Popular Posts
CHEKI PICHA HIZI ALIZOWEKA NICKI MINAJ INSTAGRAM
Written by
Venance Gilbert
-
Nicki Minaja haishiwi vituko vya kupost picha mtandaoni akiwa uchi kabsa ama nusu uchi. Tazama hiyo picha hapo juu inayoonesha matako yake yakiwa wazi. Picha nyingine hii hapa japo amevaa nguo lakini mmmh!! Kwa wanaume so conducive kabisaaa. Cheki jinsi tako lilivyobinuliwa hapa hivi eti njiani anakopita kwa mavazi haya hawapi wanaume shida!!! Haya yote yanakuja wakati Nicki anajiandaa kuachia Album yake mpya ya Pink Friday Print. Album hiyo inapatikana kwenye iTune pia. Picha hizo ziko katika akaunti yake ya Instagram @nickiminaj. WASILIANA NAMI: Facebook: VENANCE BLOG Twitter: @Venancetz Instagram: venancegilbert Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014
HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI
Written by
Venance Gilbert
-
KUANZISHWA KWA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA Mafanikio ya michuano ya mpira wa miguu ya Olimpiki ndiyo yalikua mwanzo wa FIFA kutamani kuwa na michuano yake ya Kombe la Dunia kwa mchezo wa mpira wa miguu. Ikumbukwe kwamba kipindi hicho mpira wa miguu wa wanaume pekee ndiyo ulikuwepo. Maswali yalitumwa kwa wahisani wa FIFA ili kuona kama wanakubaliana na uanzishwaji wa michuano hiyo na kwa masharti yapi? Kamati maalumu ilichunguza maswali hayo chini ya uongozi wa Rais wa FIFA wa kipindi hicho Jules Rimet akishirikiana na Katibu wa Shirikisho la Soka nchini Ufaransa kwa wakati ule Henri Delaunay. Rais wa FIFA Jules Rimet aliyeanzisha na kusimamia Kombe la Dunia la kwanza . Kufuatia uwepo wa muswada wa Kamati Tendaji ya FIFA, lilifanyika kongamano la FIFA Mei 28, 1928 jijini Amsterdam nchini Uholanzi likiazimia kuwepo kwa michuano ya mabingwa wa soka duniani ambayo ilipangwa na shirikisho hilo la mpira duniani na sasa nchi waandaji wa michuano hiyo zilitakiwa ...
ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA
Written by
Venance Gilbert
-
Lugha ya Kiswahili inazungumzwa katika nchi za Afrika Mashariki. Kiswahili hutumika nchini Tanzania, Kenya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Msumbiji na Rwanda. Zaidi ya watu milioni 1 5 katika bara hili huitumia lugha hi i kama lugha ya kwanza na wazungumzaji wengine wakiitumia kama lugha ya pili au ya tatu. Ni lugha rasmi ya M uungano wa Afrika. Hii inafanya bara hili kuwa na idadi inayozidi milioni 100 ya wazungumzaji wa lugha hii. Kiswahili ni miongoni mwa lugha kumi zinazoongoza kwa kua na idadi kubwa ya wazungumzaji barani Afrika. TANZANIA Kiswahili nchini Tanzania ni lugha rasmi na lugha ya Taifa. Ni lugha ya utambulisho kwa Mtanzanianainatumika kama lugha ya kuimarisha uelewano, ushirikiano na umoja wa kitaifa. Katika kuiendeleza, juhudi za usanifishaji zimefanyika kwa kuwatumia wataalamu wa fasihi na isimu, wadau wengine na wachapishaji vitabu. Taasisi mbalimbali zimebuniwa kuhusu lugha hii kama vile BAKITA, BAKIZA, Taasisi ya Elimu, UWAVI...
MKUTAO WA G7 KUANGAZIA USALAMA NA MAZINGIRA
Written by
Venance Gilbert
-
Viongozi wa nchi tajiri zaidi duniani zinazounda kundi la G7 wanatarajiwa hii leo kutoa msimamo wa pamoja dhidi ya vitisho vya kiuslama vinavyoikumba dunia vikiwemo kitisho cha makundi ya wanamgambo wenye itikadi kali hadi kile Rais wa Marekani Barack Obama amelaani na kuutaja kama uchokozi wa Urusi nchini Ukraine. Kwa mara ya tatu mfululizo, viongozi hao wamemtenga Rais wa Urusi Vladimir Putin kutoka mkutano huo ulioanza hapo jana na unaokamilika hii leo katika mji wa Elmau nchini Ujerumani na badala yake wamewaalika viongozi kutoka kwingineko akiwemo waziri mkuu wa Iraq Haider al Abadi na Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ambao wote wawili wanakabiliwa na kitisho kutoka makundi ya wanamgambo. Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na Rais wa Ufaransa Francois Hollande wanatarajiwa kuangazia masuala ya mazingira katika mkutano huo hasa kuongezeka kwa viwango vya joto duniani na athari zake. Chanzo: DW
BAADHI MAMBO AMBAYO HUKUYAFAHAMU KUHUSU BARA LA AFRIKA
Written by
Venance Gilbert
-
Ramani ya Afrika. Karibu tena mpenzi msomaji na mfuatiliaji wa VENANCE BLOG. Leo katika safu yetu ya Fahamu napenda kukufahamisha mambo kadhaa ambayo huenda hukuyafahamu yote kuhusu bara la Afrika. Na tuanze sasa kuyahesabu mambo hayo: 1. Karibu nchi zote za Afrika zilitaliwa na wakoloni isipokuwa nchi mbili tu: Ethiopia na Liberia. 2. Kabla ya Ukoloni, Afrika ilikuwa na tawala zilizokaribia 10,000 (Kingdoms/Empire/State) na tawala hizi zilijiongoza kila moja kivyake zikiwa na lugha tofauti na mila na desturi tofauti tofauti. 3. Lugha ya kiarabu inazungumzwa na watu takribani milioni 170 ikifuatiwa na lugha ya kiingereza inayozungumzwa na watu zaidi ya milioni 130, Kiswahili kikiwa na wazungumzaji zaidi ya milioni 100, Kifaransa takribani wazungumzaji milioni milioni 115. Pia, kuna wazungumzaji wa lugha ya Xhosa wakiwa milioni 50. Kireno kinakadiriwa kuwa na wazungumzaji milioni 20 huku Kispanyola kikiwa na wazungumzaji wanaokadiriwa kuwa milioni 10. Vilevile takriba...
ORODHA YA MAJINA WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI (AWAMU YA PILI)
Written by
Venance Gilbert
-
Hii ni list ya majina ya vyuo vilivyotoa majina ya waliochaguliwa leo October 5, 2016. 1. KWA CHUO KIKUU SAUT AWAMU YA KWANZA NA PILI ZOTE 👉BOFYA HPA👈 2. KWA TEKU 👉BOFYA HAPA👈 3. KWA ARCHBISHOP JAMES (AJUCO) 👉BOFYA HAPA👈 4. KWA JORDAN ROUND 1 & 2 👉BOFYA HAPA👈 5. KWA BUGANDO (CUHAS) 👉BOFYA HAPA👈 Endelea kufuatilia Blog hii kwa selection za vyuo vingine zaidi kwa round zilizosalia.
BEYONCÉ FT JAY Z-DRUNK IN LOVE SONG LYRICS
Written by
Venance Gilbert
-
I've been drinking, I've been drinking I get filthy when that liquor get into me I've been thinking, I've been thinking Why can't I keep my fingers off it? Baby, I want you, na-na Why can't I keep my fingers off it? Baby, I want you, na-na Cigars on ice, cigars on ice Feeling like an animal with these cameras all in my grill Flashing lights, flashing lights You got me faded, faded, faded Baby, I want you, na-na Can't keep your eyes off my fatty Daddy, I want you, na-na Drunk in love, I want you We woke up in the kitchen Saying, How the hell did this shit happen? Oh, baby Drunk in love We be all night Last thing I remember is our beautiful bodies grinding up in that club Drunk in love We be all night, love, love We be all night, love, love We be all night, and everything alright No complaints from my body So fluorescent under these lights Boy, I'm drinking, park it in my lot, 7-11 I'm rubbing on it, rub-rubbing If you scared, call that reverend Boy, I...
ABIRIA 52 WALIOKWAMA KATIKA MELI HUKO ANTAKTIKA WAOKOLEWA
Written by
Venance Gilbert
-
Waokoaji kutoka Australia wamefanikiwa kuwaokoa abiria 52 waliokuwa wamekwama katika meli ya Akademic Shokalskiy huko barani Antaktika toka tarehe 24 Desemba mwaka jana 2013 na helkopta inayomilikiwa na raia wa China aitwaye Xu Long. Meli hiyo ilikwama kutokana mlundikano wa barafu katika injini zake. Barafu hiyo ilisafirishwa na upepo mkali umbali wa netiko maili 1,500 kutoka katika mji wa Hobart jimbo la Australia. Kazi ya kuokoa abiria hao ilichukua dakika 45 kwa kila Wafanyakazi wa meli hiyo wanataraji kubaki katika meli hiyo kwa muda wa wiki moja mpaka pale barafu itakapoyeyuka. Aidha abiria hao waliokuwa wakisafiri kuelekea Tasmania hawatasafiri tena mpaka pale hali itakapokuwa shwari katikati ya mwezi huu. Jinsi barafu ilivyokuwa imeganga Jinsi barafu ilivyokuwa imeganga
CELEBRITY WA SIKU: PAUL WALKER
Written by
Venance Gilbert
-
Leo katika kipengele cha Celebrity wa siku tunaye Paul Walker ambaye kwa sasa ni maremu. Kwa nini Paul Walker leo? Kwa sababu leo ni tarehe ambayo alizaliwa mwaka 1973 huko California. Na tuangalie historia yake ili kumfahamu zaidi. KUZALIWA Paul Walker alizaliwa Septemba 12, 1973 huko Glendale, Calfornia nchini Marekani. ELIMU Alipata Elimu yake katika Village Christian School. KAZI Paul Walker alikuwa muigizaji nchini Marekani ambapo alianza kazi hiyo katika televisheni mbalimbali kama vile katika vipindi vya The Young and the Restless na Touched by an Angel. Alipata umaarufu katika movie za vijana kama vile She's All That na Varsity Blues. Walker alipata umaarufu zaidi katika movie za Brian O'Conner ambapo zinahusisha uendeshaji wa magari mitaani 'The Fast and the Furious'. Alishiriki pia katika filamu kama vile Eight Below, Timeline, Into the Blue, Joy Ride na Running Scared. Mbali na uigizaji, Walker pia alikuwa mtangazaji wa kipindi cha ...
Промокод Аптека.ру позволяет сэкономить деньги при
ReplyDeleteпокупке лекарств через интернет.
Для того чтобы использовать промокод apteka.ru достаточно скопировать специальное слово (часто это бывает буквенно-численное значение) с нашего сайта и вставить в соответствующее поле при оформлении покупки.
Получите промокод аптека.ру.