Posts

TANGAZO LA AJIRA 289 ZA WATUMISHI KADA ZA AFYA KUTOKA WIZARA YA AFYA

Image
Wizara ya Afya kupitia Kibali cha Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/128/01/” B”/75 cha tarehe 04 Mei, 2023 na Kumb. Na FA.97/128/01”B”/78 cha tarehe 09 Agosti, 2023; Inatangaza nafasi za kazi 289 za Kada za Afya. Muda wa kutuma maombi haya ni ndani ya wiki mbili tangu tarehe ya kutoka kwa Tangazo hili. Maombi yote yawasilishwe kupitia mfumo wa ajira wa Wizara unaopatika kupitia tovuti ajira.moh.go.tz . Waombaji wote mnakumbushwa kuwa makini mnapowasilisha maombi kuhakikisha umejaza vizuri vipengele vyote vinavyotakiwa kwenye mfumo ikiwa ni pamoja na kuambatisha nyaraka zote zinazohitajika. Unaweza kutazama tangazo hilo kwa kubofya  HAPA  ama kwa kulidownload moja kwa moja kwa kubofya  HAPA  ama kwa kusoma hapa chini nafasi zilizotangazwa: 1. Daktari wa Meno Daraja la II – TGHS E (NAFASI 3) SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa waliohitimu na kufaulu Kidato cha Nne/Sita/Stashahada, wenye Shahada ya Udaktari/Udaktari wa Meno kutoka Vyuo Vikuu/Vyu

TEKNOLOJIA ZA KALE ZINAZOTUMIKA HADI SASA

Image
U hali gani? Nakukaribisha tena kwa mara nyingine katika blog hii. Leo nakukaribisha hapa tuangalie kuhusu mfululizo wa teknolojia tukijikita zaidi katika teknolojia za kale. Kwa kusema hivi nataka nikukutanishe na vumbuzi 10 za kale ambazo zilibadilisha maisha ya binadamu kwa kiasi kikubwa na bado vumbuzi hizo ni za manufaa hata kwa maisha ya leo. Nakukumbusha tena kwamba huu ni mfululizo wa teknolojia na vumbuzi mbalimbali. Tuanze sasa kuhesabu vumbuzi hizo: 1. Gurudumu Mabadiliko katika maendeleo ya magurudumu katika vyombo mbalimbali. Ugunduzi wa gurudumu ni moja ya maendeleo muhimu zaidi ya kiteknolojia katika historia ya mwanadamu. Magurudumu ya awali zaidi hayakutumika kwa usafiri badala yake kama magurudumu ya mfinyanzi yanayoaminika kutumika mara ya kwanza huko Mesopotamia (kwa sasa Iraq) karibu mwaka 3500 KK (Kabla ya Kristo). Kufikia mwaka 3200 KK, watu wa Mesopotamia walianza kutumia magurudumu kwa magari ya vita na mikokoteni. Magurudumu haya ya kwanza yalikuwa

DEADMEN SPEAKS: A POEM

Image
Image generated with OpenArt AI tool It has been longtime since I published my poems on this platform, today I'm humbly inviting you to our section of poems. As you enjoy reciting this creativity, please don't forget to leave your comment after this post or writing via my contacts after this poem. Poem: Deadmen Speaks Poet: Venance Gilbert Composition: July 30, 2013 DEADMEN SPEAKS: A POEM BY VENANCE GILBERT I heard deadmen tells no tale but these ones do They are burdened with a lots Weak folks who talks nothing just talking in mind in the streets I say so because one of them is me I speak for deadmen. Six years with no stable duties to perform while responsibilities have taken-off This week this job next week none and I have to survive regardless But how without money How can I count money without job? I speak for deadmen. While I'm enjoying my jobless survival Executive wants to collect from my pocket I have to pay tariff to buy light tariff to withdraw my hard-earned sav