FAHAMU WATU AU MAMBO YALIYOTAFUTWA SANA GOOGLE MWAKA 2016


Kila mwisho wa mwaka Mtandao wa Google hutoa orodha ya yale yaliyotafutwa kupitia mtandao huo. Tutaangalia katika nyanja za kiujumla, habari za dunia, watu, bidhaa za kiteknolojia, habari za michezo duniani, vifo, muvi/sinema, wasanii na vipindi vya runinga. Katika kila nyanja tutaangalia mambo au watu 10. Tuanze kuangalia trends hizo:

KIUJUMLA 

1. Pokeman Go
2. iPhone 7
3. Donald Trump
4. Prince
5. Powerball
6. David Bowie
7. Deadpool
8. Olympics
9. Slither.io
10. Sucide Squad


HABARI ZA DUNIA

1. Uchaguzi wa Marekani (US Election)
2. Olympics
3. Brexit
4. Mauaji ya Orlando (Orlando Shooting)
5. Virusi vya Zika
6. Panama Papers
7. Nice
8. Brussels
9. Mauaji ya Dallas (Dallas Shooting)
10. Tetemeko la ardhi Kumamoto (Kumamoto Earthquake)

WATU

1. Donald Trump
2. Hillary Clinton
3. Michael Phelps
4. Melania Trump
5. Simone Biles
6. Bernie Sanders
7. Steven Avery
8. Celine Dion
9. Ryan Lochte
10. Tom Hiddleston


BIDHAA

1. iPhone 7
2. Freedom 251
3. iPhone SE
4. iPhone 6S
5. Google Pixel
6. Samsung Galaxy S7
7. iPhone 7 Plus
8. Note 7
9. Nintendo Switch
10. Samsung J7

HABARI ZA MICHEZO KIDUNIA

1. Rio Olympics
2. World Series
3. Tour de France
4. Wimbledon
5. Australian Open
6. EK 2016
7. T20 World Cup
8. Copa América
9. Royal Rumble
10. Ryder Cup


VIFO

1. Prince
2. David Bowie
3. Christina Grimmie
4. Alan Rickman
5. Muhammad Ali
6. Leonard Cohen
7. Juan Gabriel
8. Kimbo Slice
9. Gene Wilder
10. José Fernández 
 

MUVI

1. Deadpool
2. Suicide Squad
3. The Revenant
4. Captain America Civil War
5. Batman v Superman
6. Doctor Strange
7. Finding Dory
8. Zootopia
9' The Conjuring 2
10. Hacksaw Ridge 
 

WANAMUZIKI


1. Céline Dion
 

VIPINDI VYA RUNINGA 

 

1. Stranger Things
2. Westworld
3. Luke Cage
4. Game of Thrones
5. Black Mirror
6. Fuller House
7. The Crown
8. The Night Of
9. Descendants of the Sun
10. Soy Luna 
 
 
 

TAARIFA HII IMEANDALIWA KWA MSAADA KUTOKA GOOGLE.

Sogea karibu na VENANCE BLOG  kwenye mitandao ya kijamii
facebook: VENANCE BLOG
Twitter: @Venancetz
Instagram: @venancegilbert
Barua pepe (e-mails): venancegilbert@gmail.com & venanceblog@gmail.com

KUELEKEA MWISHONI 2016 LADY JAY DEE KAYAANDIKA HAYA INSTAGRAM



Kuelekea mwisho wa mwaka 2016 msanii mkongwe Lady Jay Dee ameyaandika haya katika mtandao wa Instagram:

"Kiukweli comeback yangu ya 2016 ilikuwa kubwa sana kuliko watu wengi walivyoitegemea mbali na changamoto ngumu na nyingi nilizowahi kupitia na ninazoendelea kuzipitia kuliko msanii yeyote yule wa kike wala wa kiume Tanzania nadiriki kusema bado nimesimama Imara *Kejeli *Dhihaka *Mabezo *Kutengwa *Story za kusingiziwa ikiwemo kuambiwa nyumba yangu inauzwa sijui inapigwa mnada na mengine yote mnayoyajua ni vitu vinavyovunja moyo sana. Ila Wa Tanzania ninawaheshimu sana linapokuja swala la kupigania kitu mnachokipenda. Hivi bila nyie si ningekuwa marehemu??? Bila fans JayDee ni nani??? Ninawashukuru kwa kuniamsha. Ninawashukuru kwa kuniamini. Ninawashukuru kwa kunipa nguvu na jeuri. Kuanzia Ndindindi mpaka Together *Mliijaza Mlimani City *Mkajaza mikoa niliyopita. Nawaomba muendelee kujaa 2017. Ili kuwadhihirishia wanadamu kuwa Mungu huwa ni mmoja tu. Happy new year to my fans all around the world. Nawapenda hata nikinuna. Kaeni tayari kwa album ya WOMAN 2017."

Hiyo ilikuwa ni sehemu ya kwanza, aliyoiandika jana na hii hapa chini ni sehemu ya pili:

"Kama nilivyoeleza hapo awali mwaka 2015 vitu vingi  vilisimama ili nijpange upya. Na 2016 vitu vingi vilianza kurudi Ikiwemo kuendelea kuperform na Band yangu THE BAND ambayo niliondoa jina la MACHOZI BAND na tulizunguka sehemu nyingi nchini. Mwaka 2017 nitarudisha kitu kingine ambacho kimekuwa kikiulizwa na watu wengi sana kutokana na kutokuwepo hewani kwa takribani mwaka na nusu. DIARY YA LADY JAYDEE Itarudi tena kwa mfumo na muonekano wa tofauti na wa mwanzo ukizingatia maisha yangu pia yamebadilika Hivyo naomba sponsor kujitokeza kwa wingi pia kwani mambo yakuwa ni moto sana. Itakuwa ni kuhusu misha yangu binafsi ya kimuziki, kibiashara, mapenzi na kila kinachonizunguka. Kaeni tayari kwa Msimu mpya wa Diary ya Lady JayDee yenye production bora zaidi ya jana. Diary ya Lady JayDee pia itapatikana kwenye YouTube channel yangu fanya kusubscribe"

Hii ni sehemu ya pili aliyoiandika katika mtandao wa Instagram. Kama kuna lolote usikose kutembelea VENANCE BLOG kwa mengine zaidi. Jay Dee anapatikana Instagram @jidejaydee





 Unaweza kulike VENANCE BLOG facebook kwa kubofya HAPA
Nifolo kwenye Twitter @Venancetz au bofya HAPA
Nipo Instagram pia @venancegilbert au bofya HAPA