Skip to main content

Posts

WAKOREA KASKAZINI WAAGIZWA KUNYOA KIDUKU

Wanaume Korea Kaskazini wanakabiliwa na mtihani mpya katika taifa lao; wa kunyoa nywele kwa mtindo ulioamuliwa na rais wao. Watake, wasitake kuanzia sasa kila mwanamume atalazimika kunyoa nywele zake kwa mtindo anaoupenda Rais Kim Jong- un. Kiongozi huyo kijana, aliyerithi wadhifa huo baada ya kifo cha baba yake, hana mzaha hasa kutokana na nia yake ya kujenga mfumo mpya wa utawala ambao matakwa yake tu ndiyo ya kufuatwa. Ni wiki mbili sasa tangu serikali ya nchi hiyo kutoa agizo linalowataka wanaume kunyoa kama rais wao, huku wanawake nao wakielekezwa kutengeneza nywele zao kwa aina 18 tofauti na si zaidi ya hapo. Hilo ni moja ya maagizo yenye utata kuwahi kutolewa chini ya utawala wake, ambapo amekuwa akifanya jitihada za kujijengea mizizi, ikiwamo kuwaondoa na kuwaadhibu wale waliokuwa katika utawala wa baba yake wanaoonekana kutokubaliana na aina yake ya uongozi.

KIGOGO WA WEMA AMHONGA GARI KAJALA

NI madai mazito! Kwamba, nyota wa muvi za Kibongo, Kajala Masanja amehongwa gari na mtu anayedaiwa kuwa ni kigogo wa Ikulu. Hii ndiyo habari ya mjini kwa sasa na Risasi Jumamosi limeifukunyua. Kwa mujibu wa habari hizo ambazo zipo hadi kwenye mitandao ya kijamii, hasa Instagram, Kajala alinunuliwa gari hilo aina ya Toyota Brevis lenye rangi ya bluu iliyoiva wiki mbili zilizopita mara baada ya kutua Bongo akitokea nchini China ambako alikwenda kwa mambo yake binafsi. TAARIFA ZINAVYODAI Wasambaza taarifa hao walidai kuwa, kigogo huyo wa Ikulu ni yule Clement ambaye amewahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. “Mmeisikia hii? Kajala amenunuliwa gari na Kile (Clement), lina thamani ya shilingi milioni kumi na moja, Wema alie tu nakwambia. We ukisema cha nini wenzako wanajiuliza watakipata lini? “Kwanza mnajua kama bifu la Wema na Kajala lilitokana na Clement? Alipoachana na Wema akatua kwa msichana anaitwa Naima, lakini akaona bado akaenda hadi kwa Kajala. We...

UGANDA YATOA TAHADHARI KUHUSU AL SHABAAB

Uganda imetoa tahadhari kwamba kundi la wanamgambo la Al Shabaab linapanga kutumia malori ya mafuta kama mabomu katika mahambulizi yao. Taarifa hii inakuja siku moja baada ya polisi kuwakamata washukiwa wawili wa ugaidi waliokuwa na mabomu wakinuia kutekeleza mashambulizi mjini Mombasa. Mkuu wa polisi wa Uganda,Kale Kayihura, amesema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kwamba idara ya polisi na ujasusi zina taarifa za kuthibitishwa kuwa kundi la Al-Shabaab linapanga kulipua malori ya mafuta nchini Uganda na kusababisha uharibifu mkubwa. Ameshauri wananchi kuwa waangalifu na waweze kutoa taarifa zozote kwa polisi. Uganda na Kenya ziko na wanajeshi wake nchini Somalia kusaidia wanajeshi wa Somalia na wale wa Muungano wa Afrika kupambana na kundi la Al Shabaab. Wapiganaji hao wamekiri kufanya mashambulizi katika nchi hizo mbili na kutishia mashambulizi zaidi ikiwa Kenya haitaondoa wanajeshi wake kutoka Somalia. Kundi la Al Shabaab liliwaua watu 76 katika mji mkuu wa Uganda Kampala m...

UGANDA YATOA TAHADHARI KUHUSU AL SHABAAB

Uganda imetoa tahadhari kwamba kundi la wanamgambo la Al Shabaab linapanga kutumia malori ya mafuta kama mabomu katika mahambulizi yao. Taarifa hii inakuja siku moja baada ya polisi kuwakamata washukiwa wawili wa ugaidi waliokuwa na mabomu wakinuia kutekeleza mashambulizi mjini Mombasa. Mkuu wa polisi wa Uganda,Kale Kayihura, amesema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kwamba idara ya polisi na ujasusi zina taarifa za kuthibitishwa kuwa kundi la Al-Shabaab linapanga kulipua malori ya mafuta nchini Uganda na kusababisha uharibifu mkubwa. Ameshauri wananchi kuwa waangalifu na waweze kutoa taarifa zozote kwa polisi. Uganda na Kenya ziko na wanajeshi wake nchini Somalia kusaidia wanajeshi wa Somalia na wale wa Muungano wa Afrika kupambana na kundi la Al Shabaab. Wapiganaji hao wamekiri kufanya mashambulizi katika nchi hizo mbili na kutishia mashambulizi zaidi ikiwa Kenya haitaondoa wanajeshi wake kutoka Somalia. Kundi la Al Shabaab liliwaua watu 76 katika mji mkuu wa Uganda Kampala m...

P SQUARE-TASTE THE MONEY (TESTIMONY) SONG LYRICS

Heh heh heh Now I'm giving my testimony Yo oh oh oh I'm killing the beat And I'm giving them hits oh eh eh eh Now I'm giving them everything oh oh oh oh I'm living my life I don chop e money heh heh heh I don taste money eh eh My guy I'm allergic to poverty (you say wetin) So I'm using my sense to dey gather the property Say (ok now) no time oh Like the statue of Liberty Nobody knows tomorrow So I be holding my destiny eh As e be say na jungle oh Some people they bubble oh eh eh I continue the struggle oh The struggle dey double my hustle eh As e be say na jungle oh Some people they bubble oh eh I continue the struggle oh Dey double my hustle yeah Now I'm giving my testimony Yo oh oh oh I'm killing the beat And I'm giving them hits oh eh eh eh Now I'm giving them everything oh oh oh oh I'm living my life I don chop e money hehehe I don taste money eh I'm a testimony testimony my testimony I don chop I don taste money eh I don taste mo...

EMINEM FT RIHANNA-THE MONSTER SONG LYRICS

I'm friends with the monster that's under my bed Get along with the voices inside of my head You're tryin' to save me, stop holding your breath And you think I'm crazy, yeah, you think I'm crazy (crazy) I   wanted the fame but not the cover of Newsweek Oh well, guess beggars can't be choosey Wanted to receive attention for my music Wanted to be left alone in public, excuse me For wantin' my cake, and eat it too, and wantin' it both ways Fame made me a balloon 'cause my ego inflated When I blew, see, but it was confusing 'Cause all I wanted to do's be the Bruce Lee of loose leaf Abused ink, used it as a tool when I blew steam (ooh) Hit the lottery, ooh-wee But with what I gave up to get, it was bittersweet It was like winnin' a used mink Ironic 'cause I think I'm gettin' so huge I need a shrink I'm beginnin' to lose sleep, one sheep, two sheep Going coo-coo and kooky as Kool Keith But I'm actually weirder than ...

BEYONCÉ FT JAY Z-DRUNK IN LOVE SONG LYRICS

I've been drinking, I've been drinking I get filthy when that liquor get into me I've been thinking, I've been thinking Why can't I keep my fingers off it? Baby, I want you, na-na Why can't I keep my fingers off it? Baby, I want you, na-na Cigars on ice, cigars on ice Feeling like an animal with these cameras all in my grill Flashing lights, flashing lights You got me faded, faded, faded Baby, I want you, na-na Can't keep your eyes off my fatty Daddy, I want you, na-na Drunk in love, I want you We woke up in the kitchen Saying, How the hell did this shit happen? Oh, baby Drunk in love We be all night Last thing I remember is our beautiful bodies grinding up in that club Drunk in love We be all night, love, love We be all night, love, love We be all night, and everything alright No complaints from my body So fluorescent under these lights Boy, I'm drinking, park it in my lot, 7-11 I'm rubbing on it, rub-rubbing If you scared, call that reverend Boy, I...

WESTLIFE-I HAVE A DREAM SONG LYRICS

[Shane] I have a dream, a song to sing  To help me cope with anything  If you see the wonder (wonder) of a fairy tale  You can take the future even if you fail  I believe in angels  Something good in everything I see  I believe in angels  When I know the time is right for me  I'll cross the stream, I have a dream  [Bryan] Oh yeah I have a dream (have a dream), a fantasy (fantasy) To help me through (help me through) reality (reality) And my destination (destination) makes it worth the while  Pushing through the darkness ([Mark] pushing through the darkness baby) Still another mile  [Shane] I believe in angels  Something good in everything I see ([Mark] everything I see yeah) I believe in angels ([Mark] I believe in angels ) When I know the time is right for me ([Mark] time is right for me) I'll cross the stream, I have a dream  I have a dream (oh yeah), a song to sing (song to sing)  To help me cope with anything...

WAHAMIAJI HARAMU 40 WAZAMA YEMEN

Maafisa wa serikali nchini Yemen wamesema kuwa zaidi ya wahamiaji arubaini wa Kiafrika wamezama baharini, baada ya mashua walimokuwa wakisafiria kuzama, katika pwani ya kusini mwa nchi hiyo. Manoari ya jeshi la Yemen ambalo lilikuwa katika eneo hilo, imefanikiwa kuwaokoa wahamiaji wengine wapatao thelathini. Wizara ya ulinzi nchini Yemen imesema kuwa mashua hiyo iliyokuwa ikisafirisha wahamiaji haramu, ilizama katika mkoa wa Kusini wa Shabwa, eneo ambako maelfu ya wahamiaji wa Kiafrika huwasili kila mwaka. Kwa mujibu wa shirika la Kimataifa la Uhamiaji la IOM, wengi wa wakimbizi wanaojaribu kuvuka guba la Eden, wanatoka Somalia na Ethiopia. Shirika hilo limesema kuwa wahamiaji hao hufanya safari ndefu na hatari ili kukwepa umasikini, unyanyazaji au vita katika mataifa yao. Baada ya kuwasili Yemen, wengi wao hutarajia kupata kazi nchini Saudi Arabia na mataifa ya Guba, lakini mamia ya wahamiaji wa Kiafrika hufa kila mwaka wakijaribu kuvuka eneo hilo la Guba wakitafuta maisha bora ka...
Maafisa wa serikali nchini Yemen wamesema kuwa zaidi ya wahamiaji arubaini wa Kiafrika wamezama baharini, baada ya mashua walimokuwa wakisafiria kuzama, katika pwani ya kusini mwa nchi hiyo. Manoari ya jeshi la Yemen ambalo lilikuwa katika eneo hilo, imefanikiwa kuwaokoa wahamiaji wengine wapatao thelathini. Wizara ya ulinzi nchini Yemen imesema kuwa mashua hiyo iliyokuwa ikisafirisha wahamiaji haramu, ilizama katika mkoa wa Kusini wa Shabwa, eneo ambako maelfu ya wahamiaji wa Kiafrika huwasili kila mwaka. Kwa mujibu wa shirika la Kimataifa la Uhamiaji la IOM, wengi wa wakimbizi wanaojaribu kuvuka guba la Eden, wanatoka Somalia na Ethiopia. Shirika hilo limesema kuwa wahamiaji hao hufanya safari ndefu na hatari ili kukwepa umasikini, unyanyazaji au vita katika mataifa yao. Baada ya kuwasili Yemen, wengi wao hutarajia kupata kazi nchini Saudi Arabia na mataifa ya Guba, lakini mamia ya wahamiaji wa Kiafrika hufa kila mwaka wakijaribu kuvuka eneo hilo la Guba wakitafuta maisha bora ka...