Skip to main content

Posts

(NEW VIDEO) JOSE CHAMELEONE ~ TUBONGE

(NEW VIDEO) SNURA - NIMEVURUGWA

  August 2013 ndio Snura aliishusha single yake ya ‘nimevurugwa’ kwenye radio za bongo ikiwa ni miongoni mwa single zinazopata airtime bila kuwa na video lakini leo November 22 2013 kaishusha video on AyoTV… itazame hapa chini na uache maoni yako mtu wangu, atapita hapa baada ya saa 6. Snura alisema kwenye video ya ‘majanga’ hakuweza kucheza kama inavyotakiwa lakini huku kwenye ‘nimevurugwa’ ndio kajiachia

BONY M-MARYS BORN CHILD SONG LYRICS

Mary's boy child, Jesus Christ, was born on Christmas Day And man will live forevermore because of Christmas Day Long time ago in Bethlehem, so the Holy Bible said Mary's boy child, Jesus Christ, was born on Christmas Day Hark, now hear the angels sing, a king was born today And man will live forevermore because of Christmas Day Mary's boy child, Jesus Christ, was born on Christmas Day While shepherds watch their flocks by night They see a bright new shining star They hear a choir sing a song, the music seemed to come from afar Hark, now hear the angels sing, a king was born today And man will live forevermore because of Christmas Day Mmh-mmh Mmh-hmm Mmh-mmh Mmh-mmh-hmm Mmh-mmh-mmh-hmm Mmh-hmm-mmh-mmh For a moment the world was aglow, all the bells rang out There were tears of joy and laughter, people shouted "Let everyone know, there is hope for all to find peace" Oh my Lord You sent Your son to save us Oh my Lord Your very self You gave us Oh my Lord That sin m...

KNOW ABOUT BIG RESULTS NOW ON EDUCATION IN TANZANIA

Improving education is of high importance to Tanzania – it is a strategic agent for development for the country. With this perspective, significant efforts have been made to increase access for all, resulting in a huge enrollment expansion over the last ~10 years. Over the same period of time quality of education dropped significantly. To address this challenge and reverse the trend, the education lab has focused on finding ways to raise the quality of basic education, and has set a very ambitious target to improve pass rates1 in primary and secondary schools to 60% in 2013, 70% in 2014 and 80% in 2015 Among several drivers of quality, the lab team has analyzed the most important challenges, and gone through an extensive prioritization effort to determine the focus areas that will give Big Results Now. Among the top issues we have addressed are lack of accountability, availability of teaching and learning materials, low support for struggling students and poor school ...

QUOTES BY BRUCE LEE

1. Love is like a friendship caught on fire. In the beginning a flame, very pretty, often hot and fierce, but still only light and flickering. As love grows older, our hearts mature and our love becomes as coals, deep-burning and unquenchable. 2. Always be yourself, express yourself, have faith in yourself, do not go out and look for a successful personality and duplicate it. 3. Mistakes are always forgivable, if one has the courage to admit them. 4. I fear not the man who has practiced 10,000 kicks once, but I fear the man who has practiced one kick 10,000 times. 5. If you love life, don't waste time, for time is what life is made up of. 6. A wise man can learn more from a foolish question than a fool can learn from a wise answer. 7. If you always put limit on everything you do, physical or anything else. It will spread into your work and into your life. There are no limits. There are only plateaus, and you must not stay there, you must go beyond them. ...

QUOTES BY BOB MARLEY

1. My music fights against the system that teaches to live and die. 2. Get up, stand up, Stand up for your rights. Get up, stand up, Don't give up the fight. 3. Me only have one ambition, you know. I only have one thing I really like to see happen. I like to see mankind live together - black, white, Chinese, everyone - that's all. 4. The good times of today, are the sad thoughts of tomorrow. 5. I don't stand for the black man's side, I don' t stand for the white man's side. I stand for God's side. 6. If you're white and you're wrong, then you're wrong; if you're black and you're wrong, you're wrong. People are people. Black, blue, pink, green - God make no rules about color; only society make rules where my people suffer, and that why we must have redemption and redemption now. 7. The greatness of a man is not in how much wealth he acquires, but in his integrity and his ability to affect those around him pos...

MWILI WA NELSON MANDELA KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAKE QUNU

NDEGE ya kijeshi aina ya C-130 Hercules iliyobeba mwili wa Rais wa Kwanza Mzalendo wa Afrika Kusini, ilitua Uwanja wa Ndege wa Mthatha jana majira ya saa 6.37.Ikisindikizwa na ndege nyingine mbili za kijeshi, iliruka kutoka Uwanja wa Ndege wa Kijeshi wa Waterkloof, Pretoria saa 4:58, tayari kwa safari ya mwisho ya kuuhifadhi mwili wa Mandela kwa maziko kijijini kwake Qunu katika Jimbo la Eastern Cape.Mwili wa mwanamapinduzi huyo kipenzi cha dunia, unatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya familia ya Mandela, shughuli inayotarajiwa kuanza saa 3 asubuhi.Shujaa huyo wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi, alifariki dunia Alhamisi ya Desemba 5, 2013 saa 2:50 usiku nyumbani kwake, Mtaa wa Laa Namba 12, Houghton jijini Johannesburg akiwa amezungukwa na wanafamilia wote, wakiwemo mkewe Graca Machel na mtalaka wake, Winnie Medikizela –Mandela na mtoto wake mkubwa, Makaziwe Mandela.Tayari Serikali imetangaza leo kuwa siku ya mapumziko, ili kuwawezesha wananchi kufuatilia maziko ya kiongozi h...

BBC YALAUMIWA KUVUNJA VIPINDI KWA AJILI YA MSIBA WA MANDELA

Wakati Dunia ikifuatilia kwa karibu safari ya mwisho ya Mandela hapa duniani, Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) limeripotiwa kuingia lawamani kutokana na uamuzi wake wa kupangua vipindi vingi na kuweka matangazo ya moja kwa moja ya mazishi ya kiongozi huyo wa zamani wa Afrika Kusini ambaye kabla ya kuingia Ikulu, alisota gerezani kwa miaka 27 kutokana na harakati zake zilizowakera makaburu. Gazeti la Daily Mail la Uingereza limeripoti kuwa, watazamaji na wasikilizaji 1,834 wa redio na televisheni za BBC, wamelalamikia matangazo mfululizo ya mazishi ya Mandela. Mmoja wa wabunge wa chama cha Conservative, Conor Burns amekaririwa akisema hakukuwa na ulazima wa BBC kutumia muda mwingi na pia kupoteza fedha za walipa kodi kutuma wanahabari wanane kwenda Johannesburg, Afrika Kusini kwa ajili ya vipindi vya mahojiano katika shughuli ya kumuaga Mzee Mandela.“Tunafahamu heshima ya Mzee Mandela, alikuwa mmoja wa viongozi wa kipekee katika karne ya 20 na 21. Ametufundisha mengine ju...

ZITTO AKERWA KUITWA MUONGO BUNGENI

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, amesema anatarajia kuwasilisha maelezo binafsi kuhusu, kauli ya Mwanasheria Mkuu aliyoitoa juzi bungeni dhidi yake na kumuita muongo kuhusu suala la kuwa na orodha ya watu wanaodaiwa kuficha fedha nje ya nchi.Zitto, aliyasema hayo bungeni juzi, ikiwa ni siku moja tu baada ya Mwanasheria Mkuu (AG), Jaji Frederick Werema, kudai mbele ya Bunge kuwa Serikali inashughulikia kisheria suala la Zitto kudanganya Bunge na Kamati kuhusu majina ya watu walioficha mabilioni ya fedha Uswisi.Akizungumza na HabariLeo Jumapili, Zitto alisema kwa sasa hataki kuzungumzia suala hilo, ila ukweli wote ataubainisha kwenye maelezo yake binafsi ambayo atayawasilisha wiki ijayo kwenye mkutano wa 14 wa Bunge unaoendelea.“Nimeamua hili suala nilizungumzie ndani ya Bunge, kwa hiyo tayari nimewasilisha maelezo yangu kwenye Ofisi ya Bunge, na wameniambia kuwa nitapangiwa kuwasilisha maelezo hayo wiki ijayo, kila kitu nitakibainisha siku hiyo, sina zaidi,” alisisitiza Zitto....

POLISI WAKAMATA BASTOLA NYUMBA YA KULALA WAGENI

JESHI la Polisi wilayani Igunga mkoani Tabora limefanikiwa kukamata bastola katika nyumba ya kulala wageni ambayo inadhaniwa imesahaulika na majambazi.Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kamanda wa polisi mkoani Tabora, Peter Ouma alisema silaha hiyo imekamatwa juzi katika nyumba ya kulala wageni ijulikanayo kwa jina la Sophia Lodge iliyopo mtaa wa Bank, Igunga mjini.Alisema kuwa bastola hiyo yenye namba za usajili 224335 aina ya Browing Court ilidakwa na risasi 38 pamoja na magazini 4.