CLAIRE FOY KUPAMBA JARIDA LA MITINDO LA VOGUE MWEZI UJAO

Claire Foy ambaye ni muigizaji maarufu nchini Uingereza, ataonekana kwenye ukurasa wa mbele kabisa wa Jarida la Mitindo nchini humo la Vogue. Taarifa hii inakuja rasmi kabisa kutoka katika mtandao wa Vogue.

Claire alizaliwa April 4, 1984 huko Stockport Uingereza. Anafahamika kwa kuigiza vema kabisa katika "Season of the Witch" (2011), "Going Postal" (2010) na "Wreckers" (2011). Amefunga ndoa na Stephen Campbell More toka Desemba 2014 na wana mtoto mmoja katika ndoa yao.

Claire amewahi kushinda tuzo za Golden Globes kama Muigizaji wa Kike aliyefanya vizuri katika maigizo kupitia series ya The Crown (2016), BAFTA/La Britania Awards kama Muigizaji bora wa mwaka nchini Uingereza (2017) na Screen Actor Guild Awards kama muigizaji bora wa kike (2017). Alitajwa pia katika tuzo za Primetime Emmy Awards, BAFTa Awards, Chritics Choice Television Awards, Broadcasting Press Guild Awards

Comments

Popular Posts

ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA

HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI

WALIOCHAGULIWA CHUO CHA MIPANGO MAJINA HAYA HAPA

CELEBRITY: SHANIA TWAIN ANATIMIZA MIAKA 53 LEO AGOSTI 28, 2018

MKUTAO WA G7 KUANGAZIA USALAMA NA MAZINGIRA

WAFAHAMU MATAJIRI 10 WA TANZANIA MWAKA 2018

FAHAMU MAMBO HAYA 20 KUHUSU TANZANIA

KANSELA ANGELA MERKEL ASEMA UJERUMANI YA SASA NI BORA ZAIDI