RAIS OBAMA AWASIRI TANZANIA

Rais wa Marekani Mh. Barack Obama amewasili leo hii nchini katika uwanja wa kimataifa Mwalimu Nyerere majira ya saa 8 akitokea katika nchi ya Afrika Kusini. Rais Obama amewasiri yeye pamoja na familia yake huku akiambatana na msafara wa watu 700 kutoka Marekani wakiwemo Wafanyabiashara na Waandishi wa habari. MUNGU IBARIKI TANZANIA!!

Comments

Popular Posts

ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA

WALIOCHAGULIWA CHUO CHA MIPANGO MAJINA HAYA HAPA

HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI

CHEKI PICHA HIZI ALIZOWEKA NICKI MINAJ INSTAGRAM

WAFAHAMU WAIGIZAJI 10 WA KIKE WA KOREA AMBAO NI WAREMBO KWA MWAKA 2017

MKUTAO WA G7 KUANGAZIA USALAMA NA MAZINGIRA

VALENTINE DAY'S QUOTES

DIAMOND AISIFIA NGOZI YA WEMA ASEMA INA MVUTO NA INANG'ARA KULIKO KITU CHOCHOTE

WAFAHAMU WAIGIZAJI 10 WA KIUME WENYE MVUTO KOREA 2017