ZIARA YA RAIS OBAMA KATIKA NCHI TATU ZA AFRIKA YAANZA



Rais wa Marekani, Mh. Barack Obama ,jana ameanza ziara yake katika ule mpango wake wa kuzitembelea nchi za bara la Afrika. Nchi zilizopata fursa ya kutembelewa na kiongozi huyo kutoka taifa kubwa ulimwenguni ni 1. Tanzania 2. Senegal 3. Afrika Kusini Katika kuitembelea nchi ya Afrika Kusini ilikuwa Rais Obama aonane na Rais wa kwanza wa nchi hiyo Nelson Mandela ambaye yuko hospitali kwa siku ya 20 lakini sasa atafanya hivyo endapo ataruhusiwa na familia ya Nelson Mandela. Akiwa nchini humu rais Obama atapokelewa na mwenyeji wake Rais Kikwete.
 Copyright © 2013

Comments

Popular Posts

ZIFAHAMU NCHI ZINAZOZUNGUMZA KISWAHILI BARANI AFRIKA

CHEKI PICHA HIZI ALIZOWEKA NICKI MINAJ INSTAGRAM

WALIOCHAGULIWA CHUO CHA MIPANGO MAJINA HAYA HAPA

HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA TANGU 1930, WAANDAAJI & WASHINDI

WAFAHAMU WAIGIZAJI 10 WA KIKE WA KOREA AMBAO NI WAREMBO KWA MWAKA 2017

WAFAHAMU MATAJIRI 10 WA TANZANIA MWAKA 2018

MKUTAO WA G7 KUANGAZIA USALAMA NA MAZINGIRA

FAHAMU MAMBO HAYA 20 KUHUSU TANZANIA

QUOTES OF THE DAY JUNE 11, 2014

WALAJI WA NGURUWE KUPATA KIFAFA