baba God na my confidence (yes)
His blessings are endless oh oh (yeah)
As e be say na jungle oh
Some people they bubble oh eh eh
I continue the struggle oh
The struggle dey double my hustle eh
As e be say na jungle oh
Some people they bubble oh eh
I continue the struggle oh
Dey double my hustle yeah
Now I'm giving my testimony
Yo oh oh oh
I'm killing the beat
And I'm giving them hits oh eh eh eh
Now I'm giving them everything oh oh oh oh
I'm living my life
I don chop money hehehe
I don taste money eh
I'm a testimony testimony my testimony
I don chop I don taste money eh
I don taste money eh
I'm a testimony testimony my testimony
I don chop I don taste money eh
I don taste money eh
Hey!
Testing testing. 1, 2, 3 (hey)
Okay
Hmm hmm
Je m'appelle chop money
As e be say na jungle oh
Some people they bubble oh eh eh
I continue the struggle oh
The struggle dey double my hustle eh
As e be say na jungle oh
Some people they bubble oh eh
I continue the struggle oh
Dey double my hustle yeah
Now I'm giving my testimony
Yo oh oh oh
I'm killing the beat
And I'm giving them hits oh eh eh eh
Now I'm giving them everything oh oh oh oh
I'm living my life
I don chop e money hehehe
I don taste money eh
Now I'm giving my testimony
Yo oh oh oh
I'm killing the beat
I'm giving them hits oh eh eh eh
Now I'm giving them everything oh oh oh oh
I'm living my life
I don chop e money hehehe
I don taste money eh
I'm a testimony testimony my testimony
I don chop I don taste money eh
I don taste money eh
I'm a testimony testimony my testimony
I don chop I don taste money eh
I don taste money eh
I'm a testimony testimony my testimony
I don chop I don taste money eh
I don taste money eh
I'm a testimony testimony my testimony
I don chop I don taste money eh
I don taste money eh
Watch Taste the Money (Testimony) Official Music Video 👇🏿
EMINEM FT RIHANNA-THE MONSTER SONG LYRICS
I'm friends with the monster that's under my bed
Get along with the voices inside of my head
You're tryin' to save me, stop holding your breath
And you think I'm crazy, yeah, you think I'm crazy (crazy)
I wanted the fame but not the cover of Newsweek
Oh well, guess beggars can't be choosey
Wanted to receive attention for my music
Wanted to be left alone in public, excuse me
For wantin' my cake, and eat it too, and wantin' it both ways
Fame made me a balloon 'cause my ego inflated
When I blew, see, but it was confusing
'Cause all I wanted to do's be the Bruce Lee of loose leaf
Abused ink, used it as a tool when I blew steam (ooh)
Hit the lottery, ooh-wee
But with what I gave up to get, it was bittersweet
It was like winnin' a used mink
Ironic 'cause I think I'm gettin' so huge I need a shrink
I'm beginnin' to lose sleep, one sheep, two sheep
Going coo-coo and kooky as Kool Keith
But I'm actually weirder than you think, 'cause I'm
I'm friends with the monster that's under my bed
Get along with the voices inside of my head
You're tryin' to save me, stop holdin' your breath
And you think I'm crazy, yeah, you think I'm crazy
Well, that's nothin' (ooh-ooh-ooh-ooh)
(Ooh-ooh-ooh-ooh, ooh-ooh-ooh-ooh)
Well, that's nothin' (ooh-ooh-ooh-ooh)
(Ooh-ooh-ooh-ooh, ooh-ooh-ooh-ooh, ooh-ooh-ooh-ooh)
Now, I ain't much of a poet
But I know somebody once told me to seize the moment
And don't squander it
'Cause you never know when it all could be over tomorrow
So I keep conjurin'
Sometimes I wonder where these thoughts spawn from
Yeah, ponderin'll do you wonders
No wonder you're losing your mind, the way it wanders
Yodel-odel-ay-hee-hoo
I think it went wanderin' off down yonder
And stumbled onto Jeff VanVonderen
'Cause I need an interventionist
To intervene between me and this monster
And save me from myself and all this conflict
'Cause the very thing that I love's killing me
And I can't conquer it
My OCD is conkin' me in the head, keep knockin'
Nobody's home, I'm sleepwalkin'
I'm just relayin' what the voice in my head's sayin'
Don't shoot the messenger, I'm just friends with the
I'm friends with the monster that's under my bed
Get along with the voices inside of my head
You're tryin' to save me, stop holdin' your breath
And you think I'm crazy, yeah, you think I'm crazy
Well, that's nothin' (ooh-ooh-ooh-ooh)
(Ooh-ooh-ooh-ooh, ooh-ooh-ooh-ooh)
Well, that's nothin' (ooh-ooh-ooh-ooh)
(Ooh-ooh-ooh-ooh, ooh-ooh-ooh-ooh, ooh-ooh-ooh-ooh)
Call me crazy, but I have this vision
One day that I'll walk amongst you a regular civilian
But until then, drums get killed and
I'm comin' straight at MC's, blood gets spilled and
I'll take it back to the days that I'd get on a Dre track
Give every kid who got played that pumped-up feelin'
And shit to say back to the kids who played him
I ain't here to save the fuckin' children
But if one kid out of a hundred million
Who are going through a struggle feels it and relates, that's great
It's payback, Russell Wilson
Falling way back in the draft
Turn nothin' into somethin', still can
Make that, straw into gold, chump, I will spin
Rumpelstiltskin in a haystack
Maybe I need a straight jacket, face facts
I am nuts for real, but I'm okay with that
It's nothin', I'm still friends with the
I'm friends with the monster that's under my bed
Get along with the voices inside of my head
You're tryin' to save me, stop holdin' your breath
And you think I'm crazy, yeah, you think I'm crazy
I'm friends with the monster that's under my bed
Get along with the voices inside of my head
You're tryin' to save me, stop holdin' your breath
And you think I'm crazy, yeah, you think I'm crazy
Well, that's nothin' (ooh-ooh-ooh-ooh)
(Ooh-ooh-ooh-ooh, ooh-ooh-ooh-ooh)
Well, that's nothin' (ooh-ooh-ooh-ooh)
(Ooh-ooh-ooh-ooh, ooh-ooh-ooh-ooh, ooh-ooh-ooh-ooh)
Watch The Monster Official Music Video 👇🏿
BEYONCÉ FT JAY Z-DRUNK IN LOVE SONG LYRICS
I get filthy when that liquor get into me
I've been thinking, I've been thinking
Why can't I keep my fingers off it?
Baby, I want you, na-na
Why can't I keep my fingers off it?
Baby, I want you, na-na
Cigars on ice, cigars on ice
Feeling like an animal with these cameras all in my grill
Flashing lights, flashing lights
You got me faded, faded, faded
Baby, I want you, na-na
Can't keep your eyes off my fatty
Daddy, I want you, na-na
Drunk in love, I want you
We woke up in the kitchen
Saying, How the hell did this shit happen?
Oh, baby
Drunk in love
We be all night
Last thing I remember is our beautiful bodies grinding up in that club
Drunk in love
We be all night, love, love
We be all night, love, love
We be all night, and everything alright
No complaints from my body
So fluorescent under these lights
Boy, I'm drinking, park it in my lot, 7-11
I'm rubbing on it, rub-rubbing
If you scared, call that reverend
Boy, I'm drinking, get my brain right
Armand de Brignac, gangster wife
Louis sheets, he sweat it out, like washrags, he wet it up
Boy, I'm drinking
I'm singing on the mic to my boy's toys
Then I fill the tub up halfway
Then ride it with my surfboard, surfboard, surfboard
Graining on that wood, graining-graining on that wood
I'm swerving on that, swerving-swerving on that
Big body been serving all this
Swerve, surfing all in this good, good
We woke up in the kitchen
Saying, How the hell did this shit happen?
Oh, baby
Drunk in love
We be all night
Last thing I remember is our beautiful bodies grinding up in that club
Drunk in love
We be all night, love, love
We be all night, love, love
(I'm nice right now, hold up!)
That D'USSÉ is the shit if I do say so myself
If I do say so myself, if I do say so myself
Hold up, stumble all in the house
Time to back up all that mouth
That you had all in the car
Talking 'bout you the baddest bitch thus far
Talking 'bout you be repping that third
I wanna see all that shit that I heard
Know I sling Clint Eastwood
Hope you can handle this curve, uh
Foreplay in a foyer, fucked up my Warhol
Slid the panties right to the side
Ain't got the time to take drawers off
On sight, catch a charge I might
Beat the box up, like Mike in '97, I bite
I'm Ike Turner, turn up baby, no, I don't play
"Now eat the cake, Anna Mae
Said, "Eat the cake, Anna Mae
I'm nice for y'all to reach these heights
You gon' need G3, 4, 5, 6 flights, sleep tight
We sex again in the mornin'
Your breasteses is my breakfast, we goin' in
We be all night, love, love
We be all night, love, love
I'm never tired, never tired
I been sipping, that's the only thing
That's keeping me on fire, we on fire
Didn't mean to spill that liquor all on my attire
I've been drinking, watermelon
I want your body right here, daddy
I want you, right now
Can't keep your eyes off my fatty
Daddy, I want you
We be all night, love, love
We be all night, love, love
Watch Drunk in Love Explicit Music Video 👇🏿
WESTLIFE-I HAVE A DREAM SONG LYRICS
[Shane]
I have a dream, a song to sing
To help me cope with anything
If you see the wonder (wonder) of a fairy tale
You can take the future even if you fail
I believe in angels
Something good in everything I see
I believe in angels
When I know the time is right for me
I'll cross the stream, I have a dream
[Bryan]
Oh yeah
I have a dream (have a dream), a fantasy (fantasy)
To help me through (help me through) reality (reality)
And my destination (destination) makes it worth the while
Pushing through the darkness
([Mark] pushing through the darkness baby)
Still another mile
[Shane]
I believe in angels
Something good in everything I see
([Mark] everything I see yeah)
I believe in angels
([Mark] I believe in angels )
When I know the time is right for me
([Mark] time is right for me)
I'll cross the stream, I have a dream
I have a dream (oh yeah), a song to sing (song to sing)
To help me cope with anything
If you see the wonder (if you see the wonder) of a fairy tale (of a fairy tale)
You can take the future even if you fail (yeah yeah yeah yeah)
I believe in angels
Something good in everything I see (everything)
I believe in angels (yeah)
When I know the time is right for me (right for me)
I'll cross the stream (cross the stream), I have a dream (have a dream)
I'll cross the stream (cross the stream), I have a dream
[Mark]
Oh
Watch I Have A Dream Official Music Video 👇🏿
WAHAMIAJI HARAMU 40 WAZAMA YEMEN
Maafisa wa serikali nchini Yemen wamesema kuwa zaidi ya wahamiaji arubaini wa Kiafrika wamezama baharini, baada ya mashua walimokuwa wakisafiria kuzama, katika pwani ya kusini mwa nchi hiyo.
Manoari ya jeshi la Yemen ambalo lilikuwa katika eneo hilo, imefanikiwa kuwaokoa wahamiaji wengine wapatao thelathini.
Wizara ya ulinzi nchini Yemen imesema kuwa mashua hiyo iliyokuwa ikisafirisha wahamiaji haramu, ilizama katika mkoa wa Kusini wa Shabwa, eneo ambako maelfu ya wahamiaji wa Kiafrika huwasili kila mwaka.
Kwa mujibu wa shirika la Kimataifa la Uhamiaji la IOM, wengi wa wakimbizi wanaojaribu kuvuka guba la Eden, wanatoka Somalia na Ethiopia.
Shirika hilo limesema kuwa wahamiaji hao hufanya safari ndefu na hatari ili kukwepa umasikini, unyanyazaji au vita katika mataifa yao.
Baada ya kuwasili Yemen, wengi wao hutarajia kupata kazi nchini Saudi Arabia na mataifa ya Guba, lakini mamia ya wahamiaji wa Kiafrika hufa kila mwaka wakijaribu kuvuka eneo hilo la Guba wakitafuta maisha bora katika mataifa ya ngambo.
Maafisa wa serikali nchini Yemen wamesema kuwa zaidi ya wahamiaji arubaini wa Kiafrika wamezama baharini, baada ya mashua walimokuwa wakisafiria kuzama, katika pwani ya kusini mwa nchi hiyo.
Manoari ya jeshi la Yemen ambalo lilikuwa katika eneo hilo, imefanikiwa kuwaokoa wahamiaji wengine wapatao thelathini.
Wizara ya ulinzi nchini Yemen imesema kuwa mashua hiyo iliyokuwa ikisafirisha wahamiaji haramu, ilizama katika mkoa wa Kusini wa Shabwa, eneo ambako maelfu ya wahamiaji wa Kiafrika huwasili kila mwaka.
Kwa mujibu wa shirika la Kimataifa la Uhamiaji la IOM, wengi wa wakimbizi wanaojaribu kuvuka guba la Eden, wanatoka Somalia na Ethiopia.
Shirika hilo limesema kuwa wahamiaji hao hufanya safari ndefu na hatari ili kukwepa umasikini, unyanyazaji au vita katika mataifa yao.
Baada ya kuwasili Yemen, wengi wao hutarajia kupata kazi nchini Saudi Arabia na mataifa ya Guba, lakini mamia ya wahamiaji wa Kiafrika hufa kila mwaka wakijaribu kuvuka eneo hilo la Guba wakitafuta maisha bora katika mataifa ya ngambo.
OBAMA AMUALIKA WAZIRI MKUU WA UKRAINE KWA MAZUNGUMZO
Rais wa Marekani Barrack Obama, amemualika waziri mkuu wa Ukraine, Arseniy Yatsenyuk, mjini Washington kwa mashauriano kuhusiana na mzozo unaokumba taifa lake.
Ikulu ya White House, imesema kuwa mkutano huo utakaofanyika siku ya Jumatano, utaangazia, mbinu za kutafuta suluhisho la amani, kuhusiana na operesheni za kijeshi zinazoendesha na jeshi la Urussi katika eneo la Crimea.
Waandishi wa habari wanasema kuwa mualiko huo ni ni ishara thabiti kuwa Marekani inaunga mkono utawala wa mpito wa Kiev.
Wakati huo huo, jamii ya kimataifa inaendelea kuishinikiza utawala wa Moscow, kuondoa wanajeshi wake katika eneo la Crimea.
Chansella wa Ujerumani, Angela Merkel, amemueleza rais wa Urussi, Vladimir Putin, kutilia maanani kuwa kura ya maoni kuhusu ikiwa eneo hilo la Crimea, litajiunga na Urussi inakiuka sheria na ni haramu.
Khodorkovsky apinga utawala wa Moscow
Huku hayo yakijiri, mfungwa wa zamani na mfanya biashara maarufu wa secta ya mafuta na mkoasoaji mkubwa wa rais Putin, Mikhail Khodorkovsky, anehutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika mji mkuu wa Ukraine Kiev.
Amewaambia maelfu ya watu waliofurika katika medani ya Uhuru kuwa serikali ya Urussi inawahadaa raia wake kwa kuwahusisha waandamanaji mjini Kiew na watu wanaopinga utawala wake na raia wake.
Mikutano kama hiyo imefanyika katika sehemu kadhaa za nchi hiyo.
Nyingi zikiwa za amani lakini mjini Sevastopol, katika eneo la Crimea, raia wa Ukraine wanaozungumza lugha ya Kirussi waliwapiga watu wanaounga mkono serikali ya Ukraine.
Televisheni zilizo na makao yao mjini Kiev zimezuiliwa kurusha matangazo katika eneo hilo la Crimea.