GET TO KNOW THE NEW RANKS OF UNIVERSITIES IN TANZANIA BY JANUARY 2018



The Webometrics network which is concerned with World Ranking of Universities has released the latest ranks of universities by January this year,  2018. The ranks were based on presence, impact, openness and excellence of the university. Here is a list of ranking from the top ranked university:

RankingWorld Ranksort descendingUniversityDet.Presence Rank*Impact Rank*Openness Rank*Excellence Rank*
1
2021
University of Dar Es Salaam
229
3987
1928
2117
2
2520
Muhimbili University of Health and Allied Sciences
4624
8106
2537
1830
3
3877
Sokoine University of Agriculture
5594
8890
9593
2303
4
4896
University of Dodoma
1581
12328
5085
4063
5
5226
Mzumbe University
1575
4109
6144
5777
6
5398
Open University of Tanzania
116
11380
5804
4696
7
6037
Catholic University of Health and Allied Sciences (Weill Bugando University College)
22648
16307
5146
3715
8
6150
Mkwawa University College of Education
21091
11321
8678
4063
9
6427
Ardhi University
10697
13163
8233
4162
10
7731
University of Iringa
19849
18915
9593
2912
11
8412
Nelson Mandela African Institute of Science & Technology
4720
12854
3945
5777
12
9000
Institute of Rural Development Planning
13956
9987
7454
5777
13
9745
State University of Zanzibar
891
13682
6290
5777
14
10162
Hubert Kairuki Memorial University
3484
11425
9593
5246
15
11260
St Joseph University in Tanzania
4856
9621
9593
5777
16
11466
Dar Es Salaam Institute of Technology
16973
13775
6428
5777
17
12006
Kampala International University
14302
13556
7625
5777
18
12463
Sumait University
22607
9554
9593
5777
19
13253
Institute of Finance Management
10012
15307
7921
5777
20
13330
Saint Augustine University of Tanzania
10639
13848
8868
5777
21
13580
College of Business Education
1920
17217
7516
5777
22
15906
Institute of Accountancy Arusha
16125
17355
8583
5777
23
15953
Tumaini University Makumira
19206
14467
9593
5777
24
16191
Kilimanjaro Christian Medical University College
22400
17309
8394
5777
25
16536
Saint John's University of Tanzania
21160
15004
9593
5777
26
16578
Zanzibar University
21962
17166
8791
5777
27
16654
Dar es Salaam University College of Education
18270
19226
7625
5777
28
16968
Moshi Co-operative University
21707
19444
7492
5777
29
17157
Mount Meru University
25288
15168
9593
5777
30
17350
Mwenge Catholic University
2120
18030
9593
5777
31
17477
Mbeya University of Science & Technology
22144
18182
8827
5777
32
17731
International Medical & Technological University
20816
16587
9593
5777
33
18068
Muslim University of Morogoro
23011
16704
9593
5777
34
19033
Teofilo Kisanji University
21363
18140
9593
5777
35
19252
Mwalimu Nyerere Memorial Academy
19909
18530
9593
5777
36
19388
Arusha Technical College
17600
18915
9593
5777
37
19535
Sebastian Kolowa Memorial University
22482
18584
9593
5777
38
20166
University of Arusha
19262
19705
9593
5777
39
20184
United African University of Tanzania
4773
21011
9593
5777
40
20825
Jordan University College
19084
20510
9593
5777
41
20861
St Francis University College of Health and Allied Sciences
23213
20054
9593
5777
42
20891
Tumaini University Dar es Salaam College
20527
20439
9593
5777
43
20945
Ruaha Catholic University
18029
20755
9593
5777
44
21032
Tumaini University Stefano Moshi Memorial University College
24043
20122
9593
5777
45
21278
University of Bagamoyo UoB Dar es Salaam
22359
20673
9593
5777
46
21431
Archbishop Mihayo University College of Tabora
22621
20842
9593
5777
47
21431
Stella Maris Mtwara University College
26001
20213
9593
5777
48
22137
Tanzanian Training Centre for International Health
24298
21411
9593
5777
49
23025
Josiah Kibira University College
23053
22637
9593
5777


SOURCE: WEBOMETRICS. You can find this list by clicking HERE

HAYA HAPA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2017

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne na maarifa kwa watahiniwa waliofanya mtihani mwaka 2017.

Kuangalia matokeo     BOFYA HAPA

KUELEKEA KOMBE LA DUNIA: ZAIDI YA TIKETI MILIONI 3 ZIMENUNULIWA MTANDAONI

 The World Cup trophy is seen on stage
Zikiwa zimesalia siku takribani 143 kuelekea michuano ya kombe la Dunia la FIFA nchini Uursi mwezi Juni, FIFA imesema tayari kumekuwa na uhitaji wa tiketi za michuano hiyo kwa mashabiki walioko nchini Urusi na wale walioko nje ya Urusi.

Takribani tiketi 3,141,163 mpaka kufikia tarehe 31 Desemba mwaka jana zilikuwa tayari zimeombwa na msahabiki kwa nia ya mtandao. Mashabiki wote wa mpira wa miguu wenye uhakika wa kuhurhuria michuano hiyo nchini Uurusi, wanaweza kupata tiketi kwa kutembelea tovuti ya FIFA, FIFA.com/tickets

Mpaka kufikia sasa, mashabiki wa mpira walioweka oda ya tiketi wanatokea nchi za Uursi, Ujerumani, Ajentina, Mexico, Brazil, Peru, Colombia, Marekani, Hisipania, Poland, na China. Nchi hizi nyingine tofauti na Urusi zinatengeneza jumla ya asilimia 38 ya waombaji wa tiketi hizi za FIFA kimataifa huku asilimia iliyosalia 62 ni raia wa nchinI Urusi. Mashabiki wanaweza kununua tiketi kwa mechi zote isipokua mechi ya ufunguzi na finali

Aidha FIFA imesema kuwa kuna tiketi kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa viungo vya mwili na wanaweza kuweka oda ya tiketi hzo kwa  kubofya hapa.

Njia za Kufanya Malipo ya Tiketi
Tiketi zinaweza kulipiwa kwa njia ya mtandao kupitia  kadi za malipo za Visa ama Visa Checkout. Visa ni mshirika rasmi wa FIFA katika michuano hii ya Kombe la Dunia. Kufahamu namna ya kulipia kwa njia nyingine, bofya hapa.

VITAMBULISHO VYA MASHABIKI
Serikali ya Urusi imeomba mashabiki wawe na kadi maalumu za utambulisho wao wa ushabiki kwa wote watakaohudhuria michuano ya Kombe la Dunia kwa mwaka huu nchini humo. Vitambulisho hivyo vitatolewa bure. Mashabiki wanakumbushwa kuomba vitambulisho hivyo kwa utaratibu utakaotolewa mara baada ya kupokea barua pepe za uthibitisho wa manunuzi ya tiketi. Vitambulisho hivi vitatumika wakati wa kuingia viwanjani pamoja na tiketi za mechi. Matumizi ya kitambulisho hiki yatampa shabiki ofa mbalimbali zitakazotolewa nchini Urusi ikiwemo kusafiri bure kwa usafiri wa umma nchini humo kwa siku za mechi. Kufahamu namna ya kupata kitambulisho hicho bofya www.fan-id.ru
FIFA inakumbusha kuwa haihusiani na utolewaji na matumizi ya vitambulisho hivi kwa namna yoyote ile.

VIDEO: FID Q FT DIAMOND PLATNUMZ & RAYVANNY - FRESH REMIX | WATCH & DOWNLOAD

FAHAMU MAKALA BORA ZA KISAYANSI ZILIZOSAIDIA JAMII 2017


Karibu ndugu msomaji wa VENANCE BLOG. Leo nimekuletea makala fupi zakisayansi ambazo zilipata umaarufu kwa mwaka huu kwa ufupi sana, na tuanze sasa

Biashara ya siri kuuzwa sokwe Afrika Magharibi









Nemley junior, the infant rescued from traffickers after our investigation

David Shukman na Sam Piranty walifanya utafiti mrefu Afrika Magharibi na BBC kugundua mipango ya siri inayohusiana na uuzwaji wa wanyamapori hasa sokwe. Hii ilisaidia kunusurika kwa sokwe aitwaye Nemley Jr ambaye alikuwa na umri wa mwaka mmoja.


Mtambo wa Kupunguza Kabonidayoksaidi angani

fans
Katika mwaka 2017, riport zilionesha kwamba kuna mrundikano mwingi wa gesi ya kabonidayoksaidi angani mpaka kufikia wingi huo kuvunja rekodi huku juhudi za kimataifa zikishindwa kutatua changamoto hiyo ili kuepuka hatari ya kuongezeka kwa joto duniani. Je teknolojia hiyo inaweza kuondoa gesi hiyo ya kabonidayoksaidi ili kujibu maswali mengi ambayo juhudi za kimataifa zimekua zikishinwa kujibu? Hii iliandikwa na Matt McGrath.

Misheni ya Anga ya Cassini kuitafiti sayari ya Sarateni ilivyokamilika

Artist impression of Saturn and its rings 
Misheni ya anga ijulikanayo kwa jina la Cassini space missionilifikia tamati  mwezi Septemba 2017, baada ya kutumia miaka13 kuchunguza sayari ya Sarateni (Saturn) pamoja na mwezi wa sayari hiyo. BBC iliweza kuonesha makala ya utafiti huo wa anga na jinsi utafiti huu wa anag unaharibu tabaka la hewa la sayari hiyo, lakini pia walihakikisha misheni hiyo walipata nafasi ya kuelezea uzoefu wao kuhusu utafiti huo wa aga. Makala hii iliandikwa na Paul Rincon.

Jinsi dunia yetu inavyofanya kazi zake kijiolojia

Dan McKenzie
Je, ni mambo gani ungeyaweka katika orodha ya mambo makubwa ya kisayansi yaliyowahi kutokea katika karne ya 20? Ugunduzi mkubwa zaidi ni ule unaofahamika kisayansi kama plate tectonic. Nadharia hii ina miaka 50 sasa, ni nadharia iliyotoa majibu ambayo kwa kiasi kikubwa yanaelezea sababu za kutokea kwa volkano na matetemeko ya ardhi. Makala hii iliandikwa na Jonathan Amos.

Ugunduzi ma utengenezaji wa Mtandao (Internet) wa kizazi kijacho

The global internet
Kompyuta zenye kasi zaidi zinagunduliwa na kutengenezwa mahali kote duniani. Lakini je, ni kwa nanmna gani kizazikijacho kitatumia komputa hiyo? Wanasayansi tayari wameanza kufikiria namna ya spidi ya mtandao (internet) abayo itaendana na kompyuta hizo. Makala hii iliandikwa na Mary-Ann Runson.

Trump kujenga ukuta mpakani na Mexico kunaharibu uoto wa jangwani mahala hapo pakijengwa

Skull
Rais wa Marekani Donald Trump aliahidi kujenga ukuta  ambao ungetumika kama mpaka kutenganisha nchi hiyo na Mexico, lakini ahadi hii bado inakua ngumu kutekelezeka katika utawala wake huu. Wanasayansi tayari wameanza kuzungumzia madhara ya kiikolojia yatakoyotokana na ujenzi wa ukuta huo. Ujenzi huo utaathiri uoto wa jangwa. Wasayansi hao wanafanya utafiti katika jangwa la Sonoran ambalo tayari lina mpaka unaolitenganisha Marekani na Mexico.Makala hii iliandikwa na Victoria Gill.

Mapinduzi katika ugunduzi wa kupata taarifa za kigenetiki (urithi) kuwafikia watu bilioni1 nchini India

Delhi Metro
Je, jitihada inaweza kutumika nchini India kukusanya taarifa hizi za kijenetiki kutoka katika idadi yake ya watu bilioni 1 ili kuboresha huduma za afya nchini humo? Hii iliandikwa na Kat Arney.

Ndege wanaoukamwatwa na kuuzwa kwa kuwa na sauti zinavutia

SongbirdNdege waliokuwa wanaimba vizuri zaidi yani sauti zao zinavutia wamekuwa wakikamatwa kwenye misitu huko Indonesia na kuuzwa. Hali hii inahatarisha uwepo wa viumbe hawa. Makala hii iliandikwa na Victoria Gill.


Mapinduzi katika utabiri wa hali ya hewa baada ya mwaka 1987

SupercomputerOktoba 15, 1987 kituo cha hali ya hewa cha nchini Uingereza kupitia BBC kilikanusha taarifa za kuwepo kwa kimbunga hatari cha Hurricane ambacho kingeikumba Uingereza. Usiku ule, nchi ilikumbwa na upepo mkali uliosababisha watu 18 kufariki. Katika kumbukumbu ya miaka 30 ya tukio hilo David Shukman aliangalia ni kwa namna gani teknolojia ingeweza kubadilisha utabiri wa hali ya hewa.


Binadamu anayeishi na viumbe wa ajabu na hatari zaidi

Ronald JennerHuwezi kuamini katika fikra zako kwamba kuna viumbe hatari sana ambao bado wanaishi mpaka sasa. Dr. Ronald anasoma kwa karibu tabia za viumbe anaoishi nao hasa wale wenye sumu za hatari kwa maisha ya binadamu. Hii ni makala iliyoandikwa na Jonathan Amos.


Jinsi mtafiti wa mimea wa Uingereza alivyoisadia Sayansi

Plant specimens are pressed under large rocks

Katika miaka ya mwanzoni mwa karne ya 20, muwindaji maarufu nchini Uingereza aliyekuwa akiwinda kwa kupanda juu ya miti alihatarisha maisha yake kwa kuingia nchini China kuchunguza mimea iliyokuwa nchini China kwa mgongo wa Sayansi. Kumbukumbu aliyoicha baada ya utafiti huo inapatikana katika bustani zilizopo nchini Uingereza. Makala hii iliandikwa na Helen Briggs.

Utafiti mpya kuhusu ugunduzi wa kufahamu uwezekano kuweko na maisha kwingineko

View of Europa taken in the 1990s by the Galileo spacecraft 
Baada ya miongo miwili (miaka 20) na kushindwa kukamilisha tafiti, wanasayansi hatimaye walifanikiwa kuitafiti bahari ya Europa. Je, huu utakuwa ni utafiti ambao unaweza kujibu maswali kwamba kuna uwezekano wa kuwepo na maisha katika sehemu nyingine tofauti na duniani? Makala hii iliandikwa na Paul Rincon.

Je, nguo zetu zinachafua mazingira?

Washing on the line 
Utafiti wa kisayansi ulionesha kuwa nguo za material ya polyster na acrylic zinatoa material ya plastiki ambayo wakati wa kufua husababisha uchafuzi wa mazingira hasa bahari. Je, tunawezaje kuzuia tatizo hili la uchafuzi wa mazingira. Makala hii iliandikwa na Victoria Gill.

Utafiti mpya kuhusu ndege jamii ya Dodo kuandikwa tena

Rodrigues Solitaire
Wanasayansi wapo katika hatua za mwisho kutengeneza makala ya kibailojia ambao ilipelekea ndege hawa aina ya Dodo kutoweka duniani. Uandishi huo utakuwa ni muendelezo wa utafiti wa mtafiti wa kifaransa aliyewatafiti ndege hao alipokuwa katika safari zake bahari ya Hindi. Makala hii iliandikwa na Rolly Galloway.

Kuna ugumu gani kumkata nzi?

Housefly 
 Jaribu kukamata nzi yeyeote na utagundua kwamba wao huwa na haraka kuliko wewe. Haraka zaidi. Lakini je ni kwa namna gani viumbe hawa wadogo ubongo wao huweza kuhisi hatari mapema sana na kukimbia? Huu ni utafiti wa kisayansi uliofanywa na Rolly Gallway.

Wadudu hatari ambao pia ni muhimu katika mazingira

Wasp
Mapema mwezi wa nane mwaka huu viumbe hawa walivamia hafla iliyokua imeandaliwa na August Bank nchini Uingerza kuliko hata ambavyo mawaingu yangetanda kuashiria mvua. Profesa Adam Hart mwanasayansi wa Uingerza anasema kwamba licha ya kuwa hatari sana, wadudu hawa ni muhimu sana katika ikolojia.

 
Nitumie maoni yako kupitia Whatsapp 0712586027 ama barua pepe venancegilbert@gmail.com. Facebook VENANCE BLOG na Twitter @Venancetz.


MAKALA HII IMEANDALIWA KWA HISANI YA SHIRIKA LA UTANGAZAJI LA NCHINI UINGEREZA; BBC. PICHA KWA HISANI YA GETTY IMAGES, NASA, CLIMEWORKS, THE GEOLOGICAL SOCIETY; MCKENZIE ARCHIEVE, JULIAN HUME, ROYAL BOTANIC GARDEN; EDINBURGH AND RHS, MET OFFICE, NHM, JPL CATECH, SETI INSTITUTE NASCIENCE PHOTO LIBRARY