HISTORIA KWA UFUPI KUHUSU NELSON MANDELA

Rais Nelson Mandela amefariki baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na maradhi ya maambukizi ya pafu. Katika maisha yake Mandela alifungwa jela kifungo cha maisha lakini alikaa jela kwa miaka 27 katika gereza lililo katika kisiwa cha Robben huko Afrika Kusini na baadaye aliachiwa huru mwaka 1990. Mandela alipigania ukombozi na uhuru wa mwafrika kwa amani na iliposhindikana yeye pamoja na wanachama wenzie wa ANC waliamua kutumia nguvu ya mtutu wa bunduki mpaka walipofanikiwa. Mwaka 1994 alichaguliwa kuwa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini. Tofauti na viongozi wengine wa Afrika, Mandela alihudumu kwa miaka 5 tu kisha alistaafu mwaka 1999 na kubaki kama balozi wa Afrika Kusini dhidi ya UKIMWI. Alizaliwa mwaka 1918 Mashariki mwa Rasi ya Tumaini Jema na amefariki akiwa na umri wa miaka 95. Harakati zake katika kupigania ukombozi wa mwafrika zinafanana na zile za watu weusi huko Amerika. Enzi za uhai wake aliwahi kuyasema haya: "During my lifetime I have dedicated myself to this struggle of the African people. I have fought against white domination, and I have fought against black domination". Alishinda tuzo ya amani ya Nobel mwaka 1993 iliyompa heshima kubwa ulimwenguni kote licha kuwa aliwahi kufungwa jela miaka 27. Alishiriki katika juhudi za kutafuta amani nchini Burundi, DRC na kwingeneko barani Afrika. Hakika atakumbukwa kwa mengi sana.
MWENYEZI MUNGU AMPUMZISHE KWA AMANI. 

NELSON MANDELA AFARIKI NYUMBANI KWAKE JOHANESBURG

Jana usiku shujaa wa Afrika Mzee Nelson Mandela alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 95. Amefariki kwa ugonjwa wa maambukizi ya pafu, ugonjwa uliomsumbua kwa muda mrefu. Pia katikati ya mwaka huu alikaa hospitali kwa muda wa miezi 3 na baadaye mwezi wa tisa alitolewa hospitali na kwenda kutibiwa nyumbani kwake Johanesburg mpaka mauti yalipomfika. Rais wa nchi hiyo, Jackob Zuma amesema taifa limempoteza shujaa wao na kwamba mwili wake utasifirishwa kwenda kuhifadhiwa katika mochwari ya mji mkuu Pretoria na kwa taratibu za mazishi zitafanywa Jumamosi ijayo pia atazikwa kwa heshima kubwa ya kitaifa na pia bendera zote zitapepea nusu mlingoti nchini humo kama maombolezo ya shujaa huyo... MUNGU AMPUMZISHE KWA AMANI..

MAINDA AWACHANA LIVE CHUCHU NA JOHARI

Hapo majuzi kupitia mtandao mmoja wa kijamii mwanadada Mainda aliamua kuvunja ukimya baadaya kuamua kuwachana live ‘wabaya’ waka Chuchu hans, na Johari kuhusu sakata linaloendelea la wao kumgombania mwigizaji Vicent kigosi ambaye anadaiwa alikuwa mpenzi wa mrembo huyo. Bila kupoteza muda soma hapo chini alivyofunguka mwanadada huyu… "Hizi salamu zako Johari, ni hivi naomba usinitaje kwenye huo upumbavu wenu, Huyo mwanaume mnae mzungumzia mimi kwangu namuona mtu wa kawaida tu ndio maana nikatupa kule. Nadhani umenipata alafu sitaki kumpandisha mtu jina sawa?. Ni hivi mimi si mpinzani wako, nadhani mpinzani wako unamjua mliopiganana (Sakata la Johari na Chuchu hans kupigana) mkataka kutoana roho kisa shingo ya kuku mlivyokuwa wajinga na malimbukeni wa mapenzi wanaume hapawiganiwi. Nimewakalia kimya naona wewe mwenye kilanga umejitoa kimasomaso ukaenda kiu ukasema Mainda amebip wewe unataka kumpigia, ni hivi usiniweke kwenye upumbavu wenu, mimi huyo mwanaume wenu kwangu ni kuku kama kumtafuna nimemtafuna mpaka mifupa alafu nikatupa kwenye shimo la taka, sasa nyiyni mbwa koko mlio kosa wafugaji ndio mnaruka ovyo hamjui mle nini, pumbavu kabisa wewe na mke mwenzio sindio amkauki kunisema me mgonjwa, sasa kama me mgonjwa huyo bwana wenu ni hivi wewe mwenye shape kama ubao usiejielewa nakushauri achaha na mimi nenda sinza" SOURCE: babamzazi.com

TODAY'S QUOTES

1. Love cures people-both the ones who give it and the ones who receive it. -Dr. Karl Minnesinger.

2. There is a land of the living and a land of the dead and the bridge is love. -Thornton Wilder

3. Children will not remember you for the material things you provided but for the feeling that you cherished them. -Richard L. Evans

 4. The heart of a fool is in his mouth, but the mouth of a wise man is in his he art. -Benjamin Franklin

FURAHI KIDOGO KWA KUSOMA HAPA

Kuna jamaa alkuwa anaumwa malaria daktari alpompima akasema huyu mgonjwa anatakiwa apewe KITANDA....jamaa kuckia hvyo akasema hapana kitanda ninacho labda SOFA, KABATI na KING'AMUZI

QUOTES OF THE DAY

1. The greatest discovery of my generation is that human being can alter their lives by altering their attitudes of mind. -William James 2. A happy person is not a person in a certain set of circumstances but rather a person with a certain set of attitudes. -Hugh Down 3. Death is a challenge. It tells not to waste time. . . It tells us to tell each other right now that we love each other. -Leo F. Buscaglia

BONEY M-JINGLE BELLS SONG LYRICS


Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
Dashing thro' the snow, in a one-horse open sleigh
O'er the fields we go, laughing all the way
Bells on bob-tails ring, making spirits bright
What fun it is to ride and sing a sleighing song tonight
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
A day or two ago, I thought I'd take a ride
And soon Miss. Fanny Bright was seated at my side
The horse was lean and lank, misfortune seemed his lot
He got into and drifted back, and we we've got upset
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells, jingle all the way
Oh, what fun it is to ride in a one-horse open sleigh

Listen to Jingle Bells Official Music Audio 👇🏿


A STORY JUST FOR FUNNY

Teacher Wants to Test John's IQ .... Teacher: John, what is a Period? John: I don't know the meaning Sir. But I am very sure it is very dangerous. Teacher: Why John? John: Because when my sister said that she didn’t see her periods for 6months, my mum fainted, my dad got a heart attack and our driver ran away!!!….

WISE SAYINGS OF THE DAY

1. You gain strength, experience and confidence by every experience where you really stop to look fear in the face. . . You must do the thing you can not do. -Eleanor Roosevelt 2. Its the action, not the fruit of the action, that is important. You have to do the right thing. It may be in your power, may not be in your time, that there will be any fruit. But that does not mean you stop doing the right thing. You may never know what results come from your action. But if you do no thing, there will be no results. -Indira Gandhi 3. Do all the good you can, By all the means you can, In all the ways you can, In all the places you can, At all the times you can, To all the people you can, As long as you ever you can. -John Wesley. *** © 2013 Venance ***

WISE SAYINGS BY GREAT MEN OF HISTORY

1. One of the most valuable things we can do to heal one another is listern to each other's stories. -Rebecca Falls

 2. That best portion of a good man's life, his little, nameless, unremembered acts of kindness and of love. -William Wordsworth

 3. Love cures people-both the ones who give it and those who receive it. -Dr. Karl Menninger

UNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI?


House girl alitandika kitanda cha bosi wake Kama Sehemu ya jukumu lake la kila siku. Alipomaliza akakitazama sana kile kitanda cha bosi wake akasema naweza kufa bure bila ya kulalia kitanda kama hiki. Akasema ngoja nijaribu kulala angalau kidogo.
 Akavua nguo zote akaziweka chini, akabaki na gagulo tu akawasha AC akajifunika brangeti gubigubi akalala. Kwa bahati mbaya usingizi ukampitia kweli akalala fofofo.
Ghafla Mume wa bosi akarudi na haikuwa kawaida yake kurudi Muda huo. Alipoingia chumbani, akajua hakika huyu ni mke wangu na kwa kuwa jana tulikwaruzana atakuwa amekasirika tu. Akaogopa kumwamsha. Mwanamme akasaula, akabaki na msuli naye akajifunika hilo hilo blanketi kwa taratibu sana kwa hofu ya kumwamsha mke wake. Kwa bahati mbaya naye usingizi ukampitia, akalala fofofo .
Bosi aliporudi, akaingia chumbani, akakuta watu wawili wamelala fofofo. Akafunua blanketi kwa nguvu, akawakuta wote wawili; yaani yule mfanyakazi na mume wake wamelala pamoja. Walipoulizwa kila mtu akaeleza ukweli wake. Je ungekuwa wewe ni bosi, housegirl au huyo mume ungefanya nini????

YALIYOJIRI KATIKA SAFARI YANGU KUOKA TABORA-MBEYA

Basi la kampuni ya SASEBOSSA liliondoka Tabora stand saa 2 asubuhi tukiwa safarini saa sita na dakika 48 mchana basi lilisimama katika kituo cha Rungwa kwa masaa 4 baada ya kupata hitilafu, mafundi walijaribu kulitengeneza na walifanikisha saa kumi na moja na dakika 40 jioni ambapo basi lilianza kuondoka, majira ya saa 6 usiku gari lilipasuka exozi na kusababisha mafuta yote kumwagika chini hapo tulilazimika kusubiri kwa saa zima na nusu kusubiri konda alete mafuta kwa kurudi kituo cha nyuma, mpaka saa 7 na nusu usiku hapo tulikuwa katika mlima wa kuzunguka zunguka a.k.a NYOKA NYOKA kama wanavyouita wenyeji baada ya konda kuleta mafuta tulizunguka mlima huo na hatimaye kuuacha, gari likaendelea mpaka tulipofika Mbeya stand saa kumi usiku. "NAMSHUKURU MUNGU KWA KUNIFANYA NIFIKE SALAMA BINAFSI LICHA YA KUPATA UGUMU WA SAFARI KAMA HIVYO NA ASANTENI WOTE MLIOSHIRIKIANA NA MIMI KWA NAMNA YOYOTE ILE TOKA MWANZO WA SAFARI #UKEREWE HADI #MBEYA KUPITIA #TABORA MUNGU AWABARIKI" © #Venancetz

YALIYOJIRI KATIKA SAFARI YANGU KUOKA TABORA-MBEYA

Basi la kampuni ya SASEBOSSA liliondoka Tabora stand saa 2 asubuhi tukiwa safarini saa sita na dakika 48 mchana basi lilisimama katika kituo cha Rungwa kwa masaa 4 baada ya kupata hitilafu, mafundi walijaribu kulitengeneza na walifanikisha saa kumi na moja na dakika 40 jioni ambapo basi lilianza kuondoka, majira ya saa 6 usiku gari lilipasuka exozi na kusababisha mafuta yote kumwagika chini hapo tulilazimika kusubiri kwa saa zima na nusu kusubiri konda alete mafuta kwa kurudi kituo cha nyuma, mpaka saa 7 na nusu usiku hapo tulikuwa katika mlima wa kuzunguka zunguka a.k.a NYOKA NYOKA kama wanavyouita wenyeji baada ya konda kuleta mafuta tulizunguka mlima huo na hatimaye kuuacha, gari likaendelea mpaka tulipofika Mbeya stand saa kumi usiku. "NAMSHUKURU MUNGU KWA KUNIFANYA NIFIKE SALAMA BINAFSI LICHA YA KUPATA UGUMU WA SAFARI KAMA HIVYO NA ASANTENI WOTE MLIOSHIRIKIANA NA MIMI KWA NAMNA YOYOTE ILE TOKA MWANZO WA SAFARI #UKEREWE HADI #MBEYA KUPITIA #TABORA MUNGU AWABARIKI" © #Venancetz

USA FOR AFRICA - WE ARE THE WORLD SONG LYRICS


There comes a time
When we heed a certain call
When the world must come together as one
There are people dying
Oh, and it's time to lend a hand to life
The greatest gift of all

We can't go on
Pretending day-by-day
That someone, somewhere soon make a change
We're all a part of God's great big family
And the truth, you know, love is all we need

We are the world
We are the children
We are the ones who make a brighter day, so let's start giving
There's a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day, just you and me

Oh, send them your heart
So they know that someone cares
And their lives will be stronger and free
As God has shown us by turning stones to bread
And so we all must lend a helping hand

We are the world
We are the children
We are the ones who make a brighter day, so let's start giving
Oh, there's a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day, just you and me

When you're down and out, there seems no hope at all
But if you just believe there's no way we can fall
Well, well, well, well let us realize
Oh, that a change can only come
When we stand together as one, yeah, yeah, yeah

We are the world
We are the children
We are the ones who make a brighter day, so let's start giving
There's a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day, just you and me

We are the world
We are the children
We are the ones who make a brighter day, so let's start giving
There's a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day, just you and mee

We are the world (are the world)
We are the children (are the children)
We are the ones who'll make a brighter day, so let's start giving (so let's start giving)
There is a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day, just you and me

Oh, let me hear you!

We are the world (we are the world)
We are the children (said we are the children)
We are the ones who'll make a brighter day so let start giving (so let's start giving)
There's a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day, just you and me, come on now, let me hear you

We are the world (we are the world)
We are the children (we are the children)
We are the ones who'll make a brighter day so let's start giving (so let's start giving)
There's a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day, just you and me, yeah

We are the world (we are the world)
We are the children (we are the children)
We are the ones who'll make a brighter day so let's start giving (so let's start giving)
There's a choice we're making
And we're saving our own lives
It's true we'll make a better day, just you and me

We are the world (are the world)
We are the children (are the children)
We are the ones who'll make a brighter day so let's start giving (so let's start giving)
There's a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day, just you and me

We are the world, we are the world (are the world)
We are the children, yes sir (are the children)
We are the ones that make a brighter day so let's start giving (so let's start giving)
There's a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day, just you and me, ooh-hoo!

We are the world (dear God) (are the world)
We are the children (are the children)
We are the ones that make a brighter day so let's start giving (all right, can you hear what I'm saying?)
There's a choice we're making, we're saving our own lives



Watch this version of We are the World song in HD with names of singers embedded 👇🏿


RIHANNA - DIAMONDS SONG LYRICS



Shine bright like a diamond
Shine bright like a diamond

Find light in the beautiful sea, I choose to be happy
You and I, you and I, we're like diamonds in the sky
You're a shooting star I see, a vision of ecstasy
When you hold me, I'm alive, we're like diamonds in the sky

I knew that we'd become one right away
Oh, right away

At first sight I felt the energy of sun rays
I saw the life inside your eyes

So shine bright, tonight, you and I
We're beautiful like diamonds in the sky
Eye to eye, so alive
We're beautiful like diamonds in the sky

Shine bright like a diamond (whoa)
Shine bright like a diamond (whoa)
Shining bright like a diamond
We're beautiful like diamonds in the sky

Shine bright like a diamond (whoa)
Shine bright like a diamond (whoa)
Shining bright like a diamond
We're beautiful like diamonds in the sky

Palms rise to the universe as we moonshine and molly
Feel the warmth, we'll never die, we're like diamonds in the sky
You're a shooting star I see, a vision of ecstasy
When you hold me, I'm alive, we're like diamonds in the sky

At first sight I felt the energy of sun rays
I saw the life inside your eyes

So shine bright, tonight, you and I
We're beautiful like diamonds in the sky
Eye to eye, so alive
We're beautiful like diamonds in the sky

Shine bright like a diamond (whoa)
Shine bright like a diamond (whoa)
Shining bright like a diamond
We're beautiful like diamonds in the sky

Shine bright like a diamond (whoa)
Shine bright like a diamond (whoa)
Shining bright like a diamond
We're beautiful like diamonds in the sky

Shine bright like a diamond
Shine bright like a diamond
Shine bright like a diamond
So shine bright, tonight, you and I
We're beautiful like diamonds in the sky
Eye to eye, so alive
We're beautiful like diamonds in the sky

Shine bright like a diamond (whoa)
Shine bright like a diamond (whoa)
Shine bright like a diamond, oh-oh, yeah
Shine bright like a diamond (whoa)
Shine bright like a diamond (whoa)
Shine bright like a diamond
Shine bright like a diamond


Watch Diamonds Official Music Video 👇🏿