TAZAMA HAPA MAGOLI 10 BORA YA KOMBE LA DUNIA 2018

Michuano ya Kombe la Dunia tayari imemalizika nchini Urusi jana Julai 15, 2018 ambapo Ufaransa ilii chapa 4 - 2 Croatia. Leo nakupa nafasi ya kuangalia magoli 10 bora yaliyofungwa katika michuano hii, magoli haya ni kama ifuatavyo:
10: Cristiano Ronaldo, Portugal vs Spain
09: Toni Kroos, Germany vs Sweden
08: Lionel Messi, Argentina vs Nigeria
07: Ricardo Quaresma, Portugal vs IR Iran
06: Nacho, Spain vs Portugal
05: Aleksandar Kolarov, Serbia vs Costa Rica
04: Angel Di Maria, Argentina vs France
03: Philippe Coutinho, Brazil vs Switzerland
02. Benjamin Pavard, France vs Argentina
01. Denis Cheryshev, Russia vs Croatia.


Unaweza kutazama magoli hayo katika video hii hapa chini:


Magoli haya ni kwa hisani ya Kwesé Sports ambao walikua ni washirika rasmi wa FIFA wa kuonesha michuano hii ya Kombe la Dunia 2018.

HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA & UALIMU 2018

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Sita 2018 na yale ya wanafunzi wa Ualimu.


Kuangalia matokeo hayo BOFYA HAPA