ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2023

Wizara ya Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetangaza orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na masomo kwa kidato cha tano katika michepuo/tahasusi mbalimbali kwa awamu ya pili. Majina hayo yanapatikana kwa kubofya 👉🏿 HAPA

0 comments:

Post a Comment