RAIS OBAMA KUTEMBELEA TANZANIA JULAI 1 MWAKA HUU

Kwa mujibu wa kurugenzi ya habari ikulu imethibitisha kuwa Rais wa Marekani Barack Obama atafanya ziara ya siku moja nchini mnamo tarehe mosi
 Julai ikiwa ni moja ya mipango yake ya kulitembelea bara la Afrika. Nchi nyingine ambazo Rais Obama atazulu ni Senegal na Afrika Kusini. Akiwa nchini Rais Obama atapokelewa na mwenyeji wake Rais Kikwete ambapo ataondoka nchini tarehe 2 Juni baada ya ziara yake nchini. KARIBU TANZANIA RAIS OBAMA. WELCOME TANZANIA PRESIDENT OBAMA.

Comments

Popular Posts

ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA

HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI

WALIOCHAGULIWA CHUO CHA MIPANGO MAJINA HAYA HAPA

CELEBRITY: SHANIA TWAIN ANATIMIZA MIAKA 53 LEO AGOSTI 28, 2018

MKUTAO WA G7 KUANGAZIA USALAMA NA MAZINGIRA

WAFAHAMU MATAJIRI 10 WA TANZANIA MWAKA 2018

FAHAMU MAMBO HAYA 20 KUHUSU TANZANIA

KANSELA ANGELA MERKEL ASEMA UJERUMANI YA SASA NI BORA ZAIDI