JUSTIN BIEBER HATORUDISHWA CANADA

Sorry, America — we’ll have to deal with Justin Bieber a bit longer. The White House on Friday finally officially responded to a petition signed by more than 273,000 people to have Bieber deported to Canada after a string of boozy antics and arrests. “Sorry to disappoint, but we won’t be commenting on this one,” read a statement on petitions.whitehouse.gov. “We’ll leave it to others to comment on Mr. Bieber’s case, but we’re glad you care about immigration issues.” The White House argued immigration reform will shrink our deficits by almost $1 trillion in the next 20 years. Handily, it added, “For those of you counting at home, that’s 12.5 billion concert tickets — or 100 billion copies of Mr. Bieber’s debut album.”

MRISHO MPOTO AELEZEA SABABU ZA KUTOVAA VIATU HATA ANAPOKUWA KATIKA ZIARANI KIMATAIFA

Msanii wa muziki wa asili Mrisho Mpoto amedai kuwa ajisikii vizuri pindi anapo vaa viatu kutokana kudai kuvaa viatu kuna athiri utendaji wa kazi zake. Mpoto alilionga na bongo5 kuwa amesemwa sana kuhusu tabia ya kuto vaa viatu lakini ameshindwa kubadilika. “Beauty yoyote ipo kwenye jicho,unapozungumzi Mrisho Mpoto kuwa peku ,sehemu nyingi sana,mara nyingi sana watu wananiona peku, ni kwa sababu ya kutafuta energy ,unajua energy ya mimi kuendelea kuishi inapatikana kwenye udongo,yani ngozi yangu inapokutana na ardhi nakuwa so (confident) na nakuwa Mpoto, zaidi na nguvu na nakuwa na akili ,sasa sipendi wakati mwingine kuwa fake,najitaidi sana kuwa wakisasa ila nakuwa nasahau,kwamfano naweza nikanunu kiatu cha gharama alafu nikakisahau kwenye ndege au kwenye basi kwasababu siyo kawaida yangu kuvaa viatu, nisha jaribu lakini nimeshapoteza vingi,kwasababu siyo culture yangu kuvaa viatu ,viatu navaaga kwasababu watu wananisema.kwaiyo nikivaa ninakuwa kama inanisumbua, nikaona kama bora niache,alafu nakuwa siko huru,ukinikuta nimevaa viatu alafu tukaanza kufanya mazungumzo nakuwa siko huru kwasababu nakuwa nipo kama naelea hewani,yani kama sina chaji,kwaiyo kwangu mimi ardhi ni kama plug ya mwili wangu,nikikanyaga chini wewe niulize chochote nitakujibu niambie niandike shairi la haina yoyote,mimi ata nikiandika nyumbani kwangu lazima niweke miguu kwenye mchanga,ata nyumbani kwangu hakuna mchanga mimi ninabeseni kabisa la michanga,kwajili tu yakukanyaga yani nikiandika nakuwa confidant ata nikiandika nakuwa na amani”Alisema Mpoto Mrisho anaendelea kufafanua kwanini ataki kubadilika na kuchana na tamaduni ya kutembea mbila kuvaa viatu “Nataka maisha yasiniendeshe mimi,mimi niyaendeshe maisha, kwasababu unajua speed ya utandawazi yani globalization ni kubwa sana kuliko speed ya mwanadamu kwa Tanzania,ukiangalia watu kama Marekani wamepata uhuru miaka mia mbili iliyopita,sisi tuna miaka mingapi tu ya uhuru na teknologia inakuja kwa kasi sana,ndiyo maana technologia inapokuta Tanzania watu wanaimasta sana,kwamfano facebook,instargam,twetter,whatsapp na mitandao mingine vimekuja kwa kasi sana na watu vimewabadilisha sana,ata Ngugi wa Thiong’o alisema huwezi kwenda kwa jirani kama ujatokea kwako,mtu kaka mimi ninapoigia kwenye technolojia siwezi badilishwa kwasababu nimeshajijua mimi ni nani”Alimalizia Mpoto

UGOMVI KATI YA PETER NA PAUL 'P SQUARE' KAKA YAO NA MKE WA PETER WAHUSISHWA

Ni siku chache tu zimepita toka Paul Okoye wa kundi la P-Square afanye harusi ya kimila na mke wake Anita Isama huko Nigeria, lakini baada ya wote wawili (Peter & Paul) kukamilisha majukumu ya ndoa zao, kuna habari ambazo zimesambaa wiki hii kuwa umeibuka ugomvi baina ya mapacha hao wa kundi la P-Square ambao inasemekana sasa hawaelewani vizuri. Mtandao wa Naija Gists umeripoti kuwa kwa mujibu wa chanzo, inadaiwa kuwa kumekuwa na kutoelewana baina ya kaka mkubwa wa mapacha hao Jude Okoye na mke wa mdogo wake Peter Okoye aitwaye Lola Omotayo, kitu kilichopelekea Jude kutohudhuria harusi yao mwaka jana. Kama unakumbuka Jude hakuhudhuria harusi ya Peter na Lola mwaka jana, lakini alihudhuria ya Paul na Anita mwaka huu kitu kinachowafanya watu waamini kuwa kuna tatizo kubwa baina yao. Chanzo hicho kimesema inadaiwa kuwa ugomvi huo unaomhusu Lola umesababisha Peter na Paul kugombana wakati wako kwenye rehearsle Jumatano wiki hii, mpaka walipoachanishwa na dancers wao. Kaka mkubwa wa P-Square Jude alitweet kitu ambacho kinaaminika kuwa kinahusiana na ugomvi wao. “After over 10 years of hard work, it’s over. (I) Am done.”ikiaminika kuwa alimaanisha amejiondoa kuli-manage kundi hilo japo kuwa yeye mwenyewe hakufafanua alichomaanisha katika maneno hayo machache. After over 10yrs of hard work, it's over. Am done. — IG: @Judeengees (@judeengees) April 18, 2014 Jude ndiye amekuwa akiwa-manage kwa miaka yote na kuproduce hits zao paomoja na kudirect idadi kubwa ya video zao zilizofanya vizuri. Lakini kuna baadhi ya watu nchini Nigeria wamedai kubwa kuna uwezekano kuwa ugomvi ‘hewa’ unaoendelea na kuripotiwa katika vyombo vya habari ukawa ni ‘hype’ ya kuandaa ‘kiki’ ya album yao mpya. Source: Bongo5

NUKUU ZA LEO/QUOTES OF THE DAY 19/04/2014

1. Let us dream of tomorrow where we can truly love from the soul, and know love as the ultimate truth at the heart of all creation. - Michael Jackson

2. Don't judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant. -Robert Louis Stevenson

3. Find a place inside where there's joy, and the joy will burn out the pain. -Joseph Campbell

4. Health is the greatest gift, contentment the greatest wealth, faithfulness the best relationship. - Buddha

5. Even if I knew that tomorrow the world would go to pieces, I would still plant my apple tree. -Martin Luther

 6. Hope is a waking dream. - Aristotle

 7. Happiness is not something you postpone for the future; it is something you design for the present. - Jim Rohn

 8. I hated every minute of training, but I said, 'Don't quit. Suffer now and live the rest of your life as a champion.' -Muhammad Ali

9. Thousands of candles can be lighted from a single candle, and the life of the candle will not be shortened. Happiness never decreases by being shared. -Buddha

10. Your present circumstances don't determine where you can go; they merely determine where you start. Nido Qubein

 11. If you accept the expectations of others, especially negative ones, then you never will change the outcome. - Michael Jordan

12. We can't help everyone, but everyone can help someone. -Ronald Reagan

13. Put your heart, mind, and soul into even your smallest acts. This is the secret of success. - Swami Sivananda

14. Start where you are. Use what you have. Do what you can. -Arthur Ashe

15. You must do the things you think you cannot do. -Eleanor Roosevelt

16. Don't limit yourself. Many people limit themselves to what they think they can do. You can go as far as your mind lets you. What you believe, remember, you can achieve. - Mary Kay Ash

17. You are always free to change your mind and choose a different future, or a different past. - Richard Bach

18. It is in your moments of decision that your destiny is shaped. - Tony Robbins

19. In oneself lies the whole world and if you know how to look and learn, the door is there and the key is in your hand. Nobody on earth can give you either the key or the door to open, except yourself. - Jiddu Krishnamurti

20. It is during our darkest moments that we must focus to see the light. -Aristotle Onassis