Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dr. Shukuru Kawambwa jana ametangaza tena kwa mara ya pili matokeo ya kidato cha nne ambapo amesema ufaulu umeongezeka kwa 9% kutoka 34% mpaka kufikia 43% .
Matokeo haya yalifutwa na kupangwa upya baada ya kuwa ule utaratibu uliotumika mwaka jana katika usahihishaji haukutoa taarifa kwa Wanafunzi na Waalimu pamoja na wadau wote wa Elimu, hivyo kufutwa na kupangwa kwa viwango vya mwaka juzi 2011.
Matokeo ya shule niliosoma mimi yanapatika kupitia kiungo cha http://196.44.162.33/csee2012/CSEE%202012/s3370.htm
NAKOZA SECONDARY SCHOOL iliyopo NANSIO wilayani UKEREWE mkoani MWANZA.
Nicki Minaja haishiwi vituko vya kupost picha mtandaoni akiwa uchi kabsa ama nusu uchi. Tazama hiyo picha hapo juu inayoonesha matako yake yakiwa wazi. Picha nyingine hii hapa japo amevaa nguo lakini mmmh!! Kwa wanaume so conducive kabisaaa. Cheki jinsi tako lilivyobinuliwa hapa hivi eti njiani anakopita kwa mavazi haya hawapi wanaume shida!!! Haya yote yanakuja wakati Nicki anajiandaa kuachia Album yake mpya ya Pink Friday Print. Album hiyo inapatikana kwenye iTune pia. Picha hizo ziko katika akaunti yake ya Instagram @nickiminaj. WASILIANA NAMI: Facebook: VENANCE BLOG Twitter: @Venancetz Instagram: venancegilbert Asante kwa kutembelea VENANCE BLOG © 2014

Comments
Post a Comment