Skip to main content

TETESI ZA UHAMISHO ULAYA: NANI WANATARAJIWA KUHAMIA KLABU MPYA JANUARI?

Ni wakati mwengine wa mwaka ambapo uvumi utaanza kusambaa. Uhamisho wa mwaka uliopita haukuwa na changamoto nyingi kutoka kwa timu sita bora katika ligi ya Uingereza huku timu zote za ligi hiyo zikitumia £215m mwezi Januari.
Wakati huu itakuwaje, Je timu kubwa zitagharamika kununua wachezaji?

Barani Ulaya...
Dirisha la uhamisho katika ligi tano kuu litafungwa kwa wakati mmoja. Dirisha la uhamisho la klabu za Uingereza, Ufaransa , Ujerumani , Italia  na Uhispania litafungwa Desemba 31 mwaka huu

DIEGO LOPEZ (klabu: Espanyol; Safu: kipa; Umri: 36)
DIEGO LOPEZ (klabu: Espanyol; Safu: kipa; Umri: 36) 
Anahusishwa na uhamisho wa :Crystal Palace.
Ni kipa anayejulikana kwa kupigania nafasi ya kipa na Iker Casillas katika klabu ya Real Madrid, alikuwa katika benchi wakati Reala Madrid iliposhinda kombe la vilabu bingwa 2014 na amekuwa mchezaji wa Ziada wa Espanyol kwa kipindi kirefu cha msimu. Pia aliichezea Villarreal, Sevilla na AC Milan.

KEVIN TRAPP (Paris St-Germain; kipa; 27)
Kevin Trapp
Anahusishwa na uhamisho wa : Crystal Palace, Borussia Dortmund, Liverpool.
Mkufunzi wa PSG boss Unai Emery ana mpendelea sana kipa Alphonse Areola, na kipa raia wa Ujerumani Trapp ameanza kukerwa kutokana na ukosefu wa fursa ya kuiwakiulisha timu yake hususan wakati huu ambapo wachezaji wanajianda kuziwakilisha timu zao za kimataifa katika kombe la dunia

DANIEL OPARE (Augsburg; Beki; 27)
DANIEL OPARE (Augsburg; Beki; 27)
Anahusishwa na uhamisho wa : West Ham, Stoke City, Everton, Swansea.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ghana ana uwezo wa kucheza kama beki wa kulia ama kushoto na anasakwa na baadhi ya vilabu vya Uingereza.Amekamilisha kandarasi yake na Augsburg na huenda klabu hiyo ya UJerumani inataka kumuuza.

LEON GORETZKA (Schalke; kiungo wa kati ; 22)
LEON GORETZKA (Schalke; kiungo wa kati ; 22)
 Anahusishwa na uhamisho wa: Manchester United, Arsenal, Barcelona.
Alikuwa katika kikosi cha Ujerumani kilichoshinda kombe la shirikisho ,Goretzka anafananishwa na kiungo wa kati wa zamani wa Manchester United Paul Scholes. Anakamilisha kandarasi yake mna yuko tayari kuondoka ili kupata changamoto mpya.

STEVEN NZONZI (Sevilla; kiungo wa kati; 29)
Steven N'Zonzi 
Anahusishwa na uhamisho wa: Everton, Arsenal.
Mchezaji huyo wa zamani wa Stoke na Blackburnalihusishwa na uhamisho wa kurudi katika ligi ya Uingereza baada ya kudaiwa kuzozana na mkufunzi wa zamani wa Sevilla Eduardo Berizzo, ambaye alifutwa kazi mnamo tarehe 22 Disemba. Uzoefu wake wa soka ya Uingereza kunaweza kumfanya kuwa kiungo muhimu.

ARDA TURAN (Barcelona; kiungo wa kati ; 30)
ARDA TURAN (Barcelona; kiungo wa kati ; 30)

Anahusishwa na uhamisho wa : Arsenal, Trabzonspor.
Mchezaji huyo wa Uturuki hajaichezea Barcelona tangu mkufunzi Ernesto Valverde kuchukua usimamizi wa klabu hiyo. Ametngaza wazi kwamba anataka kuondoka Nou Camp mnamo mwezi Januari.

JEAN MICHAEL SERI (Nice; kiungo wa kati ; 26)
JEAN MICHAEL SERI (Nice; kiungo wa kati ; 26)
Anahusishwa na uhamisho wa : Barcelona, Manchester City, Liverpool.
Mchezaji huyo wa Ivory Coast alikuwa akiwindwa na Barcelona katika dirisha la uhamisho lililopita, lakini Nice ilikataa ombi la viongozi hao wa La Liga . Nice imaimarika baada ya kupata matyokeo mabaya , na huku uwezo wa klabu hiyo wa kufuzu kushiriki katika kombe la vilabu bingwa ukiwa mchache , Seri anaweza kutaka kuondoka mwezi Januari.

JAVIER PASTORE (Paris St-Germain; kiungo wa kati mshambuliaji ; 28)
 JAVIER PASTORE (Paris St-Germain; kiungo wa kati mshambuliaji ; 28)
Anahusishwa na uhamisho wa klabu za: Liverpool, Sevilla, Inter Milan.
Mchezaji mwenye kipaji ambaye hajathibitishiwa kuwa ataorodheshwa katika kikosi cha kwanza cha PSG , Pastore alitajwa kuwa mchezaji bora duniani na Eric Cantona, ambaye anasema angependelea iwapo Patore angesajiliwa na man United .Mchezaji huyo wa Argentina anapigiwa upato kuwa mchezaji muhimu katika kombe la dunia.

GELSON MARTINS (Sporting Lisbon; Winga; 22)
GELSON MARTINS (Sporting Lisbon; Winga; 22)
Anahusishwa na uhamisho wa : Liverpool.
Sporting Lisbon inahitaji kitita kikubwa , na Martins anasemekana kuwa dau la kuondoka lakini mchezo wake katika ligi ya Ureno umevutia maoni yasio ya kawaida.

THOMAS LEMAR (Monaco; Winga/kiungo wa kati mshambuliaji; 22)
Thomas Lemar
Anahusishwa na uhamisho wa : Arsenal, Chelsea, Liverpool.
NI miongoni mwa nyota wa klabu ya Monaco ilioshinda ligi msimu uliopita , na sasa ameorodheshwa katika kikosi cha Ufaransa ambapo amefunga mabao mawili dhidi ya Uholansi katika mechi ya kirafiki mnamo mwezi Novemba.
Arsenal na Liverpool zilijaribu kumsajili katika dirisha la uhamisho lililopita.

HATEM BEN ARFA (Paris St-Germain; Winga/mshambuliaji /kiungo wa kati ; 30)
HATEM BEN ARFA (Paris St-Germain; Winga/mshambuliaji /kiungo wa kati ; 30)
 
Anahusishwa na uhamisho wa : Leicester City.
Baada ya msimu mzuri na Nice msimu uliopita 2015-2016, uhamisho wake hadi PSG haikuingiliana. Soka yake imekwama chini ya usimamizi wa Emery, ambaye haonekani kutakab kumpatia fursa ya kucheza katika kikosi cha kwanza. Meneja wa Ben Arfa's katika klabu ya Nice alikuwa Claude Puel, na huenda kuna uvumi kwamba huenda wakakutana tena katika klabu ya Leicester.

MAKALA HII NI KWA HISANI YA BBC.

Comments

Popular posts from this blog

DOWNLOAD AUDIO KUTOKA UPRISE MUSIC: JVP SQUAD-HUSTLE ZA KITAA

Ngoma imefanywa Uprise Music na producer Fragger. Ngoma inaitwa Hustle za Mtaa imefanywa na JVP Squad ndani kasimama Ng'itu the Hustler na Fizzo. Sikiliza na kudownload kisha toa maoni yako hapa.  BOFYA HAPA KUSIKILIZA NA KUDOWNLOAD  

CHEKI PICHA HIZI ALIZOWEKA NICKI MINAJ INSTAGRAM

Nicki Minaja haishiwi vituko vya kupost picha mtandaoni akiwa uchi kabsa ama nusu uchi. Tazama hiyo picha hapo juu inayoonesha matako yake yakiwa wazi. Picha nyingine hii hapa japo amevaa nguo lakini mmmh!! Kwa wanaume so conducive kabisaaa. Cheki jinsi tako lilivyobinuliwa hapa hivi eti njiani anakopita kwa mavazi haya hawapi wanaume shida!!! Haya yote yanakuja wakati Nicki anajiandaa kuachia Album yake mpya ya Pink Friday Print. Album hiyo inapatikana kwenye iTune pia. Picha hizo ziko katika akaunti yake ya Instagram @nickiminaj.  WASILIANA NAMI:  Facebook: VENANCE BLOG  Twitter: @Venancetz  Instagram: venancegilbert  Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014

LIST OF APPLICANTS SELECTED TO JOIN THE NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT (NIT) 2018/2019 ROUNDS 1 & 2

To access the names of selected undergraduates click  HERE

SHAIRI: HEKO LIBERIA

Picha kwa hisani ya Freepik Shairi hili linakuja kufuatia kutangazwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwaka huu nchini Liberia. Katika hali isiyo ya kawaida George Weah aliyekuwa akitetea nafasi yake ali kubali kusindwa na mpinzani wake Joseph Boakai katika Uchaguzi huo pasipo mvutano na migogoro kama ilivyozoeleka katika mataifa mengi ya bara hili . Kama mshairi niliwiwa kuandika ili kupongeza kitendo hiki cha uungwana kukubali kukabidhi madaraka pasipo mvutano ambao mara nyingi hupelekea umwagaji damu. Karibu katika shairi letu kwa lugha adhimu ya Kiswahili. Shairi: Heko Liberia Mtunzi: Venance Gilbert Mpate Mwaka: 19 Novemba 2023 HEKO LIBERIA Heko Liberia naisifu yenu demokrasia, Wenu ukomavu yote Afrika imeshuhudia, Tupeni maarifa darasani tupate kujifunzia, Afrika matokeo mshindani hawezi kuridhia, Uchaguzi mtawala hakubali kupoteza felia, Ninyi metuonesha mtawala aweza kuwa felia, Mpinzani akashika dola imani ikaendelea, Heko Liberia naisifu yenu demokrasia. Mtawala aku...

DEADMEN SPEAKS: A POEM

Image generated with OpenArt AI tool It has been longtime since I published my poems on this platform, today I'm humbly inviting you to our section of poems. As you enjoy reciting this creativity, please don't forget to leave your comment after this post or writing via my contacts after this poem. Poem: Deadmen Speaks Poet: Venance Gilbert Composition: July 30, 2023 DEADMEN SPEAKS: A POEM BY VENANCE GILBERT I heard deadmen tells no tale but these ones do They are burdened with a lots Weak folks who talks nothing just talking in mind in the streets I say so because one of them is me I speak for deadmen. Six years with no stable duties to perform while responsibilities have taken-off This week this job next week none and I have to survive regardless But how without money How can I count money without job? I speak for deadmen. While I'm enjoying my jobless survival Executive wants to collect from my pocket I have to pay tariff to buy light tariff to withdraw my hard-earned sav...

BAADHI MAMBO AMBAYO HUKUYAFAHAMU KUHUSU BARA LA AFRIKA

Ramani ya Afrika. Karibu tena mpenzi msomaji na mfuatiliaji wa VENANCE BLOG. Leo katika safu yetu ya Fahamu napenda kukufahamisha mambo kadhaa ambayo huenda hukuyafahamu yote kuhusu bara la Afrika. Na tuanze sasa kuyahesabu mambo hayo: 1. Karibu nchi zote za Afrika zilitaliwa na wakoloni isipokuwa nchi mbili tu: Ethiopia na Liberia. 2. Kabla ya Ukoloni, Afrika ilikuwa na tawala zilizokaribia 10,000 (Kingdoms/Empire/State) na tawala hizi zilijiongoza kila moja kivyake zikiwa na lugha tofauti na mila na desturi tofauti tofauti. 3. Lugha ya kiarabu inazungumzwa na watu takribani milioni 170 ikifuatiwa na lugha ya kiingereza inayozungumzwa na watu zaidi ya milioni 130, Kiswahili kikiwa na wazungumzaji zaidi ya milioni 100, Kifaransa takribani wazungumzaji milioni milioni 115. Pia, kuna wazungumzaji wa lugha ya Xhosa wakiwa milioni 50. Kireno kinakadiriwa kuwa na wazungumzaji milioni 20 huku Kispanyola kikiwa na wazungumzaji wanaokadiriwa kuwa milioni 10. Vilevile takriba...

NExT-GPT: MFUMO WA LUGHA WA AKILI BANDIA UNAOKUPA MAJIBU KWA MAANDISHI, PICHA, SAUTI NA PICHA MJONGEO

Picha hii imetengenezwa kwa Akili Bandia na Decrypt. Katika uwanda mpana wa teknolojia unaotawaliwa na makampuni makubwa kama OpenAI na Google, NExT-GPT ambao ni mfumo huria wa lugha pana ya Akili Bandia (AI) [Large Language M odel (LLM)] unaweza kuwa na kile kinachohitajika ili kushindana na miamba hii miwili katika teknolojia. ChatGPT imeusisimua ulimwengu kwa uwezo wake wa kuelewa maswali katika lugha asilia na kutoa majibu kama ya binadamu. Lakini wakati Akili Bandia inaendelea kusonga mbele kwa kasi ya umeme, watu wametaka kuwepo na maendeleo zaidi. Zama za maandishi pekee zimekwisha sasa mifumo ya lugha ya Akili Bandia imeanza kuwa mingi kuleta ushindani. NExT-GPT imetengenezwa kwa ushirikiano kati ya Chuo Kikuu cha taifa cha Singapore (NUS) na Chuo Kikuu cha Tsinghua. Inaweza kuchakata na kutoa majibu kwa kuchanganya maandishi, picha, sauti na picha mjongeo (video). Hii inaruhusu majibizano ya asili zaidi kuliko miundo ya maandishi pekee kama ilivyo kwenye ChatGPT. T...

HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI

KUANZISHWA KWA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA Mafanikio ya michuano ya mpira wa miguu ya Olimpiki ndiyo yalikua mwanzo wa  FIFA kutamani kuwa na michuano yake ya Kombe la Dunia kwa mchezo wa mpira wa miguu. Ikumbukwe kwamba kipindi hicho mpira wa miguu wa wanaume pekee ndiyo ulikuwepo. Maswali yalitumwa kwa wahisani wa FIFA ili kuona kama wanakubaliana na uanzishwaji wa michuano hiyo na kwa masharti yapi? Kamati maalumu ilichunguza maswali hayo chini ya uongozi wa  Rais wa FIFA wa kipindi hicho Jules Rimet akishirikiana na Katibu wa Shirikisho la Soka nchini Ufaransa kwa wakati ule Henri Delaunay. Rais wa FIFA Jules Rimet aliyeanzisha na kusimamia Kombe la Dunia la kwanza . Kufuatia uwepo wa muswada wa Kamati Tendaji ya FIFA, lilifanyika kongamano la FIFA Mei 28, 1928 jijini Amsterdam nchini Uholanzi likiazimia kuwepo kwa michuano ya mabingwa wa soka duniani ambayo ilipangwa na shirikisho hilo la mpira duniani na sasa nchi waandaji wa michuano hiyo zilitakiwa ...

WALIOCHAGULIWA CHUO CHA MIPANGO MAJINA HAYA HAPA

Chuo cha Mipango ama Institute of Rural Development Planning kimetangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kozi mbalimbali za shahada (Bachelor Degree) chuoni hapo mwa mwaka wa masomo 2016/207. BOFYA HAPA KUANGALIA MAJINA HAYO IMPORTANT NOTICES TO SELECTED STUDENTS The selected candidates must report at the Institute’s main campus Miyuji area on Monday 17 th October, 2016 ready for orientation program. Joining instructions can be downloaded from the website www.irdp.ac.tz and can also be collected from the main campus admission office. Tuition fees for Bachelor Degree courses 850,000/= Registration fee is 50,000/=, Students organization fee 20,000/= sports and games is 10,000/= and NACTE Quality Assurance Fee 20,000/=. Students are required to pay atleast half of the tuition fee and 100,000/= for registration, students organization, sports and games and NACTE Quality Assurance Fee. The payment should be made through CRDB Bank account no. 01J1082678600 before 1...

ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA

Lugha ya Kiswahili inazungumzwa katika nchi za Afrika Mashariki. Kiswahili hutumika nchini Tanzania, Kenya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Msumbiji na Rwanda. Zaidi ya watu milioni 1 5 katika bara hili huitumia lugha hi i kama lugha ya kwanza na wazungumzaji wengine wakiitumia kama lugha ya pili au ya tatu. Ni lugha rasmi ya M uungano wa Afrika. Hii inafanya bara hili kuwa na idadi inayozidi milioni 100 ya wazungumzaji wa lugha hii. Kiswahili ni miongoni mwa lugha kumi zinazoongoza kwa kua na idadi kubwa ya wazungumzaji barani Afrika. TANZANIA Kiswahili nchini Tanzania ni lugha rasmi na lugha ya Taifa. Ni lugha ya utambulisho kwa Mtanzanianainatumika kama lugha ya kuimarisha uelewano, ushirikiano na umoja wa kitaifa. Katika kuiendeleza, juhudi za usanifishaji zimefanyika kwa kuwatumia wataalamu wa fasihi na isimu, wadau wengine na wachapishaji vitabu. Taasisi mbalimbali zimebuniwa kuhusu lugha hii kama vile BAKITA, BAKIZA, Taasisi ya Elimu, UWAVI...