TAZAMA HAPA MAGOLI 10 BORA YA KOMBE LA DUNIA 2018

Michuano ya Kombe la Dunia tayari imemalizika nchini Urusi jana Julai 15, 2018 ambapo Ufaransa ilii chapa 4 - 2 Croatia. Leo nakupa nafasi ya kuangalia magoli 10 bora yaliyofungwa katika michuano hii, magoli haya ni kama ifuatavyo:
10: Cristiano Ronaldo, Portugal vs Spain
09: Toni Kroos, Germany vs Sweden
08: Lionel Messi, Argentina vs Nigeria
07: Ricardo Quaresma, Portugal vs IR Iran
06: Nacho, Spain vs Portugal
05: Aleksandar Kolarov, Serbia vs Costa Rica
04: Angel Di Maria, Argentina vs France
03: Philippe Coutinho, Brazil vs Switzerland
02. Benjamin Pavard, France vs Argentina
01. Denis Cheryshev, Russia vs Croatia.


Unaweza kutazama magoli hayo katika video hii hapa chini:


Magoli haya ni kwa hisani ya Kwesé Sports ambao walikua ni washirika rasmi wa FIFA wa kuonesha michuano hii ya Kombe la Dunia 2018.

HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA & UALIMU 2018

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Sita 2018 na yale ya wanafunzi wa Ualimu.


Kuangalia matokeo hayo BOFYA HAPA

FRIENDSHIP QUOTES OF THE DAY MAY 26, 2018


Today I invite you to read these quotes of the day. Enjoy your day.

1. One of the most beautiful qualities of true friendship is to understand and to be understood. ~Lucius Annaeus Seneca.


2. Walking with a friend in the dark is better than walking alone in the light. ~Helen Keller.

3. There is nothing on this earth more to be prized than true friendship. ~Thomas Aquinas.


4. My best friend is the one who brings out the best in me. ~Henry Ford.

5. It is one of the blessings of old friends that you can afford to be stupid with them. ~Ralph Waldo Emerson.

6. The strong bond of friendship is not always a balanced equation; friendship is not always about giving and taking in equal shares. Instead, friendship is grounded in a feeling that you know exactly who will be there for you when you need something, no matter what or when. ~Simon Sinek.

7. A friend is someone who gives you total freedom to be yourself. ~Jim Morrison.

8. Remember that the most valuable antiques are dear old friends. ~H. Jackson Brown, Jr.

9. A true friend is one who overlooks your failures and tolerates your success! ~Doug Larson.

10. Be true to yourself, help others, make each day your masterpiece, make friendship a fine art, drink deeply from good books - especially the Bible, build a shelter against a rainy day, give thanks for your blessings and pray for guidance every day. ~John Wooden.

11. Things are never quite as scary when you've got a best friend. ~Bill Watterson.

12. A single rose can be my garden... a single friend, my world. ~Leo Buscaglia.

13. In the sweetness of friendship let there be laughter, and sharing of pleasures. For in the dew of little things the heart finds its morning and is refreshed. ~Khalil Gibran.

14. My best friend is the man who in wishing me well wishes it for my sake. ~Aristotle.

15. True friendship multiplies the good in life and divides its evils. Strive to have friends, for life without friends is like life on a desert island... to find one real friend in a lifetime is good fortune; to keep him is a blessing. ~Baltasar Gracian.

16. Depth of friendship does not depend on length of acquaintance. ~Rabindranath Tagore.

17. I define friendship as a bond that transcends all barriers. When you are ready to expect anything and everything from friends, good, bad or ugly... that's what I call true friendship. ~Harbhajan Singh.

18. The language of friendship is not words but meanings. ~Henry David Thoreau.

19. I have learned that friendship isn't about who you've known the longest, it's about who came and never left your side. ~Yolanda Hadid.

20. The two most misused words in the entire English vocabulary are love and friendship. A true friend would die for you, so when you start trying to count them on one hand, you don't need any fingers. ~Larry Flynt.

21. True happiness arises, in the first place, from the enjoyment of one's self, and in the next, from the friendship and conversation of a few select companions. ~Joseph Addison.

22. A friend is what the heart needs all the time. ~Henry Van Dyke.

23. There is a magnet in your heart that will attract true friends. That magnet is unselfishness, thinking of others first; when you learn to live for others, they will live for you. ~Paramahansa Yogananda.

24. False friendship, like the ivy, decays and ruins the walls it embraces; but true friendship gives new life and animation to the object it supports. ~Richard Burton.

25. Of all the things which wisdom provides to make us entirely happy, much the greatest is the possession of friendship. ~Epicurus.

WAFUNGAJI BORA NA WALIOCHEZA MECHI NYINGI KATIKA KOMBE LA DUNIA 1930-2014

WAFUNGAJI 5 WA MUDA WOTE

1. Miroslav Klose - Ujerumani

Klose wakati wa droo ya kombe la dunia mwaka jana 2017.
Amezaliwa Juni 9, 1978. Ana jumla ya magoli 16 katika michuano ya kombe la dunia na magoli 23 katika mechi za kufuzu, hii inafanya jumla ya magoli kuwa 29.  Aling'aa katika mechi ya awali kufuzu michuano hii ambapo Ujerumani iliichapa Abania 2-1 mwaka 2002. Amecheza mechi 43; 24 zikiwa za kombe la dunia na 19 zikiwa za kufuzu michuano hiyo. Katika mechi alizocheza na timu yake wameshinda mechi 30 wamesuluhu mechi 8 na kupoteza mechi 5. Ana kadi 1 ya njano katika michuano ya FIFA na kadi 2 za njano katika hatua ya makundi kufuzu kucheza kombe la dunia. Mwaka 2006 alishinda kiatu cha dhahabu cha Adidas na mwaka 2014 alikuwepo katika kikosi cha Ujerumani walipotwaa kombe la dunia katika fainali dhidi ya Ajentina nchina Brazil.
Klose wakati wa mechi ya robo fainali kati ya Ujerumani na Ufaransa katika dimba la Marakana Rio de Jeneiro Julai 4, 2014.


2. Ronaldo de Lima - Brazil

Ronaldo de Lima alipokabidhiwa tuzo ya Hall of Fame nchini Italia mwaka 2016
Amezaliwa Septemba 22, 1976. Amecheza mechi 45; 19 za kombe la dunia, 15 za kufuzu kombe la dunia, 5 za kombe la mabara na 6 za Olimpiki. Katika mechi hizi alifunga jumla ya magoli 34; 15 ya kombe la dunia, 10 ya kufuzu michuano hii, 4 ya kombe la mabara na 5 ya Olimpiki. Akiwa katika timu ya Brazil walishinda mechi 31, suluhu 8 na kufungwa mechi 6. Umaarufu wake ulianza kuonekana katika michuano ya Olympic mwaka 1996 iliyofanyika Atlanta dhidi ya Japan. Brazil iliifunga Japan 1-0. Amewahi kupewa kadi za njano mara 4 tu katika michuano yote. Alipokuwa Brazil walitwaa kombe la dunia mwaka 1994 na 2002. Mwaka 2002 ndiye aliyekua mchezaji bora wa michuano ya kombe la dunia FIFA. Mwaka 1997 akiwa na timu yake walishinda kombe la dunia la mabara. Ronaldo amewahi kushinda tuzo ya mpira wa dhahabu ya Adidas kama mchezaji bora. Mwaka 2002 pia alishinda kiatu cha dhahabu cha Adidas. Amewahi kushinda tuzo ya Balloon d'Or ya Ufransa mwaka 1997 na 2002.
Ronaldo enzi za Brazil.


    3. Gerd Mueller - Ujerumani

    Mueller alipokua kocha wa Bayern Munich  II
    Alizaliwa Novemba 3, 1945. Amecheza mechi 19 na timu yake ya Ujerumani; 13 zikiwa za kombe la dunia na 6 zikiwa za kufuzu michuano hiyo. Katika mechi hizo alizokuwepo walishinda mechi 16, suluhu 1 na kufungwa 2. Ana magoli 23; 14 yakiwa ya kombe la dunia la 9 yakiwa ya kufuzu michuano hiyo. Amewahi kupewa kadi za njano 2 tu katika michuano ya kombe la dunia. Mwaka 1970 alishinda tuzo mbili; kiatu cha dhahabu cha Adidas pamoja tuzo ya Ballon d'Or. Pia ni miongoni mwa waliokuwepo katika kikosi cha Ujerumani kilichotwaa kombe la dunia mwaka 1974.
    Gerd Mueller mwaka 1974 waliposhinda fainali ya kombe la dunia.

    4. Just Fontaine - Ufaransa

    Fountaine mwaka 2017
    Alizaliwa Agosti 18, 1933. Yeye alicheza 8 tu 6 zikiwa zakombe la dunia na 2 zikiwa za kufuzu michuano hiyo, katika mechi hizi alifunga magoli 16; katika hayo 13 yalikua ya kombe la dunia na 3 yalikuwa ya mechi za kufuzu michuano hiyo. Katika mechi alizocheza 6 walishinda na hawakusuluhu ila walipoteza nchi 2 tu. Alionekana katika kombe la dunia kwenye mechi ya kati ya Ufaransa na Luxembourg ambapo waliifunga nchi hiyo 8-0 na hapo nyota yake iling'aa. Hakuwahi kupewa kadi katika mechi zote alizocheza. Mwaka 1958 alishinda kiatu cha dhahabu cha Adidas. Katika kipindi chote alichocheza hawakuwahi kushinda ubingwa. Ufaransa illitwaa ubingwa baadaye mwaka 1998. Fontaine aliwahi kuwa kocha wa timu ya taifa ya Morocco ambapo aliiongoza timu hiyo katika kufuzu kucheza kombe la dunia. Kama kocha timu yake ya Morocco ilicheza mechi 4. Mwaka 1982 Morocco ilicheza na Zambia na waliifunga 2-0.
    Fontaine mwaka 1958

    5. Pele (Edson Arantes do Nascimento) - Brazil

    Pele mwaka 2017
    Alizaliwa Oktoba 23, 1940. Alicheza mechi 20 ambapo 14 zilikuwa za kombe la dunia na 6 zikiwa za kufuzu kucheza kombe la dunia. Alifunga magoli 18 katika michuano hiyo 12 yakiwa ya kombe la dunia na 6 yakiwa katika hatua za kufuzu. Pele anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji pekee duniani aliyeshuhudia timu yake ya Brazil ikishinda kombe la dunia mara 3 (1958, 1962, 1970) akiwepo katika kikosi cha timu hiyo mara 3 zote. Mwaka 1958 alishinda tuzo ya Hyundai ya mchezaji mdogo wakati ule akiwa na miaka 18 tu. Mwaka 2007 Pele alishinda tuzo ya heshima ya Rais wa FIFA. Katika mechi hizo 20 alizocheza, 18 walishinda, 1 walisuluhu na 1 walifungwa.
    Pele katika enzi zake kwenye soka.


    WACHEZAJI 5 WALIOCHEZA MECHI NYINGI

    1. Luthar Matthaus - Ujerumani

    Matthaus kwa sasa yupo Sky Sport.
    Amezaliwa Machi 21, 1961. Amecheza mechi 36; 25 zikiwa za kombe la dunia, 8 zikiwa za kufuzu michuano hiyo na 3 zikiwa za kombe la mabara. Umaarufu wake ulitokana na mechi ya kombe la dunia 1982 na Chile ambapo waliichapa timu hiyo 4-1. Katika mechi zote 36 alishinda 22, alisuluhu 8 na kufungwa 6. Mwaka 1990 alishinda Ballon d'Or pamoja na kuchukua ubingwa wa dunia na timu yake ya Ujerumani. Mwaka 1991 alikuwa mchezaji bora wa mwaka. Alifunga magoli 10; 6 yakiwa ya kombe la dunia, 3 yakufuzu michuano hiyo na 1 ikiwa kombe la mabara. Amewahi kupewa kadi za njano mara 9. Pia amewahi kua kocha wa timu ya Croatia, kama kocha aliifunga Hungaria magoli 3-0.
    Lothar akibusu kombe la dunia waliposhinda mwaka 1990.

    2. Miroslav Klose - Ujerumani

    Klose akiwa na wanaye baada ya Ujerumani kutwaa kombe la dunia mwaka 2014 dhidi ya Ajentina.
    Amezaliwa Juni 9, 1978. Ana jumla ya magoli 16 katika michuano ya kombe la dunia na magoli 23 katika mechi za kufuzu, hii inafanya jumla ya magoli kuwa 29. Aling'aa katika mechi ya awali kufuzu michuano hii ambapo Ujerumani iliichapa Abania 2-1 mwaka 2002. Amecheza mechi 43; 24 zikiwa za kombe la dunia na 19 zikiwa za kufuzu michuano hiyo. Katika mechi alizocheza na timu yake wameshinda mechi 30 wamesuluhu mechi 8 na kupoteza mechi 5. Ana kadi 1 ya njano katika michuano ya FIFA na kadi 2 za njano katika hatua ya makundi kufuzu kucheza kombe la dunia. Mwaka 2006 alishinda kiatu cha dhahabu cha Adidas na mwaka 2014 alikuwepo katika kikosi cha Ujerumani walipotwaa kombe la dunia katika fainali dhidi ya Ajentina nchina Brazil.
    Klose katika kombe la dunia mwaka 2006.

    3. Paulo Maldini - Italia

    Maldin mwaka 2013.
    Alizaliwa Juni 26, 1968. Amecheza mechi 48; 23 zikiwa za kombe la dunia, 23 za kufuzu na 2 zikiwa za kombe la mabara. Alifunga magoli 3 tu katika mechi za kufuzu. Amewahi kupewa kadi za njano mara 3 tu. Katika mechi zote alizocheza 31 walishinda, 13 wakisuluhu na kupoteza 4. Mechi ya kombe la dunia mwaka 1990 wakati Italia ilipoifunga Austria 1-0 ilipelekea nyota yake kung'aa.
    Maldin mwaka 1998 katika robo fainalai ya kombe la dunia.

    4. Uwe Seeler - Ujerumani

    Seeler mwaka 2016
    Alizaliwa Novemba 5, 1936. Amecheza mechi 28; 21 zikiwa za kombe la dunia wakati 7 zikiwa za kufuzu. Amefunga magoli 23; 9 yakiwa ya kombe la dunia na 3 yakiwa ya kufuzu michuano hiyo. Katika mechi alizocheza 19 walishinda, 5 walisuluhu na 4 walifungwa. Nyota ilianza kung'aa katika kombe la dunia 1958 wakati Ujerumani ilipoifunga 3- 1 Ajentina. Hakuwahi kupewa kadi.

    5. Diego Maradona - Ajentina

    Maradona.
    Alizaliwa Oktoba 30, 1960. Alicheza mechi 35; 21 zikiwa za kombe la dunia, 8 zikiwa za kufuzu kombe la dunia na 6 zikiwa za kombe la dunia chini ya miaka 20 (U-20). Maradona alifunga magoli 17; 8 yakiwa ya kombe la dunia, 3 ya kufuzu na 6 kombe la dunia U-20. Katika mechi alizocheza 23 walishinda, 6 walisuluhu na 6 walifungwa. Nyota ya Maradona iling'aa wakati wa michuano ya vijana nchini Japan mwaka 1979 wakati Ajentina ilipoifunga 5-0 Indonesia. Mwaka 1979 alishinda mpira wa dhahabu wa Adidas, FIFA U-20 pamoja na kombe hilo mwaka huo huo. Mwaka 1986 alishinda kiatu cha dhahabu pamoja na kushinda kombe la dunia. Maradona amewahi kuwa kocha wa timu ya taifa lake ambapo mechi 13 zilichelezwa akiwa kocha. Alishinda mechi 8 na kufungwa 5. Umaarufu wake kama kocha ulitokana katika mechi ya kirafiki dhidi ya Venezuela mwaka 2010 ambapo waliichapa timu hiyo 4-0.
    Maradona akinyanyua kombe la dunia mwaka 1986 dhidi ya Ujerumani.


    MAKALA HII IMEANDALIWA KWA HISANI YA MTANDAO WA FIFA.

    UNAYOPASWA KUFAHAMU KUHUSU TEKNOLOJIA YA 5G

    Logo rasmi ya teknolojia ya mtandao wa 5G.
    Katika teknolojia za mitandao ya simu iliyopita kulikua na suluhisho la matumizi ya sauti pekee katika mtandao wa 1G, sauti na jumbe za maneno katika mtandao wa 2G, kuliongezeka kufungua tovuti mbalimbali katika mtandao wa 3G na kuongezeka kwa kasi zaidi ya mtandao na kutazama video za moja kwa moja katika mtandao wa 4G. Mabadiliko kutoka 4G kwenda 5G yatasaidia si watumiaji wa mtandao tu bali pia wamiliki wa viwanda mbalimbali.

    Mabadiliko katika teknolojia ya simu na mtandao.

    Kwa teknolojia ya mtandao huu wa simu za mkononi kasi ya mtandao inatarajiwa kuwa mara 8 ya hii ya sasa mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2023 huku kukiwa na uhitaji wa teknolojia imara, viwango vikubwa vya data na wigo mpana wa matumizi ya mtandao huu tofauti na hii iliyopo sasa (4G). Vitumizi vipya kama vile 4K/8K vya kutazamia video mtandaoni moja kwa moja, uwezo wa mtandao ambao umeongezwa karibia na uhalisia pamoja matumizi ya data ambao kwa sasa yanachipukia kwa kasi, yote haya yatahitaji vipimo vikubwa vya data, uwezo wa hali ya juu, ulinzi pamoja na utulivu wa kusafirisha data katika mtandao. Haya yote ni miongoni mwa yatakayokuwa katika mtandao wa 5G. Mtandao huu utaleta fursa mpya kwa watu, jamii na biashara.

    Ericsson pamoja na washirika wake wamekuwa wakifanya kazi katika teknolojia ya mtandao wa 5G kwa miaka mingi sasa katika maabara za mtandao na katika miaka 2 iliyopita waliamua kuijaribu teknolojia hii kuiweka katika matumizi. Pia, tayari wameshaingia ubia wa kusaini mikataba ya mtandao huu wa 5G kwa awamu ya kwanza ambapo mpaka kufikia sasa kampuni 39 tu duniani zimesaini mkataba wa matumizi ya teknolojia hii.

    Kiwango cha teknolojia hii ya mtandao kimepelekea uwepo wa redio mpya ya mtandao wa 5G "5G New Radio" ambayo tayari imekamilika tangu Desemba mwaka jana 2017 na inatarajiwa kuanza kupatikana katikati mwa mwaka huu 2018. Mitandao ya kwanza ya kibiashara pamoja na vifaa vyenye teknolojia hii (simu, kompyuta, iPad, tablets n.k.) vya teknolojia hii vitakamilika  mwakani 2019 kwa mujibu wa Mpango wa Ushirikiano wa Mtandao wa Kizazi cha tatu "3GPP" lakini yote haya yataanza kutumika kuanzia 2020. Ericsson imekadiria idadi ya watumiaji wa teknolojia hii kwamba watafika bilioni 1 mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2023.

    UFAHAMU NA TAARIFA KUHUSU TEKNOLOJIA HII

    Mtandao huu utafanya mambo mengi sana na ndiyo sababu ukaitwa Mtandao wa Muunganiko wa Vitu (Internet of Things) utakuwa na mengi sana ya kufanya kupitia teknolojia hii. Haya ni baadhi ya mambo ambayo Ericsson inayataja kuwepo katika teknolojia hii:

    ULINZI 

    Vifaa vilivyounganishwa pamoja na vitumizi vitahitaji kuunganishwa katika mtandao ambao ni stahimilivu, wenye ulinzi na wenye uwezo wa kulinda siri na faragha za mtumiaji. Teknolojia hii imetengenezwa kwa kuyafanikisha haya.


    BIASHARA KWA NJIA YA MTANDAO ULIOIMARISHWA

    Modem za mtandao chini ya teknolojia hii zitakuwa na nguvu zaidi ili kuimarisha biashara za wateja. Tafiti zilizofanywa na Ericsson zinaonesha kwamba mabadiliko kuelekea 5G yanaweza kupunguza karibia mara 10 ya gharama ya mtandao kwa kila gigabaiti moja tofauti na ilivyo kwa mtandao wa sasa wa 4G.

    UFIKISHWAJI WA TEKNOLOJIA HII KWA NJIA YA MODEM KWANZA


    Ericsson wanadai kwamba jambo la kwanza litakuwa ni kuboresha modem za sasa ili ziendane na kasi ya 5G.

    MTANDAO HUU UTATEKA SOKO LA BIASHARA

    Ericsson wanadai kwamba mtandao huu utakuwa wa matumizi ya vitu kwa mfano vifaa vya kujiendesha venyewe kama vile magari. Wametaja fursa, changamoto pamoja mifano ya baadhi ya mambo yanayotokea katika usasa wa viwanda.

    VIWANDA VINAISUBIRIA TEKNOLOJIA HII

    Je ni kwa namna gani kampuni kubwa zitaitumia teknolojia hii katika biashara zao? Ericsson imewauliza wafanya maamuzi 900 katika viwanda 10 na ripoti hiyo ipo nitaizungumzia siku nyingine. 

    5G KWA VIWANDA

    Teknolojia hii itawawezesha wamiliki wa kampuni za simu za mikononi fursa ya kuwasaidia wamiliki wa viwanda kuwa viwanda vya kisasa na kuangalia faida za teknolojia hii kama vile utumiaji wa mitambo inayojiendesha (automation), akili bandia (artificial intelligence), ukweli thabiti (augmented reality) pamoja na mtandao wa muunganiko wa vitu (Internet of Things "IoT")

    FURSA KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA

    Teknolojia hii itawasaidia watoa huduma za afya kwa urahisi zaidi kwa wateja wao. Hii itawezesha njia za mtandao kuwa kasi zaidi hivyo itawezesha hata kuwasiliana moja kwa moja kwa njia ya video bila mushkeri ya mtandao. Hii pia itawafanya watoa huduma kupanua huduma zao zaidi kuliko kusubiriana ofsini tu.

    MUHTASARI KUHUSU UTAYARI WA TEKNOLOJIA HII
    Ericsson wanadai kwamba utafiti mfupi uliofanywa mwaka jana 2017 unaonesha kwamba mtandao huu utakuwa na watumiaji bilioni 1 mpaka kufikia mwisho mwa mwaka 2023 kama nilivyosema hapo juu.


    KUONGEZA IDADI YA WATAZAMAJI WA MPIRA

    Watazamaji wa mpira wanaotumia simu hupenda kuangalia mpira bila kuwa na shida ya mtandao. Ericsson wanadai kwamba teknolojia hii ya 5G itamfanya mtazamaji kujihisi yuko uwanjani yani itakua kana kwamba anauzunguka uwanja wa mpira yeye mwenywe. Ongezeko la watu kuangalia mpira kwa njia ya mtandao utatokana na uimara wa mtandao ambao ulifanyiwa tafiti mwaka 2016 huko Rio de Jeneiro.


    MAJARIBIO YA TEKNOLOJIA YA MTANDAO WA 5G


    KOREA KUSINI

    Mwezi Februari mwaka huu 2018, Ericsson, Shirika la mawasiliano la Korea Kusini na Intel walifanya majaribio ya mtandao huu katikati ya jiji la Seoul ambapo kuna idadi ya watu milioni 25. Teknolojia ya 4K video ilijaribiwa ili kutoa picha kwa watumiaji kuona uwezo wake. Matumizi ya data yalifikia 900Mbps kwa upande wa kupakua (downloading) huku yale ya kupakia (uploding) yakifikia 600Mbps. Kwa kutumia bendi 28Ghz uunganishwaji wa mtandao ulikua imara kabisa licha ya kuwepo changamoto ya uenezi wa mtandao.

    ESTONIA

    Telia, Ericsson na Intel walifanya majaribio ya mtandao katika kampuni ya usafirishaji ya Tallink ambayo husafirisha watu na mizigo. Kila meli hubeba hadi kufikia watu 2,000. Mafanikio bado yalionekana kwa mtandao huu. Abiria waliweza kutumia mtandao huu safarini bila kuwepo na mushkeri ya aina yoyote ile.


    KASI MPYA YA 5G

    Ericsson wakishirikiana na SK Telecom na BMW Korea walitumia teknolojia hii ya 5G iliyoboreshwa kuangalia gari iliyounganishwa na mtandao huu kwa kuangalia mwendokasi wa gari iliyosafiri kilomita 170 kwa saa. Matumizi yalifikia uwezo wa kupakua hadi GB 3.6. Jaribio hili lilihusisha radio 4 tofauti za kusambaza mawasiliano. Pia, kulifanyika jaribio la kuhama kutoka radio moja ya mawasiliano kwenda nyingine na bado kasi ya mtandao ilifikia zaidi ya GB 1.5. Majaribio haya yote yalifanyika katika 28Ghz bendi.


    KAMPUNI ZILIZOINGIA UBIA NA ERICSSON

    Mpaka kufikia mwezi April mwaka huu 2018 ni kampuni 39 tu duniani ambazo zimeingia mkataba wa matumizi ya mtandao huu wa 5G kama jinsi inavyoonekana. Kwa bara la Afrika ni kampuni 2 tu za mawasiliano ambazo tayari zimesaini mkataba wa ubia na Ericsson. Kampuni hizo ni MTN ya Afrika Kusini na Etisalat ya nchini Misri. Unaweza kuziangalia nchi hizo kama jinsi kampuni zinavyoonekana kwenye ramani ya dunia akatika picha hii:

    MAKALA HII IMEANDALIWA KWA HISANI YA MTANDAO WA ERICSSON.

    CHANGES QUOTES OF THE DAY MAY 23, 2018


    Hello dear reader, welcome once again. Today I have gathered the quotes concerning changes in life. I should not write more since I am not not the speaker in this category, take your time to dive in and become intellectual with full equipped knowledge from the great men of history Remember, someday it might be you. Do not rely on inspiration from friends while you are needy, VENANCE BLOG is here for you. Welcome all the time by searching Quotes. Now proceed.

    1. Every great dream begins with a dreamer. Always remember, you have within you the strength, the patience, and the passion to reach for the stars to change the world. ~Harriet Tubman.

    2. Change your thoughts and you change your world. ~Norman Vincent Peale.

    3. If you don't like something, change it. If you can't change it, change your attitude. ~Maya Angelou

    4. Change will not come if we wait for some other person or some other time. We are the ones we've been waiting for. We are the change that we seek. ~Barack Obama.

    5. Progress is impossible without change, and those who cannot change their minds cannot change anything. ~George Bernard Shaw.

    6. Art, freedom and creativity will change society faster than politics. ~Victor Pinchuk.

    7. If there is no struggle, there is no progress. ~Frederick Douglass.

    8. You must be the change you wish to see in the world. ~Mahatma Gandhi.

    9. No matter what people tell you, words and ideas can change the world. ~Robin Williams.

    10. When you forgive, you in no way change the past - but you sure do change the future. ~Bernard Meltzer.

    11. Without change there is no innovation, creativity, or incentive for improvement. Those who initiate change will have a better opportunity to manage the change that is inevitable. ~William Pollard.

    12. Every human has four endowments - self awareness, conscience, independent will and creative imagination. These give us the ultimate human freedom... The power to choose, to respond, to change. ~Stephen Covey.

    13. So many people live within unhappy circumstances and yet will not take the initiative to change their situation because they are conditioned to a life of security, conformity, and conservation, all of which may appear to give one peace of mind, but in reality, nothing is more damaging to the adventurous spirit. ~Christopher McCandless.

    14. Growth is painful. Change is painful. But, nothing is as painful as staying stuck where you do not belong. ~N. R. Narayana Murthy.

    15. Gratitude can transform common days into thanksgivings, turn routine jobs into joy, and change ordinary opportunities into blessings. ~William Arthur Ward.

    16. The most difficult thing is the decision to act, the rest is merely tenacity. The fears are paper tigers. You can do anything you decide to do. You can act to change and control your life; and the procedure, the process is its own reward. ~Amelia Earhart.

    17. If you don't like how things are, change it! You're not a tree. ~Jim Rohn.

    18. It's always hard to deal with injuries mentally, but I like to think about it as a new beginning. I can't change what happened, so the focus needs to go toward healing and coming back stronger than before. ~Carli Lloyd.

    18. Only I can change my life. No one can do it for me. ~Carol Burnett

    19. Don't underestimate the power of your vision to change the world. Whether that world is your office, your community, an industry or a global movement, you need to have a core belief that what you contribute can fundamentally change the paradigm or way of thinking about problems. ~Leroy Hood.

    20. My theory on life is that life is beautiful. Life doesn't change. You have a day, and a night, and a month, and a year. We people change - we can be miserable or we can be happy. It's what you make of your life. ~Mohammed bin Rashid Al Maktoum.

    21. Change can be frightening, and the temptation is often to resist it. But change almost always provides opportunities - to learn new things, to rethink tired processes, and to improve the way we work. ~Klaus Schwab.

    22. You are educated. Your certification is in your degree. You may think of it as the ticket to the good life. Let me ask you to think of an alternative. Think of it as your ticket to change the world. ~Tom Brokaw.

    23. We cannot change our past. We can not change the fact that people act in a certain way. We can not change the inevitable. The only thing we can do is play on the one string we have, and that is our attitude. ~Charles R. Swindoll.

    24. A word of encouragement from a teacher to a child can change a life. A word of encouragement from a spouse can save a marriage. A word of encouragement from a leader can inspire a person to reach her potential. ~John C. Maxwell.

    25. Vision without action is merely a dream. Action without vision just passes the time. Vision with action can change the world. ~Joel A. Barker.

    INSPIRATIONAL QUOTES OF THE DAY MAY 22, 2018

    Welcome to VENANCE BLOG once again. Today I have gathered some of the inspirational quotes for you. Enjoy:

    1. We must let go of the life we have planned, so as to accept the one that is waiting for us. ~Joseph Campbell.

    2. The best preparation for tomorrow is doing your best today. ~H Jackson Brown, Jr.

    3. Your work is going to fill a large part of your life, and the only way to be truly satisfied is to do what you believe is great work. And the only way to do great work is to love what you do. If you haven't found it yet, keep looking. Don't settle. As with all matters of the heart, you'll know when you find it. ~Steve Jobs.

    4. No matter what people tell you, words and ideas can change the world. ~Robin Williams.

    5. Let us sacrifice our today so that our children can have a better tomorrow. ~A. P. J. Abdul Kalam.

    6. As we express our gratitude, we must never forget that the highest appreciation is not to utter words, but to live by them. ~John F. Kennedy.

    7. All you need is the plan, the road map, and the courage to press on to your destination. ~Earl Nightingale.

    8. Perfection is not attainable, but if we chase perfection we can catch excellence. ~Vince Lombardi.

    9. Don't judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant. ~Robert Louis Stevenson.

    10. If you believe in yourself and have dedication and pride - and never quit, you'll be a winner. The price of victory is high but so are the rewards. ~Paul Bryant.

    11. A hero is someone who has given his or her life to something bigger than oneself. ~Joseph Campbell. 

    12. What lies behind you and what lies in front of you, pales in comparison to what lies inside of you. ~Ralph Waldo Emerson.

    13. If opportunity doesn't knock, build a door. ~Milton Berle.

    14. Thousands of candles can be lighted from a single candle, and the life of the candle will not be shortened. Happiness never decreases by being shared. ~Buddha.

    15. I hated every minute of training, but I said, 'Don't quit. Suffer now and live the rest of your life as a champion.' ~ Muhammad Ali.

    16. We can't help everyone, but everyone can help someone. ~Ronald Reagan.

    17. There are two ways of spreading light: to be the candle or the mirror that reflects it. ~Edith Wharton.

    18. Let us make our future now, and let us make our dreams tomorrow's reality. ~Malala Yousafzai.

    19. If you always put limit on everything you do, physical or anything else. It will spread into your work and into your life. There are no limits. There are only plateaus, and you must not stay there, you must go beyond them. ~Bruce Lee.

    20. It is never too late to be what you might have been. ~George Eliot.

    21. Shoot for the moon and if you miss you will still be among the stars. ~Les Brown.

    22. Memories of our lives, of our works and our deeds will continue in others. ~Rosa Parks.

    23. How wonderful it is that nobody need wait a single moment before starting to improve the world. ~Anne Frank.

    24. Your personal life, your professional life, and your creative life are all intertwined. I went through a few very difficult years where I felt like a failure. But it was actually really important for me to go through that. Struggle, for me, is the most inspirational thing in the world at the end of the day - as long as you treat it that way. ~Skylar Grey.

    25. When we seek to discover the best in others, we somehow bring out the best in ourselves. ~William Arthur Ward.

    TAKWIMU ZA MUDA WOTE ZA KOMBE LA DUNIA LA FIFA: TIMU, MECHI, KADI NA MAGOLI 1930-2022

    TIMU, MECHI & IDADI YA MAGOLI

    1. Mwaka 1930 jumla ya timu 13 zilicheza jumla ya mechi 18 na yalipatikana jumla ya magoli 70 hii ikiwa ni wastani wa magoli 3.9 katika kila mechi.

    2. Mwaka 1934 jumla ya timu 16 zilicheza jumla ya mechi 17 na yalipatikana jumla ya magoli 70 hii ikiwa ni wastani wa magoli 4.9 katika kila mechi.

    3. Mwaka 1938 jumla ya timu 15 zilicheza jumla ya mechi 18 na yalipatikana jumla ya magoli 84 hii ikiwa ni wastani wa magoli 4.7 katika kila mechi.

    4. Mwaka 1950 jumla ya timu 13 zilicheza jumla ya mechi 22 na yalipatikana jumla ya magoli 88 hii ikiwa ni wastani wa magoli 4.0 katika kila mechi.


    5. Mwaka 1954 jumla ya timu 16 zilicheza jumla ya mechi 26 na yalipatikana jumla ya magoli 140 hii ikiwa ni wastani wa magoli 5.4 katika kila mechi.

    6. Mwaka 1958 jumla ya timu 16 zilicheza jumla ya mechi 35 na yalipatikana jumla ya magoli 126 hii ikiwa ni wastani wa magoli 3.6 katika kila mechi.


    7. Mwaka 1962 jumla ya timu 16 zilicheza jumla ya mechi 32 na yalipatikana jumla ya magoli 89 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.8 katika kila mechi.

    8. Mwaka 1966 jumla ya timu 16 zilicheza jumla ya mechi 32 na yalipatikana jumla ya magoli 89 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.8 katika kila mechi.

    9. Mwaka 1970 jumla ya timu 16 zilicheza jumla ya mechi 32 na yalipatikana jumla ya magoli 95 hii ikiwa ni wastani wa magoli 3.0 katika kila mechi.

    10. Mwaka 1974 jumla ya timu 16 zilicheza jumla ya mechi 38 na yalipatikana jumla ya magoli 97 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.6 katika kila mechi.

    11. Mwaka 1978 jumla ya timu 16 zilicheza jumla ya mechi 38 na yalipatikana jumla ya magoli 102 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.7 katika kila mechi.

    12. Mwaka 1982 jumla ya timu 24 zilicheza jumla ya mechi 52 na yalipatikana jumla ya magoli 146 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.8 katika kila mechi.

    13. Mwaka 1986 jumla ya timu 24 zilicheza jumla ya mechi 52 na yalipatikana jumla ya magoli 132 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.5 katika kila mechi.

    14. Mwaka 1990 jumla ya timu 24 zilicheza jumla ya mechi 52 na yalipatikana jumla ya magoli 115 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.2 katika kila mechi.

    15. Mwaka 1994 jumla ya timu 24 zilicheza jumla ya mechi 52 na yalipatikana jumla ya magoli 141 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.7 katika kila mechi.


    16. Mwaka 1998 jumla ya timu 32 zilicheza jumla ya mechi 64 na yalipatikana jumla ya magoli 171 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.7 katika kila mechi.

    17. Mwaka 2002 jumla ya timu 32 zilicheza jumla ya mechi 64 na yalipatikana jumla ya magoli 161 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.5 katika kila mechi.

    18. Mwaka 2006 jumla ya timu 32 zilicheza jumla ya mechi 64 na yalipatikana jumla ya magoli 147 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.3 katika kila mechi.

    19. Mwaka 2010 jumla ya timu 32 zilicheza jumla ya mechi 64 na yalipatikana jumla ya magoli 145 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.3 katika kila mechi.

    20. Mwaka 2014 jumla ya timu 32 zilicheza jumla ya mechi 64 na yalipatikana jumla ya magoli 171 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.7 katika kila mechi.

    21. Mwaka 2018 jumla ya timu 32 zilicheza jumla ya mechi 64 na yalipatikana jumla ya magoli 169 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.6 katika kila mechi.

    22. Mwaka 2022 jumla ya timu 32 zilicheza jumla ya mechi 64 na yalipatikana jumla ya magoli 172 hii ikiwa ni wastani wa magoli 2.7 katika kila mechi.

    23. Mwaka 2026 jumla ya timu 48 zitashiriki michuano hii na kuweka rekodi ya kuwa michuano ya kwanza ya kuwa na timu 48.


    TIMU ZILIZOSHIRIKI MARA NYINGI (HADI MARA 10)

    1. Brazil inashikilia rekodi ya kucheza michuano yote 22 tangu kuanzishwa kwake (1930, 1934, 1938, 1950, 1954, 1958, 1962, 1966, 1970, 1974, 1978, 1982, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014, 2018, 2022)

    2. Ujerumani imeshiriki mara 20 kati ya michuano yote 20 tangu kuanzishwa kwake (1934, 1938, 1954, 1958, 1962, 1966, 1970, 1974, 1978, 1982, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014, 2018, 2022)

    3. Ajentina imeshiriki mara 18 (1930, 1934, 1958, 1962, 1966, 1974, 1978, 1982, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014, 2018, 2022)

    4. Italia pia inafuatia kwa kucheza michuano 18 kati ya yote 22 (1934, 1938, 1950, 1954, 1962, 1966, 1970, 1974, 1978, 1982, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014)

    5. Mexico imeshiriki mara 17 (1930, 1950, 1954, 1958, 1962, 1966, 1970, 1978, 1986, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014, 2018, 2022)

    6. Uingereza imeshiriki mara 16 (1950, 1954, 1958, 1962, 1966, 1970, 1982, 1986, 1990, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014, 2018, 2022)

    7. Ufaransa imeshiriki mara 16 (1930, 1934, 1938, 1954, 1958, 1966, 1978, 1982, 1986, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014, 2018, 2022)

    8. Hispania imeshiriki mara 16 (1934, 1950, 1962, 1966, 1978, 1982, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014, 2018, 2022)

    9. Ubeligiji imeshiriki mara 14 (1930, 1934, 1938, 1954, 1970, 1982, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2014, 2018, 2022)

    10. Urugwai imeshiriki mara 14 (1930, 1950, 1954, 1962, 1966, 1970, 1974, 1986, 1990, 2002, 2010, 2014, 2018, 2022)

    11. Swideni imeshiriki mara 11 (1934, 1938, 1950, 1958, 1970, 1974, 1978, 1990, 1994, 2002, 2006, 2018)

    12. Serbia imeshiriki mara 13 (1930, 1950, 1954, 1958, 1962, 1974, 1982, 1990, 1998, 2006, 2010, 2018, 2022)

    13. Uholanzi imeshiriki mara 11 (1934, 1938, 1974, 1978, 1990, 1994, 1998, 2006, 2010, 2014, 2022)

    14. Urusi imeshiriki mara 10 (1958, 1962, 1966, 1970, 1982, 1986, 1990, 1994, 2002, 2014)

    15. Uswisi imeshiriki mara 12 (1934, 1938, 1950, 1954, 1962, 1966, 1994, 2006, 2010, 2014, 2018, 2022)

     16. Marekani imeshiriki mara 12 (1930, 1934, 1950, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014, 2018, 2022)

    17. Jamhuri ya Korea ya Kusini imeshiriki mara 11 (1954, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014, 2018, 2022)

    TIMU 10 ZILIZOCHEZA MECHI NYINGI ZAIDI

    Kikosi cha Ujerumani dhidi ya Hungaria mwaka 1954
    1. Brazil inashikilia rekodi ya kucheza mechi nyingi zaidi katika michuano hii. Imecheza mechi 114 ikishinda mechi 79 imesuluhu mechi 19 na kufungwa mechi 19.

    2.Ujerumani inafuatia katika orodha.  Imecheza mechi 112 ambapo imeshinda mechi 60 imesare mechi 21 na kufungwa mechi 23.
    3. Ajentina imecheza mechi 88 ikishinda mechi 47 imesuluhu mechi 17 na kufungwa mechi 24.

    4. Italia imecheza mechi 83 ikishinda mechi 45 imesuluhu mechi 21 na kufungwa mechi 17.

    5. Uingereza imecheza mechi 74 imeshinda mechi 32 imesuluhu mechi 22 na kupoteza mechi 20.
    6. Ufaransa imecheza mechi 73 ikishinda mechi 39 imesuluhu mechi 14 na kufungwa mechi 20.

    7. Hispania imecheza mechi 67 imecheza mechi 31 imesuluhu mechi 17 na kufungwa mechi 19.
    8. Mexico imecheza mechi 60 imecheza mechi 17vimesuluhu mechi 15 na kufungwa mechi 28.

    9. Urugwai imecheza mechi 59 imecheza mechi 25 imesuluhu mechi 13 na kufungwa mechi 21.
    10. Uholanzi imecheza mechi 55 imecheza mechi 30 imesuluhu mechi 14 na kufungwa mechi 11.

    TIMU 5 ZINAZOONGOZA KWA KADI ZA NJANO NA NYEKUNDU

    Nahodha wa Ajentina, Daniel Passarella akionesha kombe la dunia la Jules Rimet baadaya kuichapa Uholanzi 3-1 katika fainali ya mwaka 1978.
    1. Ajentina inashikiria rekodi ya kua timu iliyopewa kadi nyingi zaidi katika michuano hii. Ina jumla ya kadi 120; njano 111 ambazo ni nyingi sana katika michuano yote, njao ya pili 1 na nyekundu 8 katika mechi 77 (1930, 1934, 1958, 1962, 1966, 1974, 1978, 1982, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014)

    2. Ujerumani inafuatia kwa kadi 117; njano 110, njano ya pili 2 na nyekundu 5 katika mechi 106 (1934, 1938, 1954, 1958, 1962, 1966, 1970, 1974, 1978, 1982, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014)

    3. Brazili ina kadi 108; njano 97, njano ya pili 1 na nyekundu 10 ambazo zinaifanya timu hii kuwa idadi nyingi ya kadi nyekundu katika michuano hii kuliko timu nyingine. Kadi hizi zote za aina tatu zimepatikana katika mechi 104 (1930, 1934, 1938, 1950, 1954, 1958, 1962, 1966, 1970, 1974, 1978, 1982, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014)

    4. Italia ina kadi 98; njano 97, njano ya pili 1 ns nyekundu 7 katika mechi 83 (1934, 1938, 1950, 1954, 1962, 1966, 1970, 1974, 1978, 1982, 1986, 1990, 1994, 1998, 2002, 2006, 2010, 2014)

    5. Uholanzi ina kadi 97; njano 90, njano ya pili 4 na nyekundu 3 katika mechi 50 (1934, 1938, 1974, 1978, 1990, 1994, 1998, 2006, 2010, 2014)



    Makala hii imeandaliwa kwa hisani ya mtandao wa FIFA pamoja na takwimu zote.
    Kama una maoni yoyote usisite kuandika chini ya andiko hili ama niandikie kupitia barua pepe yangu; venancegilbert@gmail.com. Simu ni 0753400208.

    KARIBU TENA VENANCE BLOG KWA MENGI ZAIDI.